residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Sijui kwa nini naona udugu wa damu baina ya Vyura FC na Chama Chakavu!!!Vyura FC [emoji196][emoji196][emoji196]wamepoteana
Nalog off
Utapeli wote wanao.
Ukilaza wote wanao.
Ushirikina wote wanao.