Usawa huu unakamata milioni 1 just kwa mkupuo ni kama ndoto

Usawa huu unakamata milioni 1 just kwa mkupuo ni kama ndoto

Kijana kafunguka kwamba hali yake sio mbaya😁kuna misimu anatajirika
Na mbona hio kawaida sana je ukienda site visiting kwenye camp za mining operation za wazungu si ndo utapagawa...kule kuna posho ya induction kuna ya visiting kuna ya meeting yaani unaenda siku mbili tu unarudi na 1.4 mpk unashangaa
 
Na mbona hio kawaisa sana je ukienda site visiting kwenye camp za mining operation za wazungu si nso utapagawa...kule kuna posho ya induction kuna ya visiying kuna ya meeting yaani unaenda siku mbili yu unarudi na 1.4 mpk unashangaa
Ukishasikia ajira ni ya mzungu inayohusisha site visit we ikibidi hata kutafta mganga fanya hivyo 😁 utanishukuru baadae.
 
Kijana kafunguka kwamba hali yake sio mbaya😁kuna misimu anatajirika
Wahitaji wataflow inbox huko.. fursa sio kama watu hawazitaki. Unajua katika sehem ambayo nimekutana na vijana waliochapwa na maisha, waliokosa matumaini katika maisha yangu jf ni top.

Mpaka leo sijajua jf inatakiwa kifanyike nn kukomboa kundi kubwa la hawa vijana. Hali zao ni mbaya kwelikweli
 
Na mbona hio kawaida sana je ukienda site visiting kwenye camp za mining operation za wazungu si ndo utapagawa...kule kuna posho ya induction kuna ya visiting kuna ya meeting yaani unaenda siku mbili tu unarudi na 1.4 mpk unashangaa
Weka Email hapa tutume CV zetu
 
Wahitaji wataflow inbox huko.. fursa sio kama watu hawazitaki. Unajua katika sehem ambayo nimekutana na vijana waliochapwa na maisha, waliokosa matumaini katika maisha yangu jf ni top.

Mpaka leo sijajua jf inatakiwa kifanyike nn kukomboa kundi kubwa la hawa vijana. Hali zao ni mbaya kwelikweli
Hali tete mtaani tuoneane huruma tu
 
Back
Top Bottom