Usaliti ni laana: Elia F Michael awa Mtendaji wa Kata, apigwa marufuku kugombea ubunge kupitia CCM, adhulumiwa hela za usaliti

Huyu akiwa Chadema kila siku si alikuwa analalamika mitandaoni na kwenye kila sentensi anaandika 'Kakonko'..?

Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
 
Jamaa wamemuona 'So Cheap'

Njaa hizi.

Kutoka Udiwani, Mgombea Ubunge mpaka kuwa Mtendaji Wa Kata, Mshahara Tsh 400,000 ?
Huo mshahara ataenda nao mpaka astahafu,ni sehemu sahihi sana alipo kuliko mambo ya siasa.

macson
 
Awajuiii mabwegeee waupinzanii
Mkuu P.diddy naona unajifunza kuandika kwa nguvu sana japo bado naona hujawa vizuri,Ss hv maherufi makubwa angalau umeanza kuyaacha ila sasa naona shida imebaki baadhi ya maneno hujui kuyaandika,Hujui vituo yaani unaandika utadhani mtoto wa la kwanza.

Ila pambano mwendo sio mbaya siku moja utajua ila sasa acha kutukana watu wanaokuzidi uelewa hujajua kuandika kamwe shauri zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni chadema kusajili ni mgumu kama huna pesa huna malisho,some la ukombozi au kuupigania jamii halipi kwa viongozi was wao ni Lusaka fursa
 
Wapinzani mnawaza maslahi kuliko utendaji.
Kama kapata uongozi wa kata ni jambo jema kwa kua atawahudumia wananchi kwa karibu zaidi.
Suala la mshahara ni pesa kadhaa sioni ubaya wake.
Upinzani mnatuletea "social stratification" kwenye utendaji jambo ambalo linawanyima motisha watumishi wetu.
Elia F Michael kapige kazi brother.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…