USHAHIDI: Kumbe Wasafi wanaboost YouTube Channels zao kupata views. Sijui tambo huwa zinatoka wapi wakati siyo natural trending !!!

USHAHIDI: Kumbe Wasafi wanaboost YouTube Channels zao kupata views. Sijui tambo huwa zinatoka wapi wakati siyo natural trending !!!

Mimi nimetoa facts wewe unabwabwaja, nyie ndio aina ya wale wajinga mnaosingizia eti views zinarogwa😂😂😂

Yani lengo la uzi huu ni kupotosha watu kwamba diamond anacheza mchezo mchafu wa kununua views kitu ambacho si kweli, aliejaribu huu upuuzi labda ni msanii ambae alijiona mjanja kuliko YouTube akanunua views za China video unapiga views milioni ila zikashuka hadi laki saba baada ya kitu cha mchujo

Badilisha hio "kuboost" iwe "kupromote" soko lolote ili ufanikiwe inabidi uzingatie mno p 4 muhimu (wasomi wenzangu tuliosoma biashara wananielew)
1.Product- hii ni bidhaa, bidhaa inabidi iwe na nakshi, ivutie, ilinndwe, landing, labelling, copyrights,n.k hapa nazungumzia mziki, shooting zenye kiwango, collabo na kina Innis b, n.k

2.place- hii ni location ya kulenga bidhaa yako, huwezi kuuza uji bar, huwezi kuuza hiphop kanisani, Diamond kaweza hapa, naona kwenye mapenzi ndo penyewe na analemga mle mle.

3.price- bidhaa inabidi iwe na bei katika strategy maalum, diamond kumkodisba nadhani sitakaa kuongea mengi maana alishasema show zake uandae kiasi Fulani, hiki kitu ni muhimu,

4.Promotion - hapa ndo wengi wanapasahaugi, biashara ya mziki ni kama biashara nyingine na unaweza ukafilisika ukashindwa kulipia hata maproducer, Leo hii diamond kajipromote kwenye mipaka hadi ya Congo, ulaya, marekani n.k kwa mbinu kama collabo na muhimu kuliko vyote kupitia social networks pamoja na kupromote video zake watu wa huko nje wazi cheki, sasa hii sio bure inahitaji pesa kibao kupromote video zako nje ya nchi ila jamaa alijipinda na Leo hii hata yope ina hit kuliko ile original kwasababu ya promotion.

Uje na facts kama huna vua chupi kaa pembeni
Kajiona genius mwenyewe masikini 🤣🤣🤣 na wengi wamekazania jamaa ananunua views mara anashusha views za watu ukiwauliza kivipi kumbe wenyewe hawajui wanafuata mikumbo tu.
 
Hoja ya Mkaruka mbona ipo wazi (NATURAL TRENDING), maana naonaga watu wa wcb wanampondea harmo na ali kwa kulinganisha kuwa nyimbo za wcb zinafikisha views nyingi kwa wakati mfupi na kusema wasanii wa wcb wanapata views wengi kwa sababu wana wafuasi wengi mitandaoni.
Sema hawa jamaa kweli wapo serious na biashara yaani kwa promotion hii inaonyesha kuwa wcb ni serious label.
 
Hoja ya Mkaruka mbona ipo wazi (NATURAL TRENDING), maana naonaga watu wa wcb wanampondea harmo na ali kwa kulinganisha kuwa nyimbo za wcb zinafikisha views nyingi kwa wakati mfupi na kusema wasanii wa wcb wanapata views wengi kwa sababu wana wafuasi wengi mitandaoni.
Sema hawa jamaa kweli wapo serious na biashara yaani kwa promotion hii inaonyesha kuwa wcb ni serious label.
tunachomind humu,ni kwanini WCB wakifanya ionekane wanastahili ila wengine kuna sababu.


mpumbavu mmoja anataka kuwaaminisha watu kiba ananunua views[emoji23][emoji23][emoji23].

hizi roho za kimasikini mond hana,ila mashabiki zake ndio viazi mbatata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kiba ni mvivu wakutoa kazi hivo mungu kampa mashabiki wavivu wakufikiria, msiwalaumu sana coz mungu humpa mtu watu wakufanana nae
unaonaje ukiacha kujishughulisha naye bro[emoji23][emoji23][emoji23]

hiyo trend ya masaa 48,ni ya mashabiki wa kiba au na nyinyi wazushi mnaangali???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni cha upepo mkuu, unapocheza mchezo lengo ni kushinda, yaani mtu aandae tangazo alafu ajisifie hajatumia kiasi chochote kwasababu hajapata walioclick tangazo lake ili waicheki video yake YouTube!! Huo ni undava.

Kwa ufupi vuta stuli nkupige msasa jinsi ads zinavyofanya kazi mkuu, unapotangaza video yako kupitia facebook basi inaweza kupenya mpaka Instagram kwahio inashauriwa utumie hii, mfano wakicheki watu idadi flani video unalipia kiasi Fulani (cost per click), kama hakuna ataecheki basi video hio hakuna anataka kuicheki na hukatwi kitu ila hapo ukalime tu maana huwezi kumshawishi mtu apende hata kucheki video yako YouTube .

Kwa diamond alivyo mjanja akaona hivi vifaa vimeletwa kwajili ya kumarket, kujibrand, n.k sasa kwanini asivitumie???? Mfano anaweza akatangaza video yake Brazil ikapendwa na akapata mashabiki wapya, anaweza kutangaza video yake ya jeje kwa nchi kama uingereza kwa wasichana vijana na akapata mashabiki wapya, hii kitu imemsaidia sana diamond kuwa msanii mwenye mashabiki wengi zaidi na hata kuongoza kwa subscribers afrika nzima na hata views (sio zile feki kama za yule)

Cha ajabu wasanii baadhi wamebaki wanang'aa ng'aa sharubu eti diamond ananunua views eti kwajili an a promote video zake Facebook na Instagram, yani hawajui bado utofauti wa kununua views njia ambayo sio halali na kupromote video ili ipate views njia ambayo ni halali.

Leo hii yope INA views milioni 70 huko kwasababu diamond anajua kujibrand kama msanii wa kimataifa, yani hope remix imeifunika hata original kwasababu diamond kagusia, na ni mkali wa marketing.
Yope nyimbo ya inos b,kapiga ujanja janja.
Ile nyingine na Fally ipupa nayo kapiga janja janja.
Ila Fally hakupenda, Inos ni msanii mchanga sana huko akaona poa tu.
 
tujaribu kuwapa mifano ya chekechea nyie viswaswadu wa kibandaumiza:

1.ukiwalipa wapiga debe pesa ujaze gari haraka uwe na mzunguko mzuri wa biashara na mwngne asubiri tu kujaza hata masaa 10 hapo nani mjinga?

2.mkulima anaeweka mbolea apate mavuno makubwa na asieweka ategemee mavuno makubwa nan mjinga?

najua kidogo mnaanza kuelewa tukutane kipindi kijacho
 
Ninaweka kama kumbukumbu tu !!

Kwa wale wasanii wengine wanaotegemea kuweka tu video zao YouTube na kutegemea kila kitu kiende basi ndio hivyo wenzenu wanalipia !!!

Akili yako ni ndogo sana hadi nakuonea huruma, hivi suala kuboost ili kupata viewers wengi unalichukulia kama kitu cha ajabu sana sio ? Zuchu ni msanii mchanga na mpya katika label ya WCB hivyo kufanya aweze kufahamika. Haya kwani baba ako Alikiba hana pesa ya kuboost ili apate viewers???
Mashabiki wa Alikiba akili zenu mgando sana kama Utoko


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Wewe ni cha upepo mkuu, unapocheza mchezo lengo ni kushinda, yaani mtu aandae tangazo alafu ajisifie hajatumia kiasi chochote kwasababu hajapata walioclick tangazo lake ili waicheki video yake YouTube!! Huo ni undava.

Kwa ufupi vuta stuli nkupige msasa jinsi ads zinavyofanya kazi mkuu, unapotangaza video yako kupitia facebook basi inaweza kupenya mpaka Instagram kwahio inashauriwa utumie hii, mfano wakicheki watu idadi flani video unalipia kiasi Fulani (cost per click), kama hakuna ataecheki basi video hio hakuna anataka kuicheki na hukatwi kitu ila hapo ukalime tu maana huwezi kumshawishi mtu apende hata kucheki video yako YouTube .

Kwa diamond alivyo mjanja akaona hivi vifaa vimeletwa kwajili ya kumarket, kujibrand, n.k sasa kwanini asivitumie???? Mfano anaweza akatangaza video yake Brazil ikapendwa na akapata mashabiki wapya, anaweza kutangaza video yake ya jeje kwa nchi kama uingereza kwa wasichana vijana na akapata mashabiki wapya, hii kitu imemsaidia sana diamond kuwa msanii mwenye mashabiki wengi zaidi na hata kuongoza kwa subscribers afrika nzima na hata views (sio zile feki kama za yule)

Cha ajabu wasanii baadhi wamebaki wanang'aa ng'aa sharubu eti diamond ananunua views eti kwajili an a promote video zake Facebook na Instagram, yani hawajui bado utofauti wa kununua views njia ambayo sio halali na kupromote video ili ipate views njia ambayo ni halali.

Leo hii yope INA views milioni 70 huko kwasababu diamond anajua kujibrand kama msanii wa kimataifa, yani hope remix imeifunika hata original kwasababu diamond kagusia, na ni mkali wa marketing.
Kwani Yope ni nyimbo ya Diamond!! Wewe akili zako ulipelekaga wapi asee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Yope ni nyimbo ya Diamond!! Wewe akili zako ulipelekaga wapi asee

Sent using Jamii Forums mobile app
Yope nyimbo ya inos b,kapiga ujanja janja.
Ile nyingine na Fally ipupa nayo kapiga janja janja.
Ila Fally hakupenda, Inos ni msanii mchanga sana huko akaona poa tu.
Jiongezeni basi, maoni yenu yamezibwa na ukungu wa chuki, Diamond ni brand kubwa.

1586596634232.png
 
Safi sana Mzee.

Em nifungue tena.
Wanapigaje hela kupitia u tube.

Kwa mfano 1 million views hapo msanii anaweza lipwa shng ngapi!??
Youtube haiwezi kufanya kazi peke yao na wanajua hilo, youtube imenoga kwa sababu ya watu wengi wanapandisha video zao na sisi watazamaji tunazicheki.

ikafika mahala youtube wakawa wanaombewa na makampuni mengi wawatangazie biashara zao kupitia youtube, sasa hapa ni kwamba tangazo linawekwa kabla video haijaanza kuplay, nadhani kila mdau wa youtube anajua yale matangazo ya "skip ads"

sasa hil tangazo inakuwa ni kama mtu anataka achore matangazo yake kwenye geti la nyumba yako hivyo inabidi akulipe, huko youtube wanalipa kulingana na idadi ya waliocheki tangazo lako na endapo mtu atabofya tangazo kipato kitaongezeka.

kwa ufupi tu naweza kusema kwa views milioni 1 unaweza kulipwa kwa makadirio milioni 2. hivyo youtube naweza kusema inarudisha pesa za video za gharama kubwa anazofanya
 
Mkaruka,
Hata kama umekuwa mkali lakini alichosema jamaa ni sahihi na wewe inaelekea ndo hufahamu ni namna gani hizo Ads zinafanya kazi!!

Ukifungua video yoyote ikatokea hiyo Ads, haitahesabika kwamba ni Views hadi uki-click hiyo ads kisha ikipuleke kwenye wimbo husika!

Hapo uki-click Skip Ads, ni kwamba hautafika kwenye wimbo husika bali utaishia kwenye video ambayo tayari umeshaifungua!

Na kwavile hutafika kwenye wimbo husika, HAITAHESABIWA kwamba ume-view wimbo kwa sababu ulicho-view ni tangazo la wimbo na sio wimbo!!

Haina tofauti yoyote na unapoona ads kama hiyo lakini ya Money Heist iliyopo NetFlix! Je, uki-click Skip Ads ndo utakuwa umeshaingalia Money Heist?!
 
Ni wengi tu wanaboost lakini hawapati views, hadi view ihasabike inabidi nivutiwe na kile kilichotangazwa niminye ili niicheki video YouTube, bila hivyo hakuna views itahesabika hapo.mfano hapo mtu akiminya "skip ads" hakuna view hapo ila Huyu chiriku anataka ionekane kwamba hapo tayari view imehesabika
.
Kama mnadhani rahisi igeni muone
Upo SAHIHI kwa 100%, na atakayekubishia atakuwa hana uelewa wowote wa Google Adsense na Digital Marketing in general!!

Kilichopo kwenye hiyo ads hakina tofauti yoyote na kuona bango kuuuubwa la Coca cola barabarani... ili kuinywa Coca cola ni lazima ukainunue!!!
 
Upo SAHIHI kwa 100%, na atakayekubishia atakuwa hana uelewa wowote wa Google Adsense na Digital Marketing in general!!

Kilichopo kwenye hiyo ads hakina tofauti yoyote na kuona bango kuuuubwa la Coca cola barabarani... ili kuinywa Coca cola ni lazima ukainunue!!!
Asante kwa kugongelea msumari mkuu. Teknolojia inaporahisisha kazi huna budi kuitumia iwapo itakuletea matokeo bila kujali gharama. Leo hii diamond anaitwa huko madagascar wabongo wanadhani uchawi au kanunua show kumbe mwenzao aliwahi kupromote video zake huko na wakazipenda, leo hii Diamond ana mashabiki ulaya huwa ana wapost wanavyocheza jeje, wabongo hasa wa timu uchwara wanadhani kawalipa kumbe mwenzao kagharamika kutumia promo za ads anyakue mashabiki wa ziada.

Wasanii wa bongo wengi bado wanategemea radio na kweka video zao youtibe bila promo, hizi ads naweza kusema ni mbadala wa kutambulisha ngoma zako kwenye vituo vya radio zetu hizi ambazo ni zina figisu za upendeleo, kunyenyekeana, rushwa, kujipendekeza, unyonyaji, n.k.

Leo hii inawezekana kabisa msanii asikanyage clouds au wasafi fm na bado ngoma yake ikawa hit endapo ngoma itakuwa kali na kuipa promo za matangazo ya facebook, instagram, google, n.k

wasaniii inabidi wajifunze teknolojia haipo tu kwajili ya kuitumia bali waboreshe maisha yao kwa teknolojia,
 
Mkuu we ndo unaona leo lakini Diamond kaanza mda,hizo ni jitihada za kuongeza kwasababu hata wewe unaweza kuboost video zako ikawa kama advert

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Asante kwa kugongelea msumari mkuu. Teknolojia inaporahisisha kazi huna budi kuitumia iwapo itakuletea matokeo bila kujali gharama. Leo hii diamond anaitwa huko madagascar wabongo wanadhani uchawi au kanunua show kumbe mwenzao aliwahi kupromote video zake huko na wakazipenda, leo hii Diamond ana mashabiki ulaya huwa ana wapost wanavyocheza jeje, wabongo hasa wa timu uchwara wanadhani kawalipa kumbe mwenzao kagharamika kutumia promo za ads anyakue mashabiki wa ziada.

Wasanii wa bongo wengi bado wanategemea radio na kweka video zao youtibe bila promo, hizi ads naweza kusema ni mbadala wa kutambulisha ngoma zako kwenye vituo vya radio zetu hizi ambazo ni zina figisu za upendeleo, kunyenyekeana, rushwa, kujipendekeza, unyonyaji, n.k.

Leo hii inawezekana kabisa msanii asikanyage clouds au wasafi fm na bado ngoma yake ikawa hit endapo ngoma itakuwa kali na kuipa promo za matangazo ya facebook, instagram, google, n.k

wasaniii inabidi wajifunze teknolojia haipo tu kwajili ya kuitumia bali waboreshe maisha yao kwa teknolojia,
Mzee umemaliza kila kitu nafikiri mtoa mada ameumbuka.
 
Back
Top Bottom