Pre GE2025 Useful pointers to CHADEMA: Civil disobedience and passive resistance

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Takataka wewe na mada hii
 
Watanzania hawa ndio wana imani na ccm ?

 
Kwani kuna kipindi ambacho walionyesha kutounga mkono serikali?
 
Uongozi wa Chadema mzilete kwanza familia zenu toka Ughaibuni.!

Uongozi huwa ni kuonyesha Njia.uongozi huwa ni pamoja na kusimamia yale mnayowaaminisha mnaowaongoza kwa vitendo.
Sasa Chadema kupitia mwenyekiti wake Ndugu Aikael Freeman Mbowe,mmewatangazia watanzania kuwaomba wawaunge mkono katika maandamano yenu kutaka mapendekezo yenu yaingizwe kwenye marekebisho ya katiba mpya.
Ni ukweli kwamba mnayo hoja ya msingi na mnapaswa kusikilizwa.

Ombi langu kwenu enyi viongozi waandamizi wa Chadema ni moja tu.

Kwamba muwalete na nyinyi watoto wenu wanaokula maisha huko ughaibuni pamoja na wake zenu.
Ili waje tushirikiane kwenye hayo maandamano,badala ya nyingi kutska kuwatumia watoto,wamama na wababa wa wenzenu.
Huku wa kwenu mmewaficha ulaya.
Mbowe- familia iko USA [emoji631].
Lema-familia iko Canada [emoji1063].
Lissu-familia iko Belgium [emoji1045].

Lakini pia niwaulize Chadema kwamba mlikuwa wapi kwenye kutetea ugumu wa maisha uliosababishwa na uongozi huu?
Ina maana leo ndio mnaisikia Tozo ya miamala,mfumko wa bei,kupanda nauli nchini pamoja na kutamalaki kwa ufisadi nchini?

Mlikuwa wapi kuitisha maandamano ya kupinga hayo?
Maana kiuhalisia hayo ndiyo madhila makuu ya wananchi.

Sasa nyingi mnataka wananchi wawatetee kutafuta katiba,ili na nyinyi iwape upenyo kuingia ikulu kufaidi.

Lakini mnasahau kwamba ni hivi majuzi tu mliwatenga kina Mwabukusi na Dk Slaa kwenye sakata la bandari ile DP-WORLD.
Na mkawazimia simu kabisa ilhali mlikwisha waahidi kutumia platform yenu!

Lakini pia no nyie mnaoo ngoza kwa kujitenga na vyama vinginevyo vya upinzanitt77766 nchini mkiwakejeli kwamba ni vyama vidogo.
Iweje leo mnawaomba ushirikiano??
U u 68,000 I u
 
Ngabu una akili sana.

Kususia ni silaha ya kimyakimya
 
Ccm imeshakuwa mhimili wa 4 wa nchi, tena wenye mamlaka kuliko mihimili yote.

Katiba mpya pekee ndiye itakayoweza kusawazisha hilo.
CCM huwa hawajuai kwamba kuna KATIBA nchi hii, ukiwasikiliza vizuri huwa hawataji katiba mahala popote. Utawasikia TUMETEKELEZA ILANI ya CHAMA ya 2020 sijui 2021 na kadhalika . CCM wao ILANI ya CCM ndiyo katiba. Lisemwalo kwenye hiyo ilani hata kama ni KUUA lazima litekelezwe.
 
Je unadhani hao CCM unao watetea nao ni wasafi 🐩?
 
Ujinga ni mtaji wa wanasiasa Tanzania. Mtaji kwa watawala na hao wengine.

Tusingekuwa wajinga lowasa asingepewa kugombea urais chadema 2015, hakuwa na sifa za kuiwakilisha chadema.
Lowasa ni Mtanzania kama Watanzania wengine yeye alikuwa kiongozi mmoja wapo tu ktk serkali ya CCM na maamuzi hakuwa anatoa yeye peke yake kwahiyo kumtuhumu yeye kama yeye ni makosa tuhumu system nzima ya wakati huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…