sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Naibu spika Tulia Mwansasasu tayari ni Mkristo mwanamke wa bara, inapendeza apika mpya awe mwislamu mwanaume hasa akitokea zanzibar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UROjo UNIT naona mnaongeza mashambulizi.Naibi spika tayari ni Mkristo mwanamke wa bara, inapendeza apika mpya awe mwislamu mwanaume hasa akitokea zanzibar
UROJO UNIT [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji119]UROjo UNIT naona mnaongeza mashambulizi.
Iwekwe kwenye katiba nayo hiyo.Naibu spika Tulia Mwansasasu tayari ni Mkristo mwanamke wa bara, inapendeza apika mpya awe mwislamu mwanaume hasa akitokea zanzibar
Naomba kufahamu.Naibu spika Tulia Mwansasasu tayari ni Mkristo mwanamke wa bara, inapendeza apika mpya awe mwislamu mwanaume hasa akitokea zanzibar
Mbona rais bara mwisilam,na zenji ni mwisilamu anyway speaker akiwa mwisilamu mnafaidika nini au mna agenda ya siri juu ya hili taifa nyie wakina Mwamedi?Naibu spika Tulia Mwansasasu tayari ni Mkristo mwanamke wa bara, inapendeza apika mpya awe mwislamu mwanaume hasa akitokea zanzibar
Etii jamani sasa sisi wakina Freemason na wasabato tutakuwa raisi lini?Naomba kufahamu.
Nchi hii, viongozi ni lazima wawe Islams na Christians pekee?
Mbona mnaingia chaka nyie?
Spika haiwezi kutoka mkoani Zanzibar bwasheeeNaibu spika Tulia Mwansasasu tayari ni Mkristo mwanamke wa bara, inapendeza apika mpya awe mwislamu mwanaume hasa akitokea zanzibar
Nachojua rais Mkristo lazima awe mkatolikiNaomba kufahamu.
Nchi hii, viongozi ni lazima wawe Islams na Christians pekee?
Mbona mnaingia chaka nyie?
Hii ni Hoja mfu Dini ya Mtu haitusaidii chochote Wananchi . Napendekeza Mtu mwenye sifa stahiki achaguliwe kuwa Spika wa Bunge.Naibu spika Tulia Mwansasasu tayari ni Mkristo mwanamke wa bara, inapendeza apika mpya awe mwislamu mwanaume hasa akitokea zanzibari
Hii mijitu ya Zanzibar mipumbav kweli yani..Naibu spika Tulia Mwansasasu tayari ni Mkristo mwanamke wa bara, inapendeza apika mpya awe mwislamu mwanaume hasa akitokea zanzibar
I wapi nafasi yetu tusio na dini?Naibu spika Tulia Mwansasasu tayari ni Mkristo mwanamke wa bara, inapendeza apika mpya awe mwislamu mwanaume hasa akitokea zanzibar
Nafasi yenu ipo Chato.I wapi nafasi yetu tusio na dini?
Siyo mfu tu ni ujingaHii ni Hoja mfu Dini ya Mtu haitusaidii chochote Wananchi . Napendekeza Mtu mwenye sifa stahiki achaguliwe kuwa Spika wa Bunge.
Hili ni swali ambalo watu huwa hawajiulizi, I mean hao wadini na wabaguzi hasa wa huku bongo maana wanaowachagua hawanaga influence yeyote policy wise kwenye hiyo mirengo yao