The 13
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 2,835
- 3,266
Kwamba kime pitishwa na TBSMkuu kwakweli sisi wote hua tunatafuta kisingizio pale tunapotaka kuchepuka, ila hiki kisingizio chako ni cha kiwango cha SGR! [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba kime pitishwa na TBSMkuu kwakweli sisi wote hua tunatafuta kisingizio pale tunapotaka kuchepuka, ila hiki kisingizio chako ni cha kiwango cha SGR! [emoji23][emoji23]
Aaaaaah saiv mapema mno upite mwaka ivJitahidi mkeo ajue, akikuuliza mwambie unalipaliza kisasi, akija juu mpeleke kwao
Wewe kama mature woman tupe solution?Sasa vipi kuhusu yule demu aendelee kumla ili apewe stori za mkewe au inakuwaje?? Au amwache mkewe aoe kile kidemu?
Nani mtenda hiyo miujiza? "Shetaniii" atokee au apigwee? "AAPIGWEEeee"Habari ndugu zanguni,
ni miaka mitatu sasa tangu niingie kwenye ndoa, toka mwanzo wa mahusiano na mke niligundua tabia ambayo sikuipenda ,mke wangu alikuwa bado anawasiliana na ndugu wa ex wake hasa dada zake na mamake yake yaani kwenye mambo ya kifamilia/sherehe watamshirkisha japo yeye na huyo ex wake waliachana tangu 2012.
Nilimuonya mara kwa mara kuwa kuendelea kuwasiliana nao ni kunikosea heshima na ukizingatia mimi na yeye tulikuwa na malengo alichofanya yeye ni kupunguza mawasiliano ya kuongea ila facebook kwenye comment wanaitana wii kama kawaida.
kilichosababisha kuandika huu uzi ni kuwa mmoja wa mawifi zake ana mtoto mkubwa tu kama miaka 21 kamaliza diploma ya famasi chuo fulani kigamboni cha afya (nimesahau jina) mawasiliano kati ya mke wangu na haka kabinti yaliendelea/yanaendelea licha ya kumkataza yeye anadai huyu binti alikuwa mdogo sana kipindi yeye ana date na uncle wake wala hajui chochote kama walikuwa kwenye mahusiano hivyo si vibaya kuwasiliana naye.
Baada ya muda nikaona isiwe shida ngoja na mie nijenge ukaribu na haka kabinti labda nitapata chance ya kukatafuna nijipooze , nilianza mchakato kama miaka miwili iliyopita lakini kila ikifikia hatua ya kuomba kuonana anasema mpaka aunty awepo ndio atakuja nikawa napotezea, nikikumbushia tena wimbo ni ule ule atakuja home aunty akiwepo na hatuwezi onana sehemu nyingine yoyote.
Mwaka huu mwanzoni kidogo nilianza ona dalili ya mafanikio alinitumia friend request tena facebook tukachat nikaomba tuonane tena safari hii akakubali ila sehemu iwe ya wazi tukapate lunch nikaenda onana naye , mara ya pili tena nikaomba onana naye ila nilimuomba iwe sehemu ya ndani kama hotel sababu mie nimeoa hapa hapa town kuonekana ni rahisi akakubali nikampeleka lodge fulani iko jirani na temeke mwisho kwanza aligoma kabisa kuingia nikamdanganya kuwa nishalipia na nikambebembeleza sana akakubali kwa masharti hatusex na kweli alinikazia kusex akiwa na visingizio chungu nzima, tulivyoachana sikumcheki tena nikajua nishaharibu CV ataenda kunitangaza huko kwao.
jabu kesho jioni natoka kazini akanitext l mambo leo ulikuwa busy, japo siku zote huwa anaanza na shikamoo uncle, nikamwambia bado nasikia machungu ya jana akasema hapana kwanza hatujapima atani trust vipi manake magonjwa mengi pili yeye ana mchumba na mimi nimeoa tutakuwa pamoja for how long?, mwisho aliuliza what if aunty akijua na aunty anamsaidia vitu vingi na anamuona kama ndugu, nikamjibu kiufasaha na mwisho nikaomba tuonane tena.
Safari hii ya tatu ya kuonana nilifanikisha kukatafuna japo yeye alijua nimefanya kwa upendo ila moyoni nilikuwa nalipiza kisasi kupooza machungu sababu wife inaonekana hii familia anaipenda sana kitu ambacho ni kunikosea heshima mimi.
Tangia nimeanza uhusiano na huyu binti nimejikuta namchukia zaidi mke wangu kwani vitu alivyodai huyu binti hajui kiuhalisia anajua, mama yake na huyo ex wake alifariki 2017 kipindi anaumwa wife alikuwa anaenda kumuona sababu wanakaa mtaa mmoja hizi habari zote kanipatia huyu binti pamoja na habari nyingine ambazo hata kama mambo yamepita lazima yanatia wivu.
Nilipanga kumtafuna na kuacha ila nitaendelea kuwa naye ili nizidi kupooza machungu kwakuwa mke amevuruga trust aliyotakiwa kunionyesha.
Mpandishe cheo kaka,,,mfanye mke mkubwabahati mbaya amenifanya nichukue uamzhi utakaomletea kidonda maisha yote.
Hii nimecheka sana.Hongera kwa kukatafuna endelea mpaka wife wako ajue ,halafu mwambie hako katoto wala hakajui kama wewe ndie mumewe kalikuwa kadogo sana.
Weww ndo mwanaumeHabari ndugu zanguni,
ni miaka mitatu sasa tangu niingie kwenye ndoa, toka mwanzo wa mahusiano na mke niligundua tabia ambayo sikuipenda ,mke wangu alikuwa bado anawasiliana na ndugu wa ex wake hasa dada zake na mamake yake yaani kwenye mambo ya kifamilia/sherehe watamshirkisha japo yeye na huyo ex wake waliachana tangu 2012.
Nilimuonya mara kwa mara kuwa kuendelea kuwasiliana nao ni kunikosea heshima na ukizingatia mimi na yeye tulikuwa na malengo alichofanya yeye ni kupunguza mawasiliano ya kuongea ila facebook kwenye comment wanaitana wii kama kawaida.
kilichosababisha kuandika huu uzi ni kuwa mmoja wa mawifi zake ana mtoto mkubwa tu kama miaka 21 kamaliza diploma ya famasi chuo fulani kigamboni cha afya (nimesahau jina) mawasiliano kati ya mke wangu na haka kabinti yaliendelea/yanaendelea licha ya kumkataza yeye anadai huyu binti alikuwa mdogo sana kipindi yeye ana date na uncle wake wala hajui chochote kama walikuwa kwenye mahusiano hivyo si vibaya kuwasiliana naye.
Baada ya muda nikaona isiwe shida ngoja na mie nijenge ukaribu na haka kabinti labda nitapata chance ya kukatafuna nijipooze , nilianza mchakato kama miaka miwili iliyopita lakini kila ikifikia hatua ya kuomba kuonana anasema mpaka aunty awepo ndio atakuja nikawa napotezea, nikikumbushia tena wimbo ni ule ule atakuja home aunty akiwepo na hatuwezi onana sehemu nyingine yoyote.
Mwaka huu mwanzoni kidogo nilianza ona dalili ya mafanikio alinitumia friend request tena facebook tukachat nikaomba tuonane tena safari hii akakubali ila sehemu iwe ya wazi tukapate lunch nikaenda onana naye , mara ya pili tena nikaomba onana naye ila nilimuomba iwe sehemu ya ndani kama hotel sababu mie nimeoa hapa hapa town kuonekana ni rahisi akakubali nikampeleka lodge fulani iko jirani na temeke mwisho kwanza aligoma kabisa kuingia nikamdanganya kuwa nishalipia na nikambebembeleza sana akakubali kwa masharti hatusex na kweli alinikazia kusex akiwa na visingizio chungu nzima, tulivyoachana sikumcheki tena nikajua nishaharibu CV ataenda kunitangaza huko kwao.
jabu kesho jioni natoka kazini akanitext l mambo leo ulikuwa busy, japo siku zote huwa anaanza na shikamoo uncle, nikamwambia bado nasikia machungu ya jana akasema hapana kwanza hatujapima atani trust vipi manake magonjwa mengi pili yeye ana mchumba na mimi nimeoa tutakuwa pamoja for how long?, mwisho aliuliza what if aunty akijua na aunty anamsaidia vitu vingi na anamuona kama ndugu, nikamjibu kiufasaha na mwisho nikaomba tuonane tena.
Safari hii ya tatu ya kuonana nilifanikisha kukatafuna japo yeye alijua nimefanya kwa upendo ila moyoni nilikuwa nalipiza kisasi kupooza machungu sababu wife inaonekana hii familia anaipenda sana kitu ambacho ni kunikosea heshima mimi.
Tangia nimeanza uhusiano na huyu binti nimejikuta namchukia zaidi mke wangu kwani vitu alivyodai huyu binti hajui kiuhalisia anajua, mama yake na huyo ex wake alifariki 2017 kipindi anaumwa wife alikuwa anaenda kumuona sababu wanakaa mtaa mmoja hizi habari zote kanipatia huyu binti pamoja na habari nyingine ambazo hata kama mambo yamepita lazima yanatia wivu.
Nilipanga kumtafuna na kuacha ila nitaendelea kuwa naye ili nizidi kupooza machungu kwakuwa mke amevuruga trust aliyotakiwa kunionyesha.
Kuna siku tulikuwa tunapeleka rice cooker nyumbani kwa wife kuna sehemu tulipita (mtaani kwao) mbele yetu kulikuwa na kijiwe cha boda boda wife akaomba nisimamishe gari amsalimie kaka Jafari. nikamwambia utamsalimia tukirudi tutachelewa , wife alilalamika sana kuwa kwanini namnyanyasa na gari langu anashindwa salimia watu yeye watamuonaje ambacho hakujua nilishapata stori za huyo jafari kuwa alikuwa anamtaka na walishawahi pigana jafari na huyo ex wake.
wakati tunarudi akaomba amsalimie tena nikasamamisha gari akamsalimia tukasepa, mbeleni nikamuuliza huyo ni jafari wa serikali za mtaa akasema ndio umemjuaje. nikamwambia najua kila kitu ndio maana sikutaka umsalimie. baada ya sentensi hiyo tulikaa bila kuongea mpaka tunafika home. stori zote za huyo jafari kuoigana na ex wa wife kwa ajiri ya wife ananipa huyo binti.
Thread closed na upewe ulinzi kabisa popote ulipoMkeo amekukosea Ni wazi anampenda ex wake sana kuliko wewe, na hiyo kujifanya anasaidia ndugu wa ex anataka kuionyesha familia ya ex kuwa ndugu yao alipoteza mke mwema,,, ujinga ujinga tu anakutumia kukudolishia pasipo kujua Ni kiasi gani anakuumiza, Mimi hata namba ya ex kwenye simu ya mume wangu siitaki labda wawe wamezaa full stop una uvumilivu hata hivyo
Anapenda attention za kisenge kweli,,kaniboa mi nilivyo na wivu 😂😂😂ningemmwagia hata maji ya Moto akiwa amelala pumbavu kabisa,,
Hako kabinti kangekuwa kakubwa ningekushauri ukaoe ila Nina wasiwasi katakusumbua katakuongezea stress, mkeo kayataka
Ah ilishajichokea hiyoKwani ya mkewe imekauka?.🤣🤣🤣
Uzinzi gani tena? Si tumekubaliana ni kisasi?Wazinzi huwa hamkosi sababu...shwaini
Mzee mwenzangu unakwama wapi?.ikiwa ex wa mkeo alishafariki Wewe wasiwasi wako uko wapi?.Tuliza munkali jitafunie mkeo mdogo mdogo.Habari ndugu zanguni,
ni miaka mitatu sasa tangu niingie kwenye ndoa, toka mwanzo wa mahusiano na mke niligundua tabia ambayo sikuipenda ,mke wangu alikuwa bado anawasiliana na ndugu wa ex wake hasa dada zake na mamake yake yaani kwenye mambo ya kifamilia/sherehe watamshirkisha japo yeye na huyo ex wake waliachana tangu 2012.
Nilimuonya mara kwa mara kuwa kuendelea kuwasiliana nao ni kunikosea heshima na ukizingatia mimi na yeye tulikuwa na malengo alichofanya yeye ni kupunguza mawasiliano ya kuongea ila facebook kwenye comment wanaitana wii kama kawaida.
kilichosababisha kuandika huu uzi ni kuwa mmoja wa mawifi zake ana mtoto mkubwa tu kama miaka 21 kamaliza diploma ya famasi chuo fulani kigamboni cha afya (nimesahau jina) mawasiliano kati ya mke wangu na haka kabinti yaliendelea/yanaendelea licha ya kumkataza yeye anadai huyu binti alikuwa mdogo sana kipindi yeye ana date na uncle wake wala hajui chochote kama walikuwa kwenye mahusiano hivyo si vibaya kuwasiliana naye.
Baada ya muda nikaona isiwe shida ngoja na mie nijenge ukaribu na haka kabinti labda nitapata chance ya kukatafuna nijipooze , nilianza mchakato kama miaka miwili iliyopita lakini kila ikifikia hatua ya kuomba kuonana anasema mpaka aunty awepo ndio atakuja nikawa napotezea, nikikumbushia tena wimbo ni ule ule atakuja home aunty akiwepo na hatuwezi onana sehemu nyingine yoyote.
Mwaka huu mwanzoni kidogo nilianza ona dalili ya mafanikio alinitumia friend request tena facebook tukachat nikaomba tuonane tena safari hii akakubali ila sehemu iwe ya wazi tukapate lunch nikaenda onana naye , mara ya pili tena nikaomba onana naye ila nilimuomba iwe sehemu ya ndani kama hotel sababu mie nimeoa hapa hapa town kuonekana ni rahisi akakubali nikampeleka lodge fulani iko jirani na temeke mwisho kwanza aligoma kabisa kuingia nikamdanganya kuwa nishalipia na nikambebembeleza sana akakubali kwa masharti hatusex na kweli alinikazia kusex akiwa na visingizio chungu nzima, tulivyoachana sikumcheki tena nikajua nishaharibu CV ataenda kunitangaza huko kwao.
jabu kesho jioni natoka kazini akanitext l mambo leo ulikuwa busy, japo siku zote huwa anaanza na shikamoo uncle, nikamwambia bado nasikia machungu ya jana akasema hapana kwanza hatujapima atani trust vipi manake magonjwa mengi pili yeye ana mchumba na mimi nimeoa tutakuwa pamoja for how long?, mwisho aliuliza what if aunty akijua na aunty anamsaidia vitu vingi na anamuona kama ndugu, nikamjibu kiufasaha na mwisho nikaomba tuonane tena.
Safari hii ya tatu ya kuonana nilifanikisha kukatafuna japo yeye alijua nimefanya kwa upendo ila moyoni nilikuwa nalipiza kisasi kupooza machungu sababu wife inaonekana hii familia anaipenda sana kitu ambacho ni kunikosea heshima mimi.
Tangia nimeanza uhusiano na huyu binti nimejikuta namchukia zaidi mke wangu kwani vitu alivyodai huyu binti hajui kiuhalisia anajua, mama yake na huyo ex wake alifariki 2017 kipindi anaumwa wife alikuwa anaenda kumuona sababu wanakaa mtaa mmoja hizi habari zote kanipatia huyu binti pamoja na habari nyingine ambazo hata kama mambo yamepita lazima yanatia wivu.
Nilipanga kumtafuna na kuacha ila nitaendelea kuwa naye ili nizidi kupooza machungu kwakuwa mke amevuruga trust aliyotakiwa kunionyesha.
kwanza niweke wazi huwa sitafuti stori wala kuulizia kwa huyu binti, huwa inatokea tu. hii ya jafri aliniisimulia nayo nikapuuzia ila siku tunaenda kwao anakazania kumsalimia huyo Jafari ndio akiri ika load nishawahi ambiwa huyu Jafari wa serikali za mtaa walishawahi pigana na ex wake ndio ikabidi nimuulize. ukiachia hiyo kuna vistori vngi ambavyo niikimuuliza atajua tu nimeambiwa na member wa familia ile hivyo nimepotezea tu.Kinachonishangaza zaidi ni unavohangaika kumfatilia mtu ambae huwezi kumuacha[emoji38]
Huyo mwanamke unampenda mno halafu unampenda kwa namna ambayo sio sahihi..nahisi ungeweza ungekua unamfungia tu ndani, unafatilia vitu ambavyo havina hata maana., kuna haja gani kuwafatilia mpk kina jafari ikiwa ww unaona ushalipa kisasi? Huyo msichana nae hana akili kila mkikaa haoni kama unamtumia kupata habari tu za mkewe? Au mapenzi yenu mmekubaliana vipi? Hizo habari mwisho zitaisha halafu ataanza ktunga na uongo..kwani huwa hamna story nyngne?
Halafu pamoja na kulipiza kisasi unakosema bado hujapona cha zaidi ambacho hujajua ni kwamba unajizidishia maumivu kwa kuendelea kupata habari zake za zamani kutoka kwa huyo kimada wako.
Unajua kuna vitu huwa maumivu yake hayaponi hata ufanyaje unachoweza kufanya ni kujifunza kuishi na tatizo ulilonalo hasa kama mtu huwezi kumuacha...yani mfano mkeo/mumeo akichepuka na ww useme ukachepuke ukidhani utapata relief huwa hakuna kitu kama hiko( sijasema kachepuka lkn ni situation zinalandana)
Umeanzisha shida mno na itakutokea puani mwenyewe kwa jinsi ulivyo na wivu akisema yeye akupige tukio moja tu kulipiza ni either utamuua yeye au ujiue wewe au ufanye kitu cha ajabu tu.
Wanawake wengine huwa wanadhan wanaume kama nyie ndo mna mapenzi ila kiukweli wanaume wa hvi mna shida sana tena kubwa huwa hamna tofauti na vichaa huwa mna shida sana sana
Bado nawaza sijui unajitafutia shida gani kama vile haya maisha magumu hayakutoshi unazidi kujipalia mikaa[emoji31][emoji2360][emoji848]
Umeandika mawazo kwa 90% isipokuwa kukaoa haka kabinti kwanza kadogo pili kana ndogo ya kuendelea kusoma tatu ni muislamu na hawezi badiri dini (moja ya sababu ya wife kuachana na ex wake kwa maelezo ya binti).Mkeo amekukosea Ni wazi anampenda ex wake sana kuliko wewe, na hiyo kujifanya anasaidia ndugu wa ex anataka kuionyesha familia ya ex kuwa ndugu yao alipoteza mke mwema,,, ujinga ujinga tu anakutumia kukudolishia pasipo kujua Ni kiasi gani anakuumiza, Mimi hata namba ya ex kwenye simu ya mume wangu siitaki labda wawe wamezaa full stop una uvumilivu hata hivyo
Anapenda attention za kisenge kweli,,kaniboa mi nilivyo na wivu 😂😂😂ningemmwagia hata maji ya Moto akiwa amelala pumbavu kabisa,,
Hako kabinti kangekuwa kakubwa ningekushauri ukaoe ila Nina wasiwasi katakusumbua katakuongezea stress, mkeo kayataka
Kama kameshafikisha 18+ kapige daruga, kisha tuone hao waislamu kama hawatakukabidhi mke wa piliUmeandika mawazo kwa 90% isipokuwa kukaoa haka kabinti kwanza kadogo pili kana ndogo ya kuendelea kusoma tatu ni muislamu na hawezi badiri dini (moja ya sababu ya wife kuachana na ex wake kwa maelezo ya binti).
Basi hakikisha wife anajua umekatafuna hako kabinti km mdau mmoja alivyosema, itampa maumivu na atakata mguu ila Sasa ujiandae kuachana nae endapo akiamua kulipiza, ila una moyo hongera sanaUmeandika mawazo kwa 90% isipokuwa kukaoa haka kabinti kwanza kadogo pili kana ndogo ya kuendelea kusoma tatu ni muislamu na hawezi badiri dini (moja ya sababu ya wife kuachana na ex wake kwa maelezo ya binti).
City college hii. Tafuna tu mkuu hicho chuo hata mm kuna katoto kamemaliza mwaka huu kozi hiyohiyo nakatafuna badoHabari ndugu zanguni,
ni miaka mitatu sasa tangu niingie kwenye ndoa, toka mwanzo wa mahusiano na mke niligundua tabia ambayo sikuipenda ,mke wangu alikuwa bado anawasiliana na ndugu wa ex wake hasa dada zake na mamake yake yaani kwenye mambo ya kifamilia/sherehe watamshirkisha japo yeye na huyo ex wake waliachana tangu 2012.
Nilimuonya mara kwa mara kuwa kuendelea kuwasiliana nao ni kunikosea heshima na ukizingatia mimi na yeye tulikuwa na malengo alichofanya yeye ni kupunguza mawasiliano ya kuongea ila facebook kwenye comment wanaitana wii kama kawaida.
kilichosababisha kuandika huu uzi ni kuwa mmoja wa mawifi zake ana mtoto mkubwa tu kama miaka 21 kamaliza diploma ya famasi chuo fulani kigamboni cha afya (nimesahau jina) mawasiliano kati ya mke wangu na haka kabinti yaliendelea/yanaendelea licha ya kumkataza yeye anadai huyu binti alikuwa mdogo sana kipindi yeye ana date na uncle wake wala hajui chochote kama walikuwa kwenye mahusiano hivyo si vibaya kuwasiliana naye.
Baada ya muda nikaona isiwe shida ngoja na mie nijenge ukaribu na haka kabinti labda nitapata chance ya kukatafuna nijipooze , nilianza mchakato kama miaka miwili iliyopita lakini kila ikifikia hatua ya kuomba kuonana anasema mpaka aunty awepo ndio atakuja nikawa napotezea, nikikumbushia tena wimbo ni ule ule atakuja home aunty akiwepo na hatuwezi onana sehemu nyingine yoyote.
Mwaka huu mwanzoni kidogo nilianza ona dalili ya mafanikio alinitumia friend request tena facebook tukachat nikaomba tuonane tena safari hii akakubali ila sehemu iwe ya wazi tukapate lunch nikaenda onana naye , mara ya pili tena nikaomba onana naye ila nilimuomba iwe sehemu ya ndani kama hotel sababu mie nimeoa hapa hapa town kuonekana ni rahisi akakubali nikampeleka lodge fulani iko jirani na temeke mwisho kwanza aligoma kabisa kuingia nikamdanganya kuwa nishalipia na nikambebembeleza sana akakubali kwa masharti hatusex na kweli alinikazia kusex akiwa na visingizio chungu nzima, tulivyoachana sikumcheki tena nikajua nishaharibu CV ataenda kunitangaza huko kwao.
jabu kesho jioni natoka kazini akanitext l mambo leo ulikuwa busy, japo siku zote huwa anaanza na shikamoo uncle, nikamwambia bado nasikia machungu ya jana akasema hapana kwanza hatujapima atani trust vipi manake magonjwa mengi pili yeye ana mchumba na mimi nimeoa tutakuwa pamoja for how long?, mwisho aliuliza what if aunty akijua na aunty anamsaidia vitu vingi na anamuona kama ndugu, nikamjibu kiufasaha na mwisho nikaomba tuonane tena.
Safari hii ya tatu ya kuonana nilifanikisha kukatafuna japo yeye alijua nimefanya kwa upendo ila moyoni nilikuwa nalipiza kisasi kupooza machungu sababu wife inaonekana hii familia anaipenda sana kitu ambacho ni kunikosea heshima mimi.
Tangia nimeanza uhusiano na huyu binti nimejikuta namchukia zaidi mke wangu kwani vitu alivyodai huyu binti hajui kiuhalisia anajua, mama yake na huyo ex wake alifariki 2017 kipindi anaumwa wife alikuwa anaenda kumuona sababu wanakaa mtaa mmoja hizi habari zote kanipatia huyu binti pamoja na habari nyingine ambazo hata kama mambo yamepita lazima yanatia wivu.
Nilipanga kumtafuna na kuacha ila nitaendelea kuwa naye ili nizidi kupooza machungu kwakuwa mke amevuruga trust aliyotakiwa kunionyesha.
ni muhimu sana na atajua kuna picha zipo kwenye app photos siku atakutana nazo.Basi hakikisha wife anajua umekatafuna hako kabinti km mdau mmoja alivyosema, itampa maumivu na atakata mguu ila Sasa ujiandae kuachana nae endapo akiamua kulipiza, ila una moyo hongera sana