Used TVS king Bajaji inahitajika

Used TVS king Bajaji inahitajika

Mwamba028

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2013
Posts
4,595
Reaction score
3,670
Kwa Milion 2 na maelewano yapo, inahitajika hyo bajaji aina ya TVS
 
Nzima au iliyopata ajali?
Bajaji hata iwe used vipi haiwezi kuwa na bei ya Bodaboda.
Jipange angalau ufike 3.5m ili uwe angalau na uhakika wa unachohitaji la sivyo utakuta unanunua scraper.
 
Mimi ninayo iko bomba kabisa na ni aina hiyo unayotaka ila bei yake ni 3.7milion.angalia attachment
 

Attachments

  • 1395068591832.jpg
    1395068591832.jpg
    66.9 KB · Views: 108
  • 1395068615843.jpg
    1395068615843.jpg
    82.5 KB · Views: 110
  • 1395068638494.jpg
    1395068638494.jpg
    58 KB · Views: 97
Back
Top Bottom