Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Kuna mtu mwenye vitukuu anasoma form two? Kama ka Lizzy bado kanakojoa kitandani.this is circa 1966 wakati kambarage (RIP) anaanzisha jkt bana. Hivi we hujui Husn na Lizzy wana vitukuu?
Umamzalilisha sana Kongosho asali ya ODM kusema amekua pamoja na hivyo vichipukizi.
Mtake razi kabla sijakuibukia kwa skriin hapo.