Usaliti wenye ulazima

Itoe Twitter hapo

Twitter is for elites
Unaweza kuandika ujinga na usiwe popular kama Facebook na huko telegram ni connection tu ndio zinawapeleka watu
 
Kwanini msiachane tu kama hamuaminiani tabu yote ya nini?? Mi nakuona famba kweli ukute mwenzako hacheat sa jiandae na moto utakao fuata atakukata nyeti hizo!
Kwani aliyekutwa na ngozi si ndiyo aliyekula nyama, wewe umeshaolewa kwanini unawasiliana na karibu familia yote ya ex wako? hivi akili zimeenda wapi
 
Mnamtia ujinga tu mwenzenu jamaa hajamkata mkewe na kithibitisho chochote! Ye ndio kaamua akitembeze kwahuyo demu mwingine kichaa hapo ni huyo jamaa
yaani unataka jamaa aone ushahidi mke wake akipelekewa moto, seriously?
 
Itoe Twitter hapo

Twitter is for elites
Unaweza kuandika ujinga na usiwe popular kama Facebook na huko telegram ni connection tu ndio zinawapeleka watu
Elites ndio akina Kigogo au?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Aisee wewe lazima utakua umeokoka na unampenda yesu. Kwanini hujamla ndogo huyo binti?
 
Ila ndoa kuna muda n usenge sana

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu huyo mwanamke anaonekana anakumudu,,yaan ameshajua udhaifu wako,na atakupelekesha mpaka unyooke

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Dah mwamba nimekukubali. Ndioninavyotakiwa mzee baba wee ichakate hiyo papuchi mpaka mke aje ajue without a shadow of a doubt kuwa unasambua papuchi mbichi
Kwani ya mkewe imekauka?.🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…