Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Leo Nyumba duni zenye umeme ukinunua umeme lazima utakatwa kodi ya jengo, hii ni kwa sababu hakuna mfumo wowote TANESCO unaoonyesha nyumba duni na nyumba bora. Mfumo wao unatambua namba ya mita tu baasi.
Je, ule usambazaji wa umeme wa REA vijijini ulilenga kuongeza kodi zaidi ?
Je, ule usambazaji wa umeme wa REA vijijini ulilenga kuongeza kodi zaidi ?