Endelea tu kuishi maisha yako mkurugenzi. Haya ya ushabiki wa Yanga na simba, tuachie sisi waswahili ambao hatuna elimu.Niliwahi sema hapa ukitaja wapinzani wa Jadi Duniani Simba na Yanga haziwezi fikia hata robo ya upinzani wa timu za Agentina au hata hopo Misiri...
Niliwahi sema hapa ukitaja wapinzani wa Jadi Duniani Simba na Yanga haziwezi fikia hata robo ya upinzani wa timu za Agentina au hata hopo Misiri...
mtani nasikia mnampango wa kupora mchezaji Singida Big stars?Endelea tu kuishi maisha yako mkurugenzi. Haya ya ushabiki wa Yanga na simba, tuachie sisi waswahili ambao hatuna elimu.
Ikitokea hivyo litakuwa ni jambo jema. Maana hata nyinyi pia mlimpora Habib Kiyombo kutoka hapo hapo Singida Big Stars baada ya kupanda dau.atuache na huu ulevi wetu wa Simba na Yanga.mtani nasikia mnampango wa kupora mchezaji Singida Big stars?
basi ngoja tuone.Ikitokea hivyo litakuwa ni jambi jema. Maana hata nyinyi pia mlimpora Habib Kiyombo kutoka hapo hapo Singida Big Stars baada ya kupanda dau.
Yaani hata ukiamua usiwe mshabiki wa timu hizi,haikuweki mahali salama kuwa wewe si mmoja wapo katika wajinga wengi wa Tanzania,Bali wewe utakuwa mjinga aliyejitenga na mpira.Niliwahi sema hapa ukitaja wapinzani wa Jadi Duniani Simba na Yanga haziwezi fikia hata robo ya upinzani wa timu za Agentina au hata hopo Misiri.
Shida ni kwamba wale ni wasomi, hio ndo tofauti, Tanzania kwanza asilimia 80 ya mashabiki wa hizi timu ni waswahili, ambao elimu ni shida baada ya hapo sasa njoo kwenye mfumo wa nchi wa kujipendekeza.
Yaani kwa sasa Yanga na Simba zi ashindana kuwafuarahisha wakuu wa nchi yaani kwba nani anawafurahisha zaidi, hiki ndio wanacho kifanya.
Kwa kifupi mimi nilikuwa shabiki wa yanga ila nimeacha sitaku kuwa sehemu ya wajinga kwenye nchi hii.