Usawa huu unakamata milioni 1 just kwa mkupuo ni kama ndoto

Usawa huu unakamata milioni 1 just kwa mkupuo ni kama ndoto

nipo online

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2022
Posts
1,039
Reaction score
2,657
Ukiona watu wanasema million ni ngumu kuikamata huku wengine wanaidaka kwa mkupuo Yani like simple hivi.

Waulize migodini, mabaharia, wazee wa kago, sema duh kuna watu wanapiga ela wewe na viten ten vyako utasubiri sana.
Badili mfumo wa kusaka maokoto Hakuna namna
 
Me binafsi pia hukaa benchi hata miezi mi 3 bila kushika mfano tokea july to now october..


Ila zikifululiza ni kana kwamba bomba limepasuka...maana per diem yangubya night 20 tu =3600000...ni ya msimu



Poleni msiozishika

DR HAYA LAND
Kuna wakati pesa inapotea hata dala unapata kwa manati
 
Me binafsi pia hukaa benchi hata miezi mi 3 bila kushika mfano tokea july to now october..


Ila zikifululiza ni kana kwamba bomba limepasuka...maana per diem yangubya night 20 tu =3600000...ni ya msimu



Poleni msiozishika

DR HAYA LAND
Majigambo mnayaanza wenyewe hapa. Wakija inbox kuomba hela za kula mnalia lia pumbaf

Cc. Extrovert
Chief Godlove
 
Me binafsi pia hukaa benchi hata miezi mi 3 bila kushika mfano tokea july to now october..


Ila zikifululiza ni kana kwamba bomba limepasuka...maana per diem yangubya night 20 tu =3600000...ni ya msimu



Poleni msiozishika

DR HAYA LAND

Everything is connected

Kila MTU anakuwa yupo katika mfumo fulani wa maisha.


Kuna watu wanalipwa 200K Ila account zao bank hizo million huwa hazikatiki .
 
Me binafsi pia hukaa benchi hata miezi mi 3 bila kushika mfano tokea july to now october..


Ila zikifululiza ni kana kwamba bomba limepasuka...maana per diem yangubya night 20 tu =3600000...ni ya msimu



Poleni msiozishika

DR HAYA LAND
Yani night zote hizo...duuh
 
Back
Top Bottom