nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
Hujawai kamata million kaa kandoMbona heading yako hujaielezea kabisa....
😳Kumbe umekuja kimajungu!?🤣🤣🤣🙌Hujawai kamata million kaa kando
Kuna wakati pesa inapotea hata dala unapata kwa manatiMe binafsi pia hukaa benchi hata miezi mi 3 bila kushika mfano tokea july to now october..
Ila zikifululiza ni kana kwamba bomba limepasuka...maana per diem yangubya night 20 tu =3600000...ni ya msimu
Poleni msiozishika
DR HAYA LAND
Mimi binafsi ujinga uko july -october ..ila next week mtaelewa tu activities lazima zianzeKuna wakati pesa inapotea hata dala unapata kwa manati
Unazama zako benk utaona jamaa mashine inavyohesabu pesaMimi binafsi ujinga uko july -october ..ila next week mtaelewa tu activities lazima zianze
Ukishapokea mshahara njoo huku tunywe bia.Me binafsi pia hukaa benchi hata miezi mi 3 bila kushika mfano tokea july to now october..
Ila zikifululiza ni kana kwamba bomba limepasuka...maana per diem yangubya night 20 tu =3600000...ni ya msimu
Poleni msiozishika
DR HAYA LAND
Majigambo mnayaanza wenyewe hapa. Wakija inbox kuomba hela za kula mnalia lia pumbafMe binafsi pia hukaa benchi hata miezi mi 3 bila kushika mfano tokea july to now october..
Ila zikifululiza ni kana kwamba bomba limepasuka...maana per diem yangubya night 20 tu =3600000...ni ya msimu
Poleni msiozishika
DR HAYA LAND
Ni mimi huyo nimetoka ATM muda sio mrefu kuchukua maburungutu, ungeniita nikupe hata jero ya chai.Unazama zako benk utaona jamaa mashine inavyohesabu pesa
Me binafsi pia hukaa benchi hata miezi mi 3 bila kushika mfano tokea july to now october..
Ila zikifululiza ni kana kwamba bomba limepasuka...maana per diem yangubya night 20 tu =3600000...ni ya msimu
Poleni msiozishika
DR HAYA LAND
Nitumie namba yako chapuu hapaNirushie buku 10 chapu bichwa
Hana huyo muongoNirushie buku 10 chapu bichwa
Sijui kwanini yanEverything is connected
Kila MTU anakuwa yupo katika mfumo fulani wa maisha.
Kuna watu wanalipwa 200K Ila account zao bank hizo million huwa hazikatiki .
Kama unafanya baishara au dili mbalimbali kuwa mtohaji utaona mbadiliko taratibu.Sijui kwanini yan
Sitaki usije nianika humu siku ukikwazika...ukanidhalilsha...🤣🤣🤣🤣Nitumie namba yako chapuu hapa
Kijana kafunguka kwamba hali yake sio mbaya😁kuna misimu anatajirikaMajigambo mnayaanza wenyewe hapa. Wakija inbox kuomba hela za kula mnalia lia pumbaf
Cc. Extrovert
Chief Godlove
Yani night zote hizo...duuhMe binafsi pia hukaa benchi hata miezi mi 3 bila kushika mfano tokea july to now october..
Ila zikifululiza ni kana kwamba bomba limepasuka...maana per diem yangubya night 20 tu =3600000...ni ya msimu
Poleni msiozishika
DR HAYA LAND