Usanii wa Bongo kweli Usanii

Usanii wa Bongo kweli Usanii

Bado mpaka leo sijapata kabisa courage ya kuwa na hiyo nyimbo ya "ushamba" kwnye playlist yangu..


Yani nashindwa
Jitahidi hivo hivo.
Sasa utakuwa na nyimbo gani kutoka Msaniii wa Mtwara?
Ndo ujishikilie tu uwe nayo.
Kuwa mzalendo.
 
Saivi kama umekuja kuona wasanii wa bongo wanapenda kukaaa sana midomoni mwa watu kuliko kazi zao. Yaani wanafanya mambo wazungumziwe wao na sio kazi zao. Japo kuna namna inawasaidia ila kuna namna inawapoteza kwenye Ramani ya usanii na kuonekana kanjanja tu.

View attachment 1638889
View attachment 1638890
View attachment 1638891

Hizo ni baadhi tu. Ila kilichonifurahisha kidogo ni hii style ya Diamond Platnumz ya kuja na ucomedian kwenye video zake [emoji1787]

Tulianza na Buti la jeje

View attachment 1638892

Sasa ivi naona tumeletewa SURUWALI LA WAAAH
View attachment 1638894
Hii kama zile PPE za madokta kujikinga na Korona ama white Trash Bags [emoji16]
Hawa wanajifunza ushoga tu, sasa Konde Boy anavaa hereni za demu wake huku akisuka nywele ili walingane, na huyo Rayvanny sijuwi nisemeje....kalegeza macho utafikiri katoka kuliwa tigo ya 5G na Diamond?
 
Saivi kama umekuja kuona wasanii wa bongo wanapenda kukaaa sana midomoni mwa watu kuliko kazi zao. Yaani wanafanya mambo wazungumziwe wao na sio kazi zao. Japo kuna namna inawasaidia ila kuna namna inawapoteza kwenye Ramani ya usanii na kuonekana kanjanja tu.

View attachment 1638889
View attachment 1638890
View attachment 1638891

Hizo ni baadhi tu. Ila kilichonifurahisha kidogo ni hii style ya Diamond Platnumz ya kuja na ucomedian kwenye video zake [emoji1787]

Tulianza na Buti la jeje

View attachment 1638892

Sasa ivi naona tumeletewa SURUWALI LA WAAAH
View attachment 1638894
Hii kama zile PPE za madokta kujikinga na Korona ama white Trash Bags [emoji16]
Kilichonifurahisha zaidi ni style ya mavazi ya iyo nyimbo ya dimond na koff yan koff pamoja na lijitambi lake lakini kuna mahali kavaa croptop....[emoji16][emoji16][emoji16]
 
hii sio ya zamani hii ni mpya kabisa, mabishoo wa siku hizi unaweza kaa nao maskani ukajikuta umedisa.../

mara vipensi mara vibukta vya kuchanika dunia imekwisha, mwanaume anatamanisha../


Boy, you're a gay. Yaani utaanzaje kudisa kwa mwanaume mwenzio if you are not one of them?
 
Mkuu, mbona umeweke picha za wadada tupu..🤔🤔
 
Kilichonifurahisha zaidi ni style ya mavazi ya iyo nyimbo ya dimond na koff yan koff pamoja na lijitambi lake lakini kuna mahali kavaa croptop....[emoji16][emoji16][emoji16]

Yaani unaweza sema Koffi ndo angekua anawapa displine vijana namna gani wavae kumbe na ye zee la nyeti [emoji23][emoji23][emoji23]
 
My ribs oooh[emoji16][emoji16]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umekiona kitovu cha mzee mzima [emoji23][emoji23] kitovu softi kinaweza shinda chako. Mbona mimi tumbo lina mywele hivi Koffi zake ananyoa na nini [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom