Ushahid: TP Mazembe wanakuja full squad tarehe 19 hadi mfagia choo

Vyura FC [emoji196][emoji196][emoji196]wamepoteana
Nalog off
Sijui kwa nini naona udugu wa damu baina ya Vyura FC na Chama Chakavu!!!
Utapeli wote wanao.
Ukilaza wote wanao.
Ushirikina wote wanao.
 
Hao Simba wa congo DRC mbona hawatoboi kama wenzao wa huku Tanzania.

Tuwafutie hilo jina.
 
Hili kolosenge kweli hili hiyo ratiba haieleweki isomeni hili jamaa ni sengerema aisee
Halafu Linasema walikuwa na options nne kwann wasichukue mamelod au Al ahily ni nn kimewasibu kuwaacha hao maana ndo walikuwa wanatamba wataleta hao. Matokeo yake wanaleta timu B ya TP Mazembe. Makolosenge FC bhana kweli ni mambumbu.
 
Akina Ramadhan Singano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…