''USANII'' na WAPENZI WETU/WAKO...tukumbushane!

this is circa 1966 wakati kambarage (RIP) anaanzisha jkt bana. Hivi we hujui Husn na Lizzy wana vitukuu?
Kuna mtu mwenye vitukuu anasoma form two? Kama ka Lizzy bado kanakojoa kitandani.
Umamzalilisha sana Kongosho asali ya ODM kusema amekua pamoja na hivyo vichipukizi.
Mtake razi kabla sijakuibukia kwa skriin hapo.
 
Jamani, khaaa!...
 
Eti babu DC kakua na Lizzy?
Na hicho kibukta chake, hizi ni tuhuma nzito kama kupeleka hela za radar kwenye madawati.

Kuna mtu mwenye vitukuu anasoma form two? Kama ka Lizzy bado kanakojoa kitandani.
Umamzalilisha sana Kongosho asali ya ODM kusema amekua pamoja na hivyo vichipukizi.
Mtake razi kabla sijakuibukia kwa skriin hapo.
 
:A S 13::A S 13::A S 13: Mie sijasema kitu.
Afu tabia yako ya uchoyo hujaiacha tu?

Join Date : 21st March 2011

Location : Location loading...
Posts : 8,936
Rep Power : 2917
Likes Received3175
Likes Given1567


Ndo Likes ngapi hizi umegawa?
 
Niko via mobile mara nyingi
Najitahidi sana kukompaset nikiwa kwenye intaneti kefu

Afu umenikumbusha, kumbe nimekaribia kufikisha mwaka hapa jei efu?
Ngoja niandae pati leo kule chit chat.

Afu tabia yako ya uchoyo hujaiacha tu?

Join Date : 21st March 2011

Location : Location loading...
Posts : 8,936
Rep Power : 2917
Likes Received3175
Likes Given1567


Ndo Likes ngapi hizi umegawa?
 
"Honey! kama wanaume ni simu basi wewe ni Iphone 4 na waliobakia ni nokia vitochi"............

Hapo jibaba unachekacheka tu kumbe wizi mtupu infakti ndo kwanza karudi kuongezwa protein mwilini na njemba nyengine.
Hahahahahaaaa! Daaah, kweli duniani kuna wizi a kila aina...lol.
 
Baba ubaya ulimtokea mwanajeshi au?.. lol.. Mbavu zangu jamani...
 
Niko via mobile mara nyingi
Najitahidi sana kukompaset nikiwa kwenye intaneti kefu

Afu umenikumbusha, kumbe nimekaribia kufikisha mwaka hapa jei efu?
Ngoja niandae pati leo kule chit chat.
Fanya hima bana, wenzio post bila like ni sawa na ndoa bila kimwaga mkojo.
 
Naona bado mnaangusha swagger .. mie sijui nilikuwa wapi na haya mambo ya nakupenda kama jana....
 
Afu maternity ward unatafuta nini?
Umekuwa mkunga?
Nafanya Loading na offloading ya maumivu ya kinamama walotoka kujifunga na kujifungua..... We unafanya loading ya location gani?
 
...."sikuachi ng'o, ukiniacha nitajiua!"....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…