Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan umeitwa?shukrani sana ....ni kitambo tangu niwe humu......jukwaani.
majukumu ya kutengeneza pesa ni mazito kuliko kuwapo hapa.
Hongereni kwa sare ya janaNaona umefufuka.. Karibu tena jukwaani.
Mipango yote ya Simba ni kumfunga Yanga.Ni tofauti sana na Mashabiki wa Yanga SC,
Mashabiki wa Matopeni imegundulika kuwa (Kulingana na tafiti zisizo rasmi) hawana uhakika wa zaidi ya Asilimia 50% kuwa Klabu yao inaweza kuwa Bingwa msimu wa 2016/17.
Tulidhani kuwa ni sisi tu mashabiki wa Yanga ambao tunadhani hivyo. Kumbe hata wao wanalijua hilo. Ukikutana na Mashabiki wa matopeni , machoni mwao wanaonyesha tofauti na kile kilicho ndani ya mioyo yao.
[L]HIZI NI BAADHI YA KOMENTI ZAO AMBAZO KISAIKOLOJIA ZINAAKISI KILE KISEMWACHO KWENYE KICHWA CHA UZI HUU[/L]:-
"Tatizo wachezaji wetu kumfunga yanga tu, wameshajiona mabingwa.. Tukiendelea hv ubingwa tutausikia tu na kuuota,.. Pia Viongozi maneno ya kujigamba yamezidi kimya saa nyingine ni busara."
"Dah kwaio inamaana hawa wapinzani kesho wakishinda tutakua sawa pointi sisi na wao mmh,,wachezaji ndugu ss tunaumia zaidi hebu jipindeni kwa dhati na mjidhatiti angalau na sie msimu huu tu ngurume simba"
" Mavugo sio kaliba ya mchezaji wa kuichezea simba... tunadanganyana tu..."
" Tatizo viongozi mnajisahau sana,mnazipa uzito baadhi ya mechi na nyingine mnazichukulia kawaida, hatutafikia malengo kwa staili hii."
" Nilijua gem lazima itakua ngumu simba tulipania sana mpaka tukatoka mchezoni"
" wala hatujafanya vibaya,haya ni matokeo ambayo viwanjani yapo.(TUANGALIE MECHI 6 ZIJAZO)."
"Mnajua nyie viongoz na bench la ufundi mnazigua kwa nn unafanya mzaha kwenye kikosi mnajua beki hakuna alafu mzingua toeni mtu hapo weka juko"
"Dah angalau maana hapa nilikua sina roho,ila ingawa tumegawa point ckm kupoteza kbsa cha msingi tuwaombee vjna wetu waweze kutupa ushindi mechi zilizo mbele yetu"
" Yani afadhali kutoa salekuliko kufugwa tumshukulu mungu kwayote kidogo tutakua na amani maana jamaazetu walishaaza kuchonga".
-Hawa Jamaa wanao jiita Mabingwa watarajiwa wa VPL msimu wa 2016/17 wana kazi kubwa sana. Licha ya kumfunga Yanga SC bado uko naye sawa ki alama.
-Bado hawajacheza na Africa Lyon, ToTo Africa, Mbao (huko kanda ya ziwa). Tuseme ukweli tu, sioni wakifika mahala popote.
Najua ukweli wanaujua ila ni vigumu sana kuuonyesha mbele ya watani zao Yanga SC.
View attachment 476751
Wakutoe ili utumie ile akaunti nyingineKama simba isipochukua ubingwa mwaka huu nitoeni jf.kwa mwaka mzima
Mtani ongea tena matokeo ya mtibwa umeyaonaMkuu hao Mtibwa usiwahesabie kabisa.........labda azam fc.....
hata hao azam fc hawawezi kutuotea kwa mara nyingine.....ikiwa wao hawana cha kugombania kwenye ligi.
kiujumla sioni changamoto yeyote mbele yetu...