MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
Niliwahi sema hapa ukitaja wapinzani wa Jadi Duniani Simba na Yanga haziwezi fikia hata robo ya upinzani wa timu za Agentina au hata hopo Misiri.
Shida ni kwamba wale ni wasomi, hio ndo tofauti, Tanzania kwanza asilimia 80 ya mashabiki wa hizi timu ni waswahili, ambao elimu ni shida baada ya hapo sasa njoo kwenye mfumo wa nchi wa kujipendekeza.
Yaani kwa sasa Yanga na Simba zi ashindana kuwafuarahisha wakuu wa nchi yaani kwba nani anawafurahisha zaidi, hiki ndio wanacho kifanya.
Kwa kifupi mimi nilikuwa shabiki wa yanga ila nimeacha sitaku kuwa sehemu ya wajinga kwenye nchi hii.
Shida ni kwamba wale ni wasomi, hio ndo tofauti, Tanzania kwanza asilimia 80 ya mashabiki wa hizi timu ni waswahili, ambao elimu ni shida baada ya hapo sasa njoo kwenye mfumo wa nchi wa kujipendekeza.
Yaani kwa sasa Yanga na Simba zi ashindana kuwafuarahisha wakuu wa nchi yaani kwba nani anawafurahisha zaidi, hiki ndio wanacho kifanya.
Kwa kifupi mimi nilikuwa shabiki wa yanga ila nimeacha sitaku kuwa sehemu ya wajinga kwenye nchi hii.