Usanii wa Bongo kweli Usanii

Bado mpaka leo sijapata kabisa courage ya kuwa na hiyo nyimbo ya "ushamba" kwnye playlist yangu..


Yani nashindwa
Jitahidi hivo hivo.
Sasa utakuwa na nyimbo gani kutoka Msaniii wa Mtwara?
Ndo ujishikilie tu uwe nayo.
Kuwa mzalendo.
 
Hawa wanajifunza ushoga tu, sasa Konde Boy anavaa hereni za demu wake huku akisuka nywele ili walingane, na huyo Rayvanny sijuwi nisemeje....kalegeza macho utafikiri katoka kuliwa tigo ya 5G na Diamond?
 
Kilichonifurahisha zaidi ni style ya mavazi ya iyo nyimbo ya dimond na koff yan koff pamoja na lijitambi lake lakini kuna mahali kavaa croptop....[emoji16][emoji16][emoji16]
 
hii sio ya zamani hii ni mpya kabisa, mabishoo wa siku hizi unaweza kaa nao maskani ukajikuta umedisa.../

mara vipensi mara vibukta vya kuchanika dunia imekwisha, mwanaume anatamanisha../


Boy, you're a gay. Yaani utaanzaje kudisa kwa mwanaume mwenzio if you are not one of them?
 
Mkuu, mbona umeweke picha za wadada tupu..🤔🤔
 
Kilichonifurahisha zaidi ni style ya mavazi ya iyo nyimbo ya dimond na koff yan koff pamoja na lijitambi lake lakini kuna mahali kavaa croptop....[emoji16][emoji16][emoji16]

Yaani unaweza sema Koffi ndo angekua anawapa displine vijana namna gani wavae kumbe na ye zee la nyeti [emoji23][emoji23][emoji23]
 
My ribs oooh[emoji16][emoji16]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umekiona kitovu cha mzee mzima [emoji23][emoji23] kitovu softi kinaweza shinda chako. Mbona mimi tumbo lina mywele hivi Koffi zake ananyoa na nini [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…