Ushabiki wangu Simba naweka kando, Yanga itayapita mafanikio yote ya Simba kwa msimu mmoja. Time will tell

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Timu haina Aucho, haina Diarra, haina Aziz Ki, haina Morrison, haina Feitoto, haina Juma Shaaban, kocha Nabi hakuwepo na bado imemkafini Mazembe kwao.

Hata kama Mazembe ni wabovu lakn bado Yanga ni timu imara sana.They are very strong, very strong.

Sisi Simba tuendelee kula hela za Mo Dewji halaf tuwasajili akina Sawadogo tena. BUT kama yanga itakosa kwenda fainal itakuwa ni bahati mbaya t lkn wamekamilika kila idara.

In a nutshell, wako serious mno.Mno, mno, mno.

Hongereni sana.
 
Naunga mkono hoja
 
Yani umesha admit kuwa Tp Mazembe ni wabovu still unawapa hope ya kufika mbali, means wawe na muendelezo wa kukutana na wabovu wa namna hiyo

Sisi wengine tulisha tabiri uwezekano wa Uto kupata pointi 3 huko Kongo, wala sio jambo la kustua kuona wameshinda

Uto haijakutana na upinzani mkubwa wa kutisha mpaka uanze kuwa picture katika level za juu wakati washindani wake wote almost ni weak.

Simba amepita kwenye mabonde na majabali amejitengenezea ufalme wake kwa kupambana na miamba mikubwa, Simba ni role model wa Uto.

Uto kila akifikiria mafanikio makubwa kimataifa basi sehemu ya kwanza kutazamia ni kumuangalia Simba anafanyaje fanyaje mpaka inawezekana.
 
Ushabiki maandazi utakutesa sana takwimu jaziongopi mkuu
 
Ushabiki maandazi utakutesa sana takwimu jaziongopi mkuu
Leta hapa takwimu tuzipime msiishie kuandika takwimu tu halafu hatuzioni

Kama takwimu ndio hizo mnazozitoa kwa Manara za kuwaaminisha kuwa nyie ndio timu ya kwanza kuwa na points 13, basi huwezi kukaa meza moja na mimi kujadili maswala ya takwimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…