Usanii wa CCM: Badala ya kushughulikia Ripoti ya CAG yenye utatuzi kisheria mnatumia mikutano kudhalilisha halafu imeisha

Usanii wa CCM: Badala ya kushughulikia Ripoti ya CAG yenye utatuzi kisheria mnatumia mikutano kudhalilisha halafu imeisha

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Hakika huu ni usanii mkubwa na very calculated.

CCM ambayo ndio ina dhamana ya kuongoza serikali inatumia ujinga wetu kutuhadaa ili tuone wanastahili kuendelea kushika dhamana hiyo pamoja na madudu yao ya kutisha.


Kwa mujibu wa sheria Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali CAG ni mtu independent na wa muhimu sana.

Yupo pale kufichua madhaifu na kushauri kitaalamu la kufanya lakini pia kugundua wizi na ubadhilifu wa fedha na mali za umma na ripoti yake baada ya kujadiliwa ni jukumu la serikali kuchukua hatua stahili ambazo ni kupeleka mahakamani mashauri hayo ili adhabu stahili ichukuliwe.

Sasa kwa miaka ya karibuni ripoti zinawekwa makabatini na kinachofanyika mfano kama Arusha, RC anaitisha mikutano anaita ya haki kisha mama ya watu wanajaa.
Kinachofuata ni kuita watendaji wabaya na wazuri hadharani kujibu tuhuma.

Na kwa ujinga wetu Watanzania wengi ndio tunapata nafasi ya kuwazomea kwa vile tunaona wanajidai sana. Tukumbuke hawa sio wanasiasa ni wahandisi, madaktari, wachumi nk hivyo majibu yao hayawezi ridhisha la saba B au mbumbumbu hivyo wanaishia kuzomea na kuona safi na hadithi inaishia hapo.

Hivi unaacha kuisimamia hatua zichukuliwe ripoti ya CAG unatumia mikutano ambayo hata wote washangilie hauwezi kuwa ushahidi mahakamani na hatua zikachukuliwa?

Hizii ni HADAA NA KUWABEZA wananchi maana utasikia "kamanda TAKUKURU shughulikia huyu, hebu ondoka naye" kisa mwananchi mmoja alilalamika hapo kisha Makonda anaondoka na HADITHI INAISHIA HAPO.

Nani kesha wahi kufilisiwa na mahakama kisa maamuzi ya mikutanoni?

Hao watumishi wanasimamiwa na CCM, why hawataki kuzingatia ripoti za CAG na kuchukua hatua badala yake mnafanya mbwembwe za misafara eti safari ya haki?

Kweli wanatuona zumbukuku maana wanadhani hatuoni hao wachache wanavyotafuna nchi kisha tunazugwa.
 
Mkuu chakaza umeamkia kiporo bila kupasha moto mwisho wa siku unapuyanga tu hebu tupe habari za mwembe yanga jana!
 
Hakik huu ni usanii mkubwa na very calculated.
CCM ambayo ndio ina dhamana ya kuongoza serikali inatumia ujinga wetu kutuhadaa ili tuone wanastahili kuendelea kushika dhamana hiyo pamoja na madudu yao ya kutisha.
Kwa mujibu wa sheria Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali CAG ni mtu independent na wa muhimu sana.
Yupo pale kufichua madhaifu na kushauri kitaalamu la kufanya lakini pia kugundua wizi na ubadhilifu wa fedha na mali za umma na ripoti yake baada ya kujadiliwa ni jukumu la serikali kuchukua hatua stahili ambazo ni kupeleka mahakamani mashauri hayo ili adhabu stahili ichukuliwe.
Sasa kwa miaka ya karibuni ripoti zinawekwa makabatini na kinachofanyika mfano kama Arusha, RC anaitisha mikutano anaita ya HAKI kisha mama ya watu wanajaa.
Kinachofuata ni kuita watendaji wabaya na wazuri hadharani kujibu tuhuma.
Na kwa ujinga wetu Watanzania wengi ndio tunapata nafasi ya kuwazomea kwa vile tunaona wanajidai sana. Tukumbuke hawa sio wanasiasa ni wahandisi, madaktari, wachumi nk hivyo majibu yao hayawezi ridhisha la saba B au mbumbumbu hivyo wanaishia kuzomea na kuona safi na hadithi inaishia hapo.
Hivi unaacha kuisimamia hatua zichukuliwe ripoti ya CAG unatumia mikutano ambayo hata wote washangilie hauwezi kuwa ushahidi mahakamani na hatua zikachukuliwa?
Hizii ni HADAA NA KUWABEZA wananchi maana utasikia "kamanda TAKUKURU shughulikia huyu, hebu ondoka naye" kisa mwananchi mmoja alilalamika hapo kisha Makonda anaondoka na HADITHI INAISHIA HAPO.
Nani kesha wahi kufilisiwa na mahakama kisa maamuzi ya mikutanoni?
Hao watumishi wanasimamiwa na CCM, why hawataki kuzingatia ripoti za CAG na kuchukua hatua badala yake mnafanya mbwembwe za misafara eti safari ya haki?
Kweli wanatuona Zumbukuku maana wanadhani hatuoni hao wachache wanavyotafuna nchi kisha tunazugwa.
Wanajua kabisa wengi wa, wananchi ni wajinga, na wanajua vile vile, majizi ni ma CCM, sasa watafukuzana wenyewe?! Wanaotakiwa kufukuza wezi, wenyewe ni majizi konkodi! Hapo ndio shida
 
Hakik huu ni usanii mkubwa na very calculated.
CCM ambayo ndio ina dhamana ya kuongoza serikali inatumia ujinga wetu kutuhadaa ili tuone wanastahili kuendelea kushika dhamana hiyo pamoja na madudu yao ya kutisha.
Kwa mujibu wa sheria Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali CAG ni mtu independent na wa muhimu sana.
Yupo pale kufichua madhaifu na kushauri kitaalamu la kufanya lakini pia kugundua wizi na ubadhilifu wa fedha na mali za umma na ripoti yake baada ya kujadiliwa ni jukumu la serikali kuchukua hatua stahili ambazo ni kupeleka mahakamani mashauri hayo ili adhabu stahili ichukuliwe.
Sasa kwa miaka ya karibuni ripoti zinawekwa makabatini na kinachofanyika mfano kama Arusha, RC anaitisha mikutano anaita ya HAKI kisha mama ya watu wanajaa.
Kinachofuata ni kuita watendaji wabaya na wazuri hadharani kujibu tuhuma.
Na kwa ujinga wetu Watanzania wengi ndio tunapata nafasi ya kuwazomea kwa vile tunaona wanajidai sana. Tukumbuke hawa sio wanasiasa ni wahandisi, madaktari, wachumi nk hivyo majibu yao hayawezi ridhisha la saba B au mbumbumbu hivyo wanaishia kuzomea na kuona safi na hadithi inaishia hapo.
Hivi unaacha kuisimamia hatua zichukuliwe ripoti ya CAG unatumia mikutano ambayo hata wote washangilie hauwezi kuwa ushahidi mahakamani na hatua zikachukuliwa?
Hizii ni HADAA NA KUWABEZA wananchi maana utasikia "kamanda TAKUKURU shughulikia huyu, hebu ondoka naye" kisa mwananchi mmoja alilalamika hapo kisha Makonda anaondoka na HADITHI INAISHIA HAPO.
Nani kesha wahi kufilisiwa na mahakama kisa maamuzi ya mikutanoni?
Hao watumishi wanasimamiwa na CCM, why hawataki kuzingatia ripoti za CAG na kuchukua hatua badala yake mnafanya mbwembwe za misafara eti safari ya haki?
Kweli wanatuona Zumbukuku maana wanadhani hatuoni hao wachache wanavyotafuna nchi kisha tunazugwa.
99.999 % ya watanzania ni takataka, mapaka hapo tutakapo pata at least 50% wakajielewa, then we will be there. Ukiona mtu anakwenda kwa mikutano ya Makonda ujue huyu ni takataka, takataka mavi uharo
 
Report ya CAG ni utapeli mtupu huwa ina deal na halmashauri pekee inaachana na Wizara ambako ndiyo kuna ufisadi mkubwa na wa kutisha
 
99.999 % ya watanzania ni takataka, mapaka hapo tutakapo pata at least 50% wakajielewa, then we will be there. Ukiona mtu anakwenda kwa mikutano ya Makonda ujue huyu ni takataka, takataka mavi uharo
25% wakijielewa tunabadilisha nchi na kuwa nchi ya ahadi
 
Tamko la Mwenyekiti wa UWT ona anavyolijibu kibabe kisha anachomekea habari za kutukanwa mitandaoni Samia kama kinga yake.
Mbona hajawataja hao mawaziri wanaowalipa waliomtukana? Makonda hajui kwa kusema kwake ndio kamuacha uchi zaidi mheshimiwa Rais maana ni kama alipiga promo?
Chat andaa haya ushakebehiwa na wanawake wote mmekebehiwa na huyo mteuajo ambaye ni mwanamke hajali maana huyo ni "mtoto mpendwa" ambaye hata mtangulizi wake alimshtukia.

View: https://youtu.be/ZoL7W6CikeA?si=mGI8lodL7IKRRbdn
 
Mkuu chakaza umeamkia kiporo bila kupasha moto mwisho wa siku unapuyanga tu hebu tupe habari za mwembe yanga jana!
Yaani Bado ccm wanatumia hadaa za kizamni kweli kweli. Kwenye hizi hadaa mtawapata wajinga.
 
Tamko la Mwenyekiti wa UWT ona anavyolijibu kibabe kisha anachomekea habari za kutukanwa mitandaoni Samia kama kinga yake.
Mbona hajawataja hao mawaziri wanaowalipa waliomtukana? Makonda hajui kwa kusema kwake ndio kamuacha uchi zaidi mheshimiwa Rais maana ni kama alipiga promo?
Chat andaa haya ushakebehiwa na wanawake wote mmekebehiwa na huyo mteuajo ambaye ni mwanamke hajali maana huyo ni "mtoto mpendwa" ambaye hata mtangulizi wake alimshtukia.

View: https://youtu.be/ZoL7W6CikeA?si=mGI8lodL7IKRRbdn

😆😆😆😆
 
Hakika huu ni usanii mkubwa na very calculated.

CCM ambayo ndio ina dhamana ya kuongoza serikali inatumia ujinga wetu kutuhadaa ili tuone wanastahili kuendelea kushika dhamana hiyo pamoja na madudu yao ya kutisha.


Kwa mujibu wa sheria Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali CAG ni mtu independent na wa muhimu sana.

Yupo pale kufichua madhaifu na kushauri kitaalamu la kufanya lakini pia kugundua wizi na ubadhilifu wa fedha na mali za umma na ripoti yake baada ya kujadiliwa ni jukumu la serikali kuchukua hatua stahili ambazo ni kupeleka mahakamani mashauri hayo ili adhabu stahili ichukuliwe.

Sasa kwa miaka ya karibuni ripoti zinawekwa makabatini na kinachofanyika mfano kama Arusha, RC anaitisha mikutano anaita ya haki kisha mama ya watu wanajaa.
Kinachofuata ni kuita watendaji wabaya na wazuri hadharani kujibu tuhuma.

Na kwa ujinga wetu Watanzania wengi ndio tunapata nafasi ya kuwazomea kwa vile tunaona wanajidai sana. Tukumbuke hawa sio wanasiasa ni wahandisi, madaktari, wachumi nk hivyo majibu yao hayawezi ridhisha la saba B au mbumbumbu hivyo wanaishia kuzomea na kuona safi na hadithi inaishia hapo.

Hivi unaacha kuisimamia hatua zichukuliwe ripoti ya CAG unatumia mikutano ambayo hata wote washangilie hauwezi kuwa ushahidi mahakamani na hatua zikachukuliwa?

Hizii ni HADAA NA KUWABEZA wananchi maana utasikia "kamanda TAKUKURU shughulikia huyu, hebu ondoka naye" kisa mwananchi mmoja alilalamika hapo kisha Makonda anaondoka na HADITHI INAISHIA HAPO.

Nani kesha wahi kufilisiwa na mahakama kisa maamuzi ya mikutanoni?

Hao watumishi wanasimamiwa na CCM, why hawataki kuzingatia ripoti za CAG na kuchukua hatua badala yake mnafanya mbwembwe za misafara eti safari ya haki?

Kweli wanatuona zumbukuku maana wanadhani hatuoni hao wachache wanavyotafuna nchi kisha tunazugwa.
Nchi inahitaji overhaul, simlaumu CAG, nawalau ambao wana kamati “ya kuomba msamaha” kwa rais kwa wale viongoz wanaopatikana na madudu kwenye wizara zao.
Embu imagine, badala ya kuwawajibisha , wanaombewa msamaha ? Tunaenda wapi kama nchi?
Halaf hawa watumishi wa ngazi za chini ndio wanaguswa, wajuu sheria inapinda?

Kuna kizazi tz cha lazima kipite, kina nidham ya uwoga, wanaabudu watu. Kizazi kipya hiki kidogo kuna mwanga nauona. Atleast wanahoji
 
Back
Top Bottom