DAVID PALMER
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 318
- 1,597
πππ hio ya kusukuma kitandailishakutokea?Pia ukiota unaanguka kwenye korongo ujue unashusha denda.
Ukiota unaendesha gari kuna uwezekano unasukuma kitanda kuelekea jikoni.
hapana ila watu wanasukuma mzigo, anashtuka paaa, kitanda au kabati lipo jikoni,πππ hio ya kusukuma kitandailishakutokea?
usingizini huku anasukuma kitanda?? duhhapana ila watu wanasukuma mzigo, anashtuka paaa, kitanda au kabati lipo jikoni,
Ambiwa urudishe sasa kwa akili yako..
Hahaaaa Hio utani madam, labda kama una mashetani.usingizini huku anasukuma kitanda?? duh
Na ukiona choo ndotoni usikitumie,la sivyo.....Pia ukiota unaanguka kwenye korongo ujue unashusha denda.
Ukiota unaendesha gari kuna uwezekano unasukuma kitanda kuelekea jikoni.
Hahaaaa Hio utani madam, labda kama una mashetani.
Inakuaje ukilala ubavu wa kushoto??na pia ukilalala kifudifudi mara nyingi unaota ndoto za mahaba
uislamu unafundisha ujitahidi sana ulale kwa ubavu wa kushoto au kulia
ukilala lala kwa ubavu kushoto au kulia ndo inashauriwa hivyoInakuaje ukilala ubavu wa kushoto??