Ushabiki wa soka bongo umegubikwa na ushamba na haswa watu wanashabikia kwa msongo (depression)

Ushabiki wa soka bongo umegubikwa na ushamba na haswa watu wanashabikia kwa msongo (depression)

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Yani mtu kafungwa tu jana....

"oooh kocha afukuzwe"
"Mpira una siasa tumefanyiwa siasa"
"Hii yanga ya sasa ikikutana na simba inafungwa 20"

Yani hapo na hapo mbongo kashasahau kuwa wameshashinda ligi mfululizo zaidi ya mara x2 , wamemfunga mpinzani mfululizo na wametoka kumfunga tu juzi hapa, mageuzi makubwa ya maendeleo ya klabu yao, etc

Mashabiki wa Man Utd wameteseka zaidi ya miaka 10 ila kila siku old trafford inajaa, ila mbongo ana taka stress zote za tabu ya maisha yake simba na yanga ndio wazimalize, ushamba huo.
 
downloadfile-37.jpg
 
Bongo wajinga wengi, na hawapendi kuelewa process. Kufika kilele Cha mafanikio ni rahisi, changamoto ni kubaki hapo. Wewe ndio inakuwa study case, kila mtu anajipimia kwako.

Pia tunajifunza kutokana na makosa.

Wanafikiri mpira ambao ni mchezo wa wazi, ni kama CCM kushinda uchaguzi, wakishindwa huwa wameamua tu Leo tuachie.
 
Bongo wajinga wengi, na hawapendi kuelewa process. Kufika kilele Cha mafanikio ni rahisi, changamoto ni kubaki hapo. Wewe ndio inakuwa study case, kila mtu anajipimia kwako.

Pia tunajifunza kutokana na makosa.

Wanafikiri mpira ambao ni mchezo wa wazi, ni kama CCM kushinda uchaguzi, wakishindwa huwa wameamua tu Leo tuachie.
Bongo changamoto ndugu
Wabongo ni wapenzi wa mambo ya kufikirika fikirika , hawataki ukwli
 
Yani mtu kafungwa tu jana....

"oooh kocha afukuzwe"
"Mpira una siasa tumefanyiwa siasa"
"Hii yanga ya sasa ikikutana na simba inafungwa 20"

Yani hapo na hapo mbongo kashasahau kuwa wameshashinda ligi mfululizo zaidi ya mara x2 , wamemfunga mpinzani mfululizo na wametoka kumfunga tu juzi hapa, mageuzi makubwa ya maendeleo ya klabu yao, etc

Mashabiki wa Man Utd wameteseka zaidi ya miaka 10 ila kila siku old trafford inajaa, ila mbongo ana taka stress zote za tabu ya maisha yake simba na yanga ndio wazimalize, ushamba huo.
Kilichopo Tanzania sio ushabiki wa mpira ni kama ujinga fitina vita nk. Watu wamesha kua wehu kuhusu mpira hawatumii akili tena.......nchi nzima inakua inahamia mpira kwa matokeo ya tu ya timu furani kuna kitu hakiko sawa nchi hi.
 
Ushamba kweli tunao
Tatizo watani zetu wanatu pump sana! Kwa kejeli!! Shida ya hapa bongo mpira ni kama ibada kuna dini mbili Simba na Yanga kwahiyo imebeba maisha ya wengi sana!
- na wale wanaotulaumu kuwa tunafatilia sana mpira ni vile hii nchi ina maudhi yake kwahiyo kwenye mpira ni kama kichaka watu tumejificha huko kupata hata ile amani, sasa mambo yakienda mzabwa lazima watu waumie mkuu...
 
Utopolo mmeenda Argentina mmemkamata muuza zabibu aje kuwa kocha wenu sahivi mnatujazia uzi
 
Washabiki wa mpira wa Bongo wengi wao (zaidi ya 95%) ni wapumbavu mno. Yani wanatarajia timu ishinde siku zote. Ni timu zote mbili hizo kubwa. Hapa unaona Yanga wameanza kuona kocha hafai na wachezaji hawafai, sasa ngoja Yanga ashinde mechi 3 mfululizo halafu Simba ateleze hata kwa sare mbili. Hao wa Simba nao watakuwa kama hawa wa Yanga. Watatukana kila aina ya matusi.
 
Ha
Kilichopo Tanzania sio ushabiki wa mpira ni kama ujinga fitina vita nk. Watu wamesha kua wehu kuhusu mpira hawatumii akili tena.......nchi nzima inakua inahamia mpira kwa matokeo ya tu ya timu furani kuna kitu hakiko sawa nchi hi.
Hakika ndugu
 
H
Washabiki wa mpira wa Bongo wengi wao (zaidi ya 95%) ni wapumbavu mno. Yani wanatarajia timu ishinde siku zote. Ni timu zote mbili hizo kubwa. Hapa unaona Yanga wameanza kuona kocha hafai na wachezaji hawafai, sasa ngoja Yanga ashinde mechi 3 mfululizo halafu Simba ateleze hata kwa sare mbili. Hao wa Simba nao watakuwa kama hawa wa Yanga. Watatukana kila aina ya matusi.
ahahhaah
 
Washabiki wa mpira wa Bongo wengi wao (zaidi ya 95%) ni wapumbavu mno. Yani wanatarajia timu ishinde siku zote. Ni timu zote mbili hizo kubwa. Hapa unaona Yanga wameanza kuona kocha hafai na wachezaji hawafai, sasa ngoja Yanga ashinde mechi 3 mfululizo halafu Simba ateleze hata kwa sare mbili. Hao wa Simba nao watakuwa kama hawa wa Yanga. Watatukana kila aina ya matusi.
Mimi niliachana na mpira wa bongo kwa ujinga kama huo, huwezi kushabikia na watu wasio waelewa mpira ni sayansi mbinu badala ya kujadili mbinu za mipira unatusi viongozi refa na timu pizani.
 
Mimi niliachana na mpira wa bongo kwa ujinga kama huo, huwezi kushabikia na watu wasio waelewa mpira ni sayansi mbinu badala ya kujadili mbinu za mipira unatusi viongozi refa na timu pizani.
Hahahah
 
Bongo changamoto ndugu
Wabongo ni wapenzi wa mambo ya kufikirika fikirika , hawataki ukwli
Hili ni kweli ndio maana wengi wanapenda umbea umbea, maana umbea ni mambo dhahania ambayo hujashuhudia unasimuliwa tu.

Wao wanataka timu iwe inashinda mechi zote tu,
 
Kila mtu ana uwendawazimu wake kwa kile anachokipenda.

So waacheni watu wafurahie kile kinachowapa furaha.

Lakini pia waachani wahuzunike kwa kile kinachowapa huzuni.

Sio kila kitu unachokifanya unatakiwa utumie akili hapana kuna vitu vingine unatakiwa utumie hisia. Kwasababu raha kamili hauipati kwenye akili unaipata kwenye hisia.
 
Kilichopo Tanzania sio ushabiki wa mpira ni kama ujinga fitina vita nk. Watu wamesha kua wehu kuhusu mpira hawatumii akili tena.......nchi nzima inakua inahamia mpira kwa matokeo ya tu ya timu furani kuna kitu hakiko sawa nchi hi.
Kuna watu wanatumia ujinga wetu kujenga future zao hasa viongozi wa nchi hii ni hatari kwa taifa letu kuendelea muda tunaotumia kuwaza Mpira na tena faida yake ndogo kabisa ni mwingi
 
Nasikia jana mumefungwa mabao matatu kwa moja asee!!! ni kweli?
 
Kuna watu wanatumia ujinga wetu kujenga future zao hasa viongozi wa nchi hii ni hatari kwa taifa letu kuendelea muda tunaotumia kuwaza Mpira na tena faida yake ndogo kabisa ni mwingi
Hakika
 
Back
Top Bottom