Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,400
- 320
Hao uliowataja ndugu yangu wamegombea na wananchi wenyewe wamewachagua tofauti na mtu wa kuteuliwa kiuswahiba na JK hoja yako haiingi kwenye hii tuhuma
sasa ni zamu kuwapa nafasi maswahiba wa mwanae riziwani, ili nao wake nchi