Usambazaji wa biashara ya kusambaza vifaa vya maofisini na mashuleni(Stationary Materials)

Usambazaji wa biashara ya kusambaza vifaa vya maofisini na mashuleni(Stationary Materials)

Joined
Aug 26, 2012
Posts
56
Reaction score
9
Ndugu wana JF nina mpango wa kuanzisha biashara ya kusambaza maofisini na mashureni(Stationary Materials), Nimesikia kuwa inatakiwa uwe na leseni(license) ya kufanya biashara hiyo. Napenda kufahamu uombaji wa tender kwa ofisi za serikali unakuwa vipi? Maana nasikia wengine wanaomba tender halmashauri za wilaya. Pia napenda kujua ile lisence inanipa uwezo wa kusambaza kiwango gani cha bidhaa?
 
simple sana mkubwa lisence ni za biashara kama kawaida uwe na TIN no.uwe na business suppoting documents kama.invoice,quatation form,delivery notes,cash sale,receapt book na stamp valid. ila kumbuka unahitaji kushawishi wahusika kwani kuna taratibu za manunuzi za serikali ambazo zinafuatwa na mara zote wahusika ndio wanaofanya biashara na mashule.na maofisi yao so unahitaji extra convincing power to be envolved the end utaishia kutoa 10%(RUSHWA)
 
Nashukuru Sangas, Pia vipi uwezo wa kusambaza bidhaa? Mfano kuna tender zinatangazwa magazetini, Hizo huwa ni kwa makampuni tu? au hata kama mtaji unaruhusu unaweza kuomba pia!
 
Back
Top Bottom