kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Vipi kuhusu bulaya na mdee ndoa yao imehalalishwa!Ni Kujitakia Tu Kikwete pia alimlazimisha Vicky Kamata Na Amina Chifupa? Au Jiwe Kamlazimisha Kairuki Na Joketi? wanawake wanajidharirisha tu kwa tamaa zao hii sio chadema hata kwenye ajira na vuoni.
Nashangaa sana serikali yangu hadi Leo hii bado kuna chama kinachoitwa CHADEMA, hiki chama kilipaswa kufutwa kabisa,nchi haiwezi kuruhusu kuwa na chama cha wahuni wahuni kwa mgongo wa chama cha siasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapa mkuu mke wangu kaingiaje? Mbona Mimi sijakutukana mkuu? Hujanitendea hakiWahuni walimzalisha mkeo bila wewe kujua?
Hope umeshapima DNA, pole.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wajinga hawana haki hapa duniani.Sasa hapa mkuu mke wangu kaingiaje? Mbona Mimi sijakutukana mkuu? Hujanitendea haki
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hoja ipo Maana haya yananenwa na watu kutoka upande wenu, na mashuhuda ni wafuasi wenu,wamechoka kupingwa miti na Mbowe kwa kulaghaiwa mandaraka,Naona list ya chama cha wazee mmejazwa humu mitandaoni toka aprili kwa kazi maalumu ya kuishambulia cdm, kumsifu jiwe na kuivika kilemba cha ukoka NCCR mageuzi. Kwa bahati mbaya mnakamia kila post ila hamna hoja.
Hapo vip!!!
Kwa muda mrefu uongozi ndani ya chadema imekuwa ikituhumiwa kuhusika na rushwa ya ngono kwa wabunge wa viti maalum ila washabiki na baadhi ya wanachama wa chadema wamekuwa wakitafrisi tuhuma hizo kama giliba za kisiasa.
Binafsi wakati nikiwa university nilivutiwa na sera ya chadema miaka 4 iliyopita ila nilikaa chini,nikaanza kuichunguza chadema kwa undani zaidi nikagundua msingi wa uanzishaji chadema itapelekea familia fulani na kabila fulani kuwa miungu watu na wafalme na wakufanya maamuzi ya mwisho ndani ya chama hichi japo ukiangalia kwa juu juu utaona kama haina hizi elements,kilichofanyika ni kuficha ukabila na msingi hatari iliyonayo chama hichi ili ipate kibali kwa wananchi ila ikishashika dola ndio mtawaaona wenye chadema yao,hawa wakina Lisu na wengine ni magasha tu..Hivi umeshawahi kujiuliza kwanini Lema ananguvu ndani ya chadema na anakipenependele kama bint mwajuma,Lema ni mtu wa wap na mbowe ni mtu wa wap...Lema kuna wakati mwingine anongea ndani ya hicho chama kama ndio mwenyekiti.
Turudi kwenye mada husika,nikweli kwa ufumo wa chadema na aina ya uongozi wa chadema ni wa kihuni na viongozi ndani ya chadema wanatembea na wabunge wa viti maaluma pasipo kuheshimu yakwamba wengine ni wake za watu.Mfano kuna mbunge mmoja wa songwe wa vitu maalum,ambaye amekuoa akigawa uroda ndani ya chadema mpaka amepelekea ndoa yake kuvunjika...Nimejiuliza haka kabunge hakapo smart ,how come akawa mbunge?kumbe lazima uvue chupi upewe nafasi.
Huyu mbunge kabla hajawa mbunge alikuwa na ndoa yake tena mume wake ni mfanyakazi kwenye sekta nyeti ya serikali na anangawiraa za kutosha tu,japo nasikia mwanamke mwenyewe ni mgawaji mzuri tu muda mrefu ila kutokana na tabia yake akaona fursa chadema yakwamba wakula wanataka tunda tu then hapo umekuwa umepata nafasi basi nayeye akagawa mpaka akavunja ndoa yake.
Swali la msingi ninalo jiuliza hapa kama chadema kweli hakuna vitendo kama hizo kwanini Ndoa ya huyu mbunge imevunje baada ya kuwa mbunge...Swali lingine:kwa mbunge kwa kama huyu mweupe kichwani amepataje nafasi hii...
Nawasilisha.
Mkuu hoja ipo Maana haya yananenwa na watu kutoka upande wenu, na mashuhuda ni wafuasi wenu,wamechoka kupingwa miti na Mbowe kwa kulaghaiwa mandaraka,
Kwa hili nadhani Mbowe anakoswa mamraka ya kukalia kitu cha uenyekiti na anapaswa Kustep down kwa skendo kama hii
Mbowe the great- great adulterer must step down
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ungevua tu na wewe Kama rahisi hivyoHapo vip!!!
Kwa muda mrefu uongozi ndani ya chadema imekuwa ikituhumiwa kuhusika na rushwa ya ngono kwa wabunge wa viti maalum ila washabiki na baadhi ya wanachama wa chadema wamekuwa wakitafrisi tuhuma hizo kama giliba za kisiasa.
Binafsi wakati nikiwa university nilivutiwa na sera ya chadema miaka 4 iliyopita ila nilikaa chini,nikaanza kuichunguza chadema kwa undani zaidi nikagundua msingi wa uanzishaji chadema itapelekea familia fulani na kabila fulani kuwa miungu watu na wafalme na wakufanya maamuzi ya mwisho ndani ya chama hichi japo ukiangalia kwa juu juu utaona kama haina hizi elements,kilichofanyika ni kuficha ukabila na msingi hatari iliyonayo chama hichi ili ipate kibali kwa wananchi ila ikishashika dola ndio mtawaaona wenye chadema yao,hawa wakina Lisu na wengine ni magasha tu..Hivi umeshawahi kujiuliza kwanini Lema ananguvu ndani ya chadema na anakipenependele kama bint mwajuma,Lema ni mtu wa wap na mbowe ni mtu wa wap...Lema kuna wakati mwingine anongea ndani ya hicho chama kama ndio mwenyekiti.
Turudi kwenye mada husika,nikweli kwa ufumo wa chadema na aina ya uongozi wa chadema ni wa kihuni na viongozi ndani ya chadema wanatembea na wabunge wa viti maaluma pasipo kuheshimu yakwamba wengine ni wake za watu.Mfano kuna mbunge mmoja wa songwe wa vitu maalum,ambaye amekuoa akigawa uroda ndani ya chadema mpaka amepelekea ndoa yake kuvunjika...Nimejiuliza haka kabunge hakapo smart ,how come akawa mbunge?kumbe lazima uvue chupi upewe nafasi.
Huyu mbunge kabla hajawa mbunge alikuwa na ndoa yake tena mume wake ni mfanyakazi kwenye sekta nyeti ya serikali na anangawiraa za kutosha tu,japo nasikia mwanamke mwenyewe ni mgawaji mzuri tu muda mrefu ila kutokana na tabia yake akaona fursa chadema yakwamba wakula wanataka tunda tu then hapo umekuwa umepata nafasi basi nayeye akagawa mpaka akavunja ndoa yake.
Swali la msingi ninalo jiuliza hapa kama chadema kweli hakuna vitendo kama hizo kwanini Ndoa ya huyu mbunge imevunje baada ya kuwa mbunge...Swali lingine:kwa mbunge kwa kama huyu mweupe kichwani amepataje nafasi hii...
Nawasilisha.
USHUZI NA UZUSHI UMEANDIKAHapo vip!!!
Kwa muda mrefu uongozi ndani ya chadema imekuwa ikituhumiwa kuhusika na rushwa ya ngono kwa wabunge wa viti maalum ila washabiki na baadhi ya wanachama wa chadema wamekuwa wakitafrisi tuhuma hizo kama giliba za kisiasa.
Binafsi wakati nikiwa university nilivutiwa na sera ya chadema miaka 4 iliyopita ila nilikaa chini,nikaanza kuichunguza chadema kwa undani zaidi nikagundua msingi wa uanzishaji chadema itapelekea familia fulani na kabila fulani kuwa miungu watu na wafalme na wakufanya maamuzi ya mwisho ndani ya chama hichi japo ukiangalia kwa juu juu utaona kama haina hizi elements,kilichofanyika ni kuficha ukabila na msingi hatari iliyonayo chama hichi ili ipate kibali kwa wananchi ila ikishashika dola ndio mtawaaona wenye chadema yao,hawa wakina Lisu na wengine ni magasha tu..Hivi umeshawahi kujiuliza kwanini Lema ananguvu ndani ya chadema na anakipenependele kama bint mwajuma,Lema ni mtu wa wap na mbowe ni mtu wa wap...Lema kuna wakati mwingine anongea ndani ya hicho chama kama ndio mwenyekiti.
Turudi kwenye mada husika,nikweli kwa ufumo wa chadema na aina ya uongozi wa chadema ni wa kihuni na viongozi ndani ya chadema wanatembea na wabunge wa viti maaluma pasipo kuheshimu yakwamba wengine ni wake za watu.Mfano kuna mbunge mmoja wa songwe wa vitu maalum,ambaye amekuoa akigawa uroda ndani ya chadema mpaka amepelekea ndoa yake kuvunjika...Nimejiuliza haka kabunge hakapo smart ,how come akawa mbunge?kumbe lazima uvue chupi upewe nafasi.
Huyu mbunge kabla hajawa mbunge alikuwa na ndoa yake tena mume wake ni mfanyakazi kwenye sekta nyeti ya serikali na anangawiraa za kutosha tu,japo nasikia mwanamke mwenyewe ni mgawaji mzuri tu muda mrefu ila kutokana na tabia yake akaona fursa chadema yakwamba wakula wanataka tunda tu then hapo umekuwa umepata nafasi basi nayeye akagawa mpaka akavunja ndoa yake.
Swali la msingi ninalo jiuliza hapa kama chadema kweli hakuna vitendo kama hizo kwanini Ndoa ya huyu mbunge imevunje baada ya kuwa mbunge...Swali lingine:kwa mbunge kwa kama huyu mweupe kichwani amepataje nafasi hii...
Nawasilisha.
Kuna mdada yupo Ofisi za Chadema za Kanda hapa Mwanza amegawa uroda kwa viongozi wa juu Chadema ili apate nafasi hadi ndoa yake ikavunjika. Ushahidi dhahiri shahiri ninao!Umeandika upuuzi kweli.
Unasema Chadema kuna rushwa ya ngono unakilaumu chama wakati mwenye uamuzi wa mwisho wa mtu kutoa mwili wake ni mtu mwenyewe, au unataka Chadema wasimamie mpaka miili ya viongozi wake!. upuuzi mtupu.
Kuhusu ukabila; unathibitisha kuwepo ukabila Chadema kwasababu ya uwepo wa Mbowe na Lema that's all!, wale kina Sugu, Msigwa, Matiko, Heche wao vipi?! nao ni wachaga? unasema Lema ana kiherehere, what is kiherehere by the way? unataka awe amezubaa ndio ufurahi!.
upuuzi mwingine.
Nikwambie kitu wewe raia, hakuna yeyote aliyestaarabika huwa anajadili privacy za watu, ukitaka uheshimiwe siku nyingine, ukija na hoja njoo nayo kam ilivyo, usichanganye na mambo ya watu binafsi, ukitaka kuleta ujinga wako, ujue hata huko CCM hampo salama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakiishindi ccm kwani mwenyekiti wenu fundi kwelikweli wa kutembeza mhogo hasa kwa wateule wake! Hivi yule mteule cheupedawa mbona hasikiki? Wapi kidoti? Huko hamuoni mnabaki kuichungulia cdm!Chadema Ni Kama danguro fulani hivi
Huu siyo ushahidi...kuleta ushahidi au maelezo ya aina hii ni kujishushia hadhi...Hapo vip!!!
Kwa muda mrefu uongozi ndani ya chadema imekuwa ikituhumiwa kuhusika na rushwa ya ngono kwa wabunge wa viti maalum ila washabiki na baadhi ya wanachama wa chadema wamekuwa wakitafrisi tuhuma hizo kama giliba za kisiasa.
Binafsi wakati nikiwa university nilivutiwa na sera ya chadema miaka 4 iliyopita ila nilikaa chini,nikaanza kuichunguza chadema kwa undani zaidi nikagundua msingi wa uanzishaji chadema itapelekea familia fulani na kabila fulani kuwa miungu watu na wafalme na wakufanya maamuzi ya mwisho ndani ya chama hichi japo ukiangalia kwa juu juu utaona kama haina hizi elements,kilichofanyika ni kuficha ukabila na msingi hatari iliyonayo chama hichi ili ipate kibali kwa wananchi ila ikishashika dola ndio mtawaaona wenye chadema yao,hawa wakina Lisu na wengine ni magasha tu..Hivi umeshawahi kujiuliza kwanini Lema ananguvu ndani ya chadema na anakipenependele kama bint mwajuma,Lema ni mtu wa wap na mbowe ni mtu wa wap...Lema kuna wakati mwingine anongea ndani ya hicho chama kama ndio mwenyekiti.
Turudi kwenye mada husika,nikweli kwa ufumo wa chadema na aina ya uongozi wa chadema ni wa kihuni na viongozi ndani ya chadema wanatembea na wabunge wa viti maaluma pasipo kuheshimu yakwamba wengine ni wake za watu.Mfano kuna mbunge mmoja wa songwe wa vitu maalum,ambaye amekuoa akigawa uroda ndani ya chadema mpaka amepelekea ndoa yake kuvunjika...Nimejiuliza haka kabunge hakapo smart ,how come akawa mbunge?kumbe lazima uvue chupi upewe nafasi.
Huyu mbunge kabla hajawa mbunge alikuwa na ndoa yake tena mume wake ni mfanyakazi kwenye sekta nyeti ya serikali na anangawiraa za kutosha tu,japo nasikia mwanamke mwenyewe ni mgawaji mzuri tu muda mrefu ila kutokana na tabia yake akaona fursa chadema yakwamba wakula wanataka tunda tu then hapo umekuwa umepata nafasi basi nayeye akagawa mpaka akavunja ndoa yake.
Swali la msingi ninalo jiuliza hapa kama chadema kweli hakuna vitendo kama hizo kwanini Ndoa ya huyu mbunge imevunje baada ya kuwa mbunge...Swali lingine:kwa mbunge kwa kama huyu mweupe kichwani amepataje nafasi hii...
Nawasilisha.
Mbona ngono mavyuoni hamuongeleiNashangaa sana serikali yangu hadi Leo hii bado kuna chama kinachoitwa CHADEMA, hiki chama kilipaswa kufutwa kabisa,nchi haiwezi kuruhusu kuwa na chama cha wahuni wahuni kwa mgongo wa chama cha siasa
Sent using Jamii Forums mobile app