Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Mtendaji wa kata ni nafasi atakayoifanya mpaka atakapoamua yeye mwenyewe.
Ni nafasi ya kiutumishi, kuliko yale mambo ya siasa
..................Aliahidiwa kununuliwa kwa 50mil akaishia kupewa mil5 !
View attachment 1371762
Malipo yake yote yamekuwa kuteuliwa kuwa Mtendaji wa Kata ya Ngara Mjini, Wilaya ya Ngara Mkoani Kagera
Taarifa zilizofichwa zinaeleza kwamba kabla hajanunuliwa aliahidiwa kupewa mil 50 , lakini kwa bahati mbaya mpaka muda huu amelipwa mil 5 tu !
Huyuuu karukwaaa.mgaaoooo ooohhh penginee alihusika kwenye connectionAcha wivu wa kike,ulikuwepo wakati anaahidiwa?
Kiutaratibu hapo ni kuwa hiyo nafasi imetolewa kirushwa. Hivyo basi ni wakati muafaka TAKUKURU kufanya kazi yao bila ya kusubiri maelekezo kutoka kwa mtu. Otherwise, TAKUKURU litabakia kuwa ni tawi tu la CCM kama ilivyo kwa UVCCM, POLISI, Tume ya Taifa ya uchaguzi, Bunge na mengine kama haya.Mtendaji wa kata ni nafasi atakayoifanya mpaka atakapoamua yeye mwenyewe.
Ni nafasi ya kiutumishi, kuliko yale mambo ya siasa
Labda,wamwache Elia awatumikie wananchiHuyuuu karukwaaa.mgaaoooo ooohhh penginee alihusika kwenye connection
Wana Ngara watamuombea hamna shidaTumuombee amalize salama maana huko warundi na wanyarwanda wanatisha
In God we Trust
Hizo ndo rushwa zenyewe, kisha umsikie mtu akisema awamu hii rushwa imekomeshwa.Kumbe unajuwa wakitoka upinzani wanapewa vyeo hata vya utumishi ?!.
Sent using Jamii Forums mobile app
sio ndogo anauhakika wa kuipata kwa zaidi ya miaka 30 na pia anaweza kupanda cheo achilia mbali anauhakika wa kumiliki ardhi na kuitumia bado hatujajumlisha rushwa na mihamala ya wana kijiji kwa kusuruhisha kesi hivyo akijipanga yuko salama zaidi.Jamaa wamemuona 'So Cheap'
Njaa hizi.
Kutoka Udiwani, Mgombea Ubunge mpaka kuwa Mtendaji Wa Kata, Mshahara Tsh 400,000 ?
Masikini wanawaza kula tuHongera sana bora mkono uende kinywani
He's not worth a dimeView attachment 1371762
Malipo yake yote yamekuwa kuteuliwa kuwa Mtendaji wa Kata ya Ngara Mjini, Wilaya ya Ngara Mkoani Kagera
Taarifa zilizofichwa zinaeleza kwamba kabla hajanunuliwa aliahidiwa kupewa mil 50 , lakini kwa bahati mbaya mpaka muda huu amelipwa mil 5 tu !
Wewe unawaza kurusha setilitiMasikini wanawaza kula tu
Atafanya jambo la hovyo hovyo aonekane halafu atapandishwa na kuwa Afisa Tarafa badae DAS ...usaliti pia una mambo yakeView attachment 1371762
Malipo yake yote yamekuwa kuteuliwa kuwa Mtendaji wa Kata ya Ngara Mjini, Wilaya ya Ngara Mkoani Kagera
Taarifa zilizofichwa zinaeleza kwamba kabla hajanunuliwa aliahidiwa kupewa mil 50 , lakini kwa bahati mbaya mpaka muda huu amelipwa mil 5 tu !
Mtendaji wa kata NI NAFASI ndogo Sana eeh?Jamaa wamemuona 'So Cheap'
Njaa hizi.
Kutoka Udiwani, Mgombea Ubunge mpaka kuwa Mtendaji Wa Kata, Mshahara Tsh 400,000 ?
Mpeni basi hela zake jamani .Mara paap katibu tarafa paaap mkuu wa wilaya kinondoni tunaanza sumbuana nae humu mjini vetting ya kaz za GoT siku hz hasa za uteuzi si za kumcheka mtu ana wadhifa gani leo