Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Short experience bro .. Nilipopita acha tu.. Nkirudigi hiyo mitaaa daaah... Tumetoboa wachacheeee sanaaaa .... Angalia tu hiyo mitaaa ..hapo tunahamia TANDALE TP ndio inaitwa Sinza Vatican mpaka Daraja LA mto wa ng'ombe ... Unanyoosha kwenda Tandale kwa Ali MapuaHeeeh kwani hii ni verse
Nimekulia Ubungo Maziwa, Yombo Vituka , Kiwalani Kijiwe samli ... Cheza a sana. kitintale chama la wahuni... Chafua sana Starlet Vituka , vuruga sana Flamingo buza machimbo .. , Manga'nizi camp Argentina fc ... Malawi zahanati ... Staki shari .. uwanja wa samaki ...mbagala .. Tukahamia Tandale uwanja wa TP pale Mto wa ng'ombe.. Ubungo kisiwani kwa mzee Ndumbiko ndiyo alikuwa na bomba LA Maji wote tunachota kwake.. ..... Mara paaap Goba kwa Komba Tangi bovu kanisa katoliki la kunguru... Kiselasela...nkatoboa ... Mtihani nkirudi mitaa nliyokulia .... Wengi watu wa bwimbwi .... Daah... Na siwezi kuwacheua wana ... Poda/bwimbwi sio...
Mkuu umenikumbusha Kitintale, nilikaa uko kwa rafiki yangu muda wa wiki mbili maana tuna mishe tulitakiwa kuwahi mapema kuipiga pale Maziwa. Sijawahi ona sehemu inayotembelewa na pira kila mara kama ile. Yaani ni kawaida sana kwao wakati ukizingatia nimetokea sehemu ambayo tokea nikae sijawahi ona policeman, achana na defender nzima. Kuna manzi alikuwa akinisalimia kila siku, mara moja nikamwongelesha tukazoeana siku chache tu mara eti anataka nimuoe. Yaani kule hata madogo wa shule za msingi wana experience ngumu ya maisha.Nimekulia Ubungo Maziwa, Yombo Vituka, Kiwalani Kijiwe samli, cheza sana. Kitintale chama la wahuni. Chafua sana Starlet Vituka, vuruga sana Flamingo Buza Machimbo. Manga'nizi camp Argentina FC, Malawi Zahanati, Staki shari, uwanja wa samaki, Mbagala. Tukahamia Tandale uwanja wa TP pale Mto wa ng'ombe.
Ubungo kisiwani kwa mzee Ndumbiko ndiyo alikuwa na bomba la maji wote tunachota kwake. Mara paap Goba kwa Komba Tangi bovu kanisa katoliki la kunguru. Kiselasela nikatoboa. Mtihani nikirudi mitaa niliyokulia. Wengi watu wa bwimbwi. Daah. Na siwezi kuwacheua wana. Poda/bwimbwi sio.
kitintale kwa mama sina vyombo[emoji1787]Mkuu umenikumbusha Kitintale, nilikaa uko kwa rafiki yangu muda wa wiki mbili maana tuna mishe tulitakiwa kuwahi mapema kuipiga pale Maziwa. Sijawahi ona sehemu inayotembelewa na pira kila mara kama ile. Yaani ni kawaida sana kwao wakati ukizingatia nimetokea sehemu ambayo tokea nikae sijawahi ona policeman, achana na defender nzima. Kuna manzi alikuwa akinisalimia kila siku, mara moja nikamwongelesha tukazoeana siku chache tu mara eti anataka nimuoe. Yaani kule hata madogo wa shule za msingi wana experience ngumu ya maisha.
Sent from my PBCM30 using Tapatalk
Wadada wa kule wanajua kuigiza sijawahi ona. Yaani ukijichanganya unajikuta umepata kumbe umepoteana. Hata madogo wa O level tu wanajua mitego, tatizo vijana wa kule hawaeleweki kabisa
Usela MavvviNimekulia Ubungo Maziwa, Yombo Vituka, Kiwalani Kijiwe samli, cheza sana. Kitintale chama la wahuni. Chafua sana Starlet Vituka, vuruga sana Flamingo Buza Machimbo. Manga'nizi camp Argentina FC, Malawi Zahanati, Staki shari, uwanja wa samaki, Mbagala. Tukahamia Tandale uwanja wa TP pale Mto wa ng'ombe.
Ubungo kisiwani kwa mzee Ndumbiko ndiyo alikuwa na bomba la maji wote tunachota kwake. Mara paap Goba kwa Komba Tangi bovu kanisa katoliki la kunguru. Kiselasela nikatoboa. Mtihani nikirudi mitaa niliyokulia. Wengi watu wa bwimbwi. Daah. Na siwezi kuwacheua wana. Poda/bwimbwi sio.
umenikumbusha wakina mbala, moma , Deo maila wahuni wa Kibangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
wahuni wa kintintale bwalo la manyani serekali za mitaa kwa siwale Akina kindamba
Sent using Jamii Forums mobile app
mtoto wa ubungo riverside wewe ?
mitaa ya makuburi na mitaa ya msewe enzi hizo ina wahuni wa matembo.. yaani kila muhuni jina lake la mwisho matembo
Wadada wa kule wanajua kuigiza sijawahi ona. Yaani ukijichanganya unajikuta umepata kumbe umepoteana. Hata madogo wa O level tu wanajua mitego, tatizo vijana wa kule hawaeleweki kabisa
Sent from my PBCM30 using Tapatalk
Hahahaha kabisa Chokoza uwe mfano mkuuKumbe ndio maana wewe sio mtu wa mchezo mchezo