Ushahidi huu hapa CHADEMA kuhusishwa na rushwa za ngono.

Ushahidi huu hapa CHADEMA kuhusishwa na rushwa za ngono.

Status
Not open for further replies.
Ni Kujitakia Tu Kikwete pia alimlazimisha Vicky Kamata Na Amina Chifupa? Au Jiwe Kamlazimisha Kairuki Na Joketi? wanawake wanajidharirisha tu kwa tamaa zao hii sio chadema hata kwenye ajira na vuoni.
Vipi kuhusu bulaya na mdee ndoa yao imehalalishwa!
 
Nashangaa sana serikali yangu hadi Leo hii bado kuna chama kinachoitwa CHADEMA, hiki chama kilipaswa kufutwa kabisa,nchi haiwezi kuruhusu kuwa na chama cha wahuni wahuni kwa mgongo wa chama cha siasa

Sent using Jamii Forums mobile app

Naona list ya chama cha wazee mmejazwa humu mitandaoni toka aprili kwa kazi maalumu ya kuishambulia cdm, kumsifu jiwe na kuivika kilemba cha ukoka NCCR mageuzi. Kwa bahati mbaya mnakamia kila post ila hamna hoja.
 
Naona list ya chama cha wazee mmejazwa humu mitandaoni toka aprili kwa kazi maalumu ya kuishambulia cdm, kumsifu jiwe na kuivika kilemba cha ukoka NCCR mageuzi. Kwa bahati mbaya mnakamia kila post ila hamna hoja.
Mkuu hoja ipo Maana haya yananenwa na watu kutoka upande wenu, na mashuhuda ni wafuasi wenu,wamechoka kupingwa miti na Mbowe kwa kulaghaiwa mandaraka,

Kwa hili nadhani Mbowe anakoswa mamraka ya kukalia kitu cha uenyekiti na anapaswa Kustep down kwa skendo kama hii

Mbowe the great- great adulterer must step down

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo vip!!!

Kwa muda mrefu uongozi ndani ya chadema imekuwa ikituhumiwa kuhusika na rushwa ya ngono kwa wabunge wa viti maalum ila washabiki na baadhi ya wanachama wa chadema wamekuwa wakitafrisi tuhuma hizo kama giliba za kisiasa.

Binafsi wakati nikiwa university nilivutiwa na sera ya chadema miaka 4 iliyopita ila nilikaa chini,nikaanza kuichunguza chadema kwa undani zaidi nikagundua msingi wa uanzishaji chadema itapelekea familia fulani na kabila fulani kuwa miungu watu na wafalme na wakufanya maamuzi ya mwisho ndani ya chama hichi japo ukiangalia kwa juu juu utaona kama haina hizi elements,kilichofanyika ni kuficha ukabila na msingi hatari iliyonayo chama hichi ili ipate kibali kwa wananchi ila ikishashika dola ndio mtawaaona wenye chadema yao,hawa wakina Lisu na wengine ni magasha tu..Hivi umeshawahi kujiuliza kwanini Lema ananguvu ndani ya chadema na anakipenependele kama bint mwajuma,Lema ni mtu wa wap na mbowe ni mtu wa wap...Lema kuna wakati mwingine anongea ndani ya hicho chama kama ndio mwenyekiti.

Turudi kwenye mada husika,nikweli kwa ufumo wa chadema na aina ya uongozi wa chadema ni wa kihuni na viongozi ndani ya chadema wanatembea na wabunge wa viti maaluma pasipo kuheshimu yakwamba wengine ni wake za watu.Mfano kuna mbunge mmoja wa songwe wa vitu maalum,ambaye amekuoa akigawa uroda ndani ya chadema mpaka amepelekea ndoa yake kuvunjika...Nimejiuliza haka kabunge hakapo smart ,how come akawa mbunge?kumbe lazima uvue chupi upewe nafasi.

Huyu mbunge kabla hajawa mbunge alikuwa na ndoa yake tena mume wake ni mfanyakazi kwenye sekta nyeti ya serikali na anangawiraa za kutosha tu,japo nasikia mwanamke mwenyewe ni mgawaji mzuri tu muda mrefu ila kutokana na tabia yake akaona fursa chadema yakwamba wakula wanataka tunda tu then hapo umekuwa umepata nafasi basi nayeye akagawa mpaka akavunja ndoa yake.

Swali la msingi ninalo jiuliza hapa kama chadema kweli hakuna vitendo kama hizo kwanini Ndoa ya huyu mbunge imevunje baada ya kuwa mbunge...Swali lingine:kwa mbunge kwa kama huyu mweupe kichwani amepataje nafasi hii...

Nawasilisha.

Haya mambo kila ukikaribia uchaguzi huzuka kwa kasi sana..

Na mlengwa hapa ni Freeman A. Mbowe tu, si mwingine....

Wanasema;

"....piga mchungaji wa kondoo na kundi lote litatawanyika....."

Mbowe ni Mchungaji mkuu wa Kundi linaloitwa CHADEMA. Sasa fisi na mbweha na simba wanalitaka Kundi hili, wanataka kula kondoo. Bahati njema mchungaji wake yuko imara...

Sasa, yote haya lengo lake ni "kumpiga mchungaji" kwa namna na mbinu zote halali na chafu ili adhoofike na kisha Kundi lote litawanyike na kuishia mikononi mwa mbweha, mafisi na simba aitwaye CCM....

Lakini imeandikwa pia;

"....Mchungaji mwema huwajali na anakuwa tayari hata kufa kwa ajili ya kondoo wake...."

MH. FREEMAN .A. MBOWE, simama imara, chunga Kundi la kondoo zako. Hizi ngurumo za simba na mbweha na mafisi hata, yasikutishe. Ni ngurumo tu, lakini hawana meno ya kuuma....!!
 
Mkuu hoja ipo Maana haya yananenwa na watu kutoka upande wenu, na mashuhuda ni wafuasi wenu,wamechoka kupingwa miti na Mbowe kwa kulaghaiwa mandaraka,

Kwa hili nadhani Mbowe anakoswa mamraka ya kukalia kitu cha uenyekiti na anapaswa Kustep down kwa skendo kama hii

Mbowe the great- great adulterer must step down

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna chama au taasisi yoyote wanawake hawapigwi miti? Wanaume wazima mnaongelea matendo ya ngono ambayo yako mpaka kwa mapadre? Kama sio lile kundi la jiwe la watu wasiojulikana, watu wakiamua kuweka ukweli hadharani jf itafungwa.
 
Hapo vip!!!

Kwa muda mrefu uongozi ndani ya chadema imekuwa ikituhumiwa kuhusika na rushwa ya ngono kwa wabunge wa viti maalum ila washabiki na baadhi ya wanachama wa chadema wamekuwa wakitafrisi tuhuma hizo kama giliba za kisiasa.

Binafsi wakati nikiwa university nilivutiwa na sera ya chadema miaka 4 iliyopita ila nilikaa chini,nikaanza kuichunguza chadema kwa undani zaidi nikagundua msingi wa uanzishaji chadema itapelekea familia fulani na kabila fulani kuwa miungu watu na wafalme na wakufanya maamuzi ya mwisho ndani ya chama hichi japo ukiangalia kwa juu juu utaona kama haina hizi elements,kilichofanyika ni kuficha ukabila na msingi hatari iliyonayo chama hichi ili ipate kibali kwa wananchi ila ikishashika dola ndio mtawaaona wenye chadema yao,hawa wakina Lisu na wengine ni magasha tu..Hivi umeshawahi kujiuliza kwanini Lema ananguvu ndani ya chadema na anakipenependele kama bint mwajuma,Lema ni mtu wa wap na mbowe ni mtu wa wap...Lema kuna wakati mwingine anongea ndani ya hicho chama kama ndio mwenyekiti.

Turudi kwenye mada husika,nikweli kwa ufumo wa chadema na aina ya uongozi wa chadema ni wa kihuni na viongozi ndani ya chadema wanatembea na wabunge wa viti maaluma pasipo kuheshimu yakwamba wengine ni wake za watu.Mfano kuna mbunge mmoja wa songwe wa vitu maalum,ambaye amekuoa akigawa uroda ndani ya chadema mpaka amepelekea ndoa yake kuvunjika...Nimejiuliza haka kabunge hakapo smart ,how come akawa mbunge?kumbe lazima uvue chupi upewe nafasi.

Huyu mbunge kabla hajawa mbunge alikuwa na ndoa yake tena mume wake ni mfanyakazi kwenye sekta nyeti ya serikali na anangawiraa za kutosha tu,japo nasikia mwanamke mwenyewe ni mgawaji mzuri tu muda mrefu ila kutokana na tabia yake akaona fursa chadema yakwamba wakula wanataka tunda tu then hapo umekuwa umepata nafasi basi nayeye akagawa mpaka akavunja ndoa yake.

Swali la msingi ninalo jiuliza hapa kama chadema kweli hakuna vitendo kama hizo kwanini Ndoa ya huyu mbunge imevunje baada ya kuwa mbunge...Swali lingine:kwa mbunge kwa kama huyu mweupe kichwani amepataje nafasi hii...

Nawasilisha.
Mkuu ungevua tu na wewe Kama rahisi hivyo
 
Hapo vip!!!

Kwa muda mrefu uongozi ndani ya chadema imekuwa ikituhumiwa kuhusika na rushwa ya ngono kwa wabunge wa viti maalum ila washabiki na baadhi ya wanachama wa chadema wamekuwa wakitafrisi tuhuma hizo kama giliba za kisiasa.

Binafsi wakati nikiwa university nilivutiwa na sera ya chadema miaka 4 iliyopita ila nilikaa chini,nikaanza kuichunguza chadema kwa undani zaidi nikagundua msingi wa uanzishaji chadema itapelekea familia fulani na kabila fulani kuwa miungu watu na wafalme na wakufanya maamuzi ya mwisho ndani ya chama hichi japo ukiangalia kwa juu juu utaona kama haina hizi elements,kilichofanyika ni kuficha ukabila na msingi hatari iliyonayo chama hichi ili ipate kibali kwa wananchi ila ikishashika dola ndio mtawaaona wenye chadema yao,hawa wakina Lisu na wengine ni magasha tu..Hivi umeshawahi kujiuliza kwanini Lema ananguvu ndani ya chadema na anakipenependele kama bint mwajuma,Lema ni mtu wa wap na mbowe ni mtu wa wap...Lema kuna wakati mwingine anongea ndani ya hicho chama kama ndio mwenyekiti.

Turudi kwenye mada husika,nikweli kwa ufumo wa chadema na aina ya uongozi wa chadema ni wa kihuni na viongozi ndani ya chadema wanatembea na wabunge wa viti maaluma pasipo kuheshimu yakwamba wengine ni wake za watu.Mfano kuna mbunge mmoja wa songwe wa vitu maalum,ambaye amekuoa akigawa uroda ndani ya chadema mpaka amepelekea ndoa yake kuvunjika...Nimejiuliza haka kabunge hakapo smart ,how come akawa mbunge?kumbe lazima uvue chupi upewe nafasi.

Huyu mbunge kabla hajawa mbunge alikuwa na ndoa yake tena mume wake ni mfanyakazi kwenye sekta nyeti ya serikali na anangawiraa za kutosha tu,japo nasikia mwanamke mwenyewe ni mgawaji mzuri tu muda mrefu ila kutokana na tabia yake akaona fursa chadema yakwamba wakula wanataka tunda tu then hapo umekuwa umepata nafasi basi nayeye akagawa mpaka akavunja ndoa yake.

Swali la msingi ninalo jiuliza hapa kama chadema kweli hakuna vitendo kama hizo kwanini Ndoa ya huyu mbunge imevunje baada ya kuwa mbunge...Swali lingine:kwa mbunge kwa kama huyu mweupe kichwani amepataje nafasi hii...

Nawasilisha.
USHUZI NA UZUSHI UMEANDIKA
 
Umeandika upuuzi kweli.

Unasema Chadema kuna rushwa ya ngono unakilaumu chama wakati mwenye uamuzi wa mwisho wa mtu kutoa mwili wake ni mtu mwenyewe, au unataka Chadema wasimamie mpaka miili ya viongozi wake!. upuuzi mtupu.

Kuhusu ukabila; unathibitisha kuwepo ukabila Chadema kwasababu ya uwepo wa Mbowe na Lema that's all!, wale kina Sugu, Msigwa, Matiko, Heche wao vipi?! nao ni wachaga? unasema Lema ana kiherehere, what is kiherehere by the way? unataka awe amezubaa ndio ufurahi!.
upuuzi mwingine.

Nikwambie kitu wewe raia, hakuna yeyote aliyestaarabika huwa anajadili privacy za watu, ukitaka uheshimiwe siku nyingine, ukija na hoja njoo nayo kam ilivyo, usichanganye na mambo ya watu binafsi, ukitaka kuleta ujinga wako, ujue hata huko CCM hampo salama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mdada yupo Ofisi za Chadema za Kanda hapa Mwanza amegawa uroda kwa viongozi wa juu Chadema ili apate nafasi hadi ndoa yake ikavunjika. Ushahidi dhahiri shahiri ninao!
 
Chadema Ni Kama danguro fulani hivi
Hakiishindi ccm kwani mwenyekiti wenu fundi kwelikweli wa kutembeza mhogo hasa kwa wateule wake! Hivi yule mteule cheupedawa mbona hasikiki? Wapi kidoti? Huko hamuoni mnabaki kuichungulia cdm!
 
Samahani sijui bro au sista naomba nikuulize nje ya mada kidogo, umesema ulipokuwa university, wewe umemaliza university?
 
Hapo vip!!!

Kwa muda mrefu uongozi ndani ya chadema imekuwa ikituhumiwa kuhusika na rushwa ya ngono kwa wabunge wa viti maalum ila washabiki na baadhi ya wanachama wa chadema wamekuwa wakitafrisi tuhuma hizo kama giliba za kisiasa.

Binafsi wakati nikiwa university nilivutiwa na sera ya chadema miaka 4 iliyopita ila nilikaa chini,nikaanza kuichunguza chadema kwa undani zaidi nikagundua msingi wa uanzishaji chadema itapelekea familia fulani na kabila fulani kuwa miungu watu na wafalme na wakufanya maamuzi ya mwisho ndani ya chama hichi japo ukiangalia kwa juu juu utaona kama haina hizi elements,kilichofanyika ni kuficha ukabila na msingi hatari iliyonayo chama hichi ili ipate kibali kwa wananchi ila ikishashika dola ndio mtawaaona wenye chadema yao,hawa wakina Lisu na wengine ni magasha tu..Hivi umeshawahi kujiuliza kwanini Lema ananguvu ndani ya chadema na anakipenependele kama bint mwajuma,Lema ni mtu wa wap na mbowe ni mtu wa wap...Lema kuna wakati mwingine anongea ndani ya hicho chama kama ndio mwenyekiti.

Turudi kwenye mada husika,nikweli kwa ufumo wa chadema na aina ya uongozi wa chadema ni wa kihuni na viongozi ndani ya chadema wanatembea na wabunge wa viti maaluma pasipo kuheshimu yakwamba wengine ni wake za watu.Mfano kuna mbunge mmoja wa songwe wa vitu maalum,ambaye amekuoa akigawa uroda ndani ya chadema mpaka amepelekea ndoa yake kuvunjika...Nimejiuliza haka kabunge hakapo smart ,how come akawa mbunge?kumbe lazima uvue chupi upewe nafasi.

Huyu mbunge kabla hajawa mbunge alikuwa na ndoa yake tena mume wake ni mfanyakazi kwenye sekta nyeti ya serikali na anangawiraa za kutosha tu,japo nasikia mwanamke mwenyewe ni mgawaji mzuri tu muda mrefu ila kutokana na tabia yake akaona fursa chadema yakwamba wakula wanataka tunda tu then hapo umekuwa umepata nafasi basi nayeye akagawa mpaka akavunja ndoa yake.

Swali la msingi ninalo jiuliza hapa kama chadema kweli hakuna vitendo kama hizo kwanini Ndoa ya huyu mbunge imevunje baada ya kuwa mbunge...Swali lingine:kwa mbunge kwa kama huyu mweupe kichwani amepataje nafasi hii...

Nawasilisha.
Huu siyo ushahidi...kuleta ushahidi au maelezo ya aina hii ni kujishushia hadhi...
 
Rushwa iko kila mahali Kuanzia makazini, mashuleni, vyuoni, kwenye michezo, hadi huko kwa wazee wa mboga mboga ipo

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom