utalia sana na ukileta ujinga ni kuchambwa tu hakuna wa kukuamua maana hakuna namna shwain.....
ata- hata
calm down huna haja ya kupanic pata glass ya maji afu soma tena na tena
hapo kwenye shobo za wanaume ndo hapoooo nilipo unalia lia sana "ukichambwa wanaume hawaamui" nakuuliza kuna marefa humu? Kuna mwanaume anakutuma uchambane atakusaidia? Watu wapo na time zao kuondoa stress we nae unalilia kusaidiwa ha ha ha jisaidie mwenyewe huko, sasa kama huna wa kuchamba unalia nini yani umnalalamika kama umekopwa vile acha utoto
Wewe bwabwaja apa kama vile uji wa ulezi unaotokota jikoni. Nisome? Sisomagi mashudu shule zenyew hamjaenda nisome nini?
Hamna mtu anayeweza kuniamua mimi coz hamna awezae nichamba mimi adi niombe msaada.
Wew jobles endelea kubwabwaja apa acha wengine tufanye kazi sasa uje unikope hela ya lotion sio unapauka kama kisafuru.
Naheshimu uwepo wa bani la sivyo ungeelewa leo.
Kwa heri sina tym na mjinga baki na ujinga wako