Usaliti wenye ulazima

Mkeo mshenzi kweli piga chini jitu gani Hilo yani niko na mume wangu eti asimamishe gari ili nimsalimie mtu aliyewahi kugombana na ex,,, Ni ama alikuwa anamringishia huyo jafari kuwa nae kaolewa nk
Saa zingine tukisema dawa ya mwanamke ni makofi huwa hatuelewekagi ila ndio ukweli
 
Mkubwa hapo hakuna mke ....[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Kaka jafar ..akijitahid kidogo anajilia mzigo ...
 
Mzee wa kubutua😂😂😂 naona umepata pa kutembea na fursa ya kupiga, Sasa ukimpiga ndo ataacha kumpenda au kutafuta attention kutoka kwa ex na familia yake?
Hio ndio adhabu ya mwisho asiposikia na hapo basi akwendree zake huko. Namtimua fasta
 
Maji ya moto tena? [emoji28][emoji28]
 
Ili kisasi kitimie, mjuze na mkeo. Maumivu atakayoyapata ni zaidi ya uliyopata na nakuhakikishia atasahau kabisa hiyo familia. Tena ongezea na kumdanganya kuwa umepita na wifi zake kadhaa.
 
Kuacha mke sio rahc kama kwenda chooni kutoa taka mwili....alisema mwana jf mmoja
Kwa hayo anayoyapitia unadhani ni sahihi kuendelea na huyo mwanamke?

Binafsi nimeacha mke tukiwa na watoto wawili wadogo kwa sababu alishindwa kujirekebisha, niliitisha vikao sana, ikafikia hatua Dada yangu ambaye alikua akimtetea akabwaga manyanga, akasema, "Basi inatosha pambana mwenyewe na ndoa yako".

Wajomba wa mwanamke walikua mguu nje mguu ndani hawaeleweki nikaona isiwe kesi, mtu wa bara na mzigua wapi na wapi, nikapiga chini, sa hivi kaolewa na mzigua mwenzie huko uziguani

Pitia post zangu kwenye uzi wa @mshanajr wenye kichwa cha habari "MADA MAALUM KWA WANANDOA"
 
Ili kisasi kitimie, mjuze na mkeo. Maumivu atakayoyapata ni zaidi ya uliyopata na nakuhakikishia atasahau kabisa hiyo familia. Tena ongezea na kumdanganya kuwa umepita na wifi zake kadhaa.
kuna wifiake mmoja nilianza wasiliana naye sasaivi hajibu meseji wala nini ngoja niendelee tafuna mtoto wao wakijua maumivu yanatosha.
 

The Best message I’ve met today [emoji4]
 
Naona umechafukwa..hatari..mkuu😀😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…