Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Nov 6, 2020 #42 Hiyo ni kawaida... Cc: mahondaw
K kabombe JF-Expert Member Joined Feb 11, 2011 Posts 26,153 Reaction score 18,740 Nov 8, 2020 #43 Mkaruka said: Ninaweka kama kumbukumbu tu !! Kwa wale wasanii wengine wanaotegemea kuweka tu video zao YouTube na kutegemea kila kitu kiende basi ndio hivyo wenzenu wanalipia !!! Click to expand... Nawe ka boost ya Ali kiba
Mkaruka said: Ninaweka kama kumbukumbu tu !! Kwa wale wasanii wengine wanaotegemea kuweka tu video zao YouTube na kutegemea kila kitu kiende basi ndio hivyo wenzenu wanalipia !!! Click to expand... Nawe ka boost ya Ali kiba
C chokodari JF-Expert Member Joined Jun 2, 2015 Posts 1,380 Reaction score 1,191 Nov 8, 2020 #44 SteveMollel said: Kwahiyo cha ajabu ni nini haswa? Kwamba wamefanya uhalifu gani na nani alikatazwa kufanya hivyo wafanyavyo wao? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Kwahiyo wewe unaona hiyo ni sahihi kujisifu uongo???maana watu wanajua views ni true kumbe fake
SteveMollel said: Kwahiyo cha ajabu ni nini haswa? Kwamba wamefanya uhalifu gani na nani alikatazwa kufanya hivyo wafanyavyo wao? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Kwahiyo wewe unaona hiyo ni sahihi kujisifu uongo???maana watu wanajua views ni true kumbe fake
SteveMollel JF-Expert Member Joined Jul 12, 2015 Posts 8,797 Reaction score 25,177 Nov 8, 2020 #45 chokodari said: Kwahiyo wewe unaona hiyo ni sahihi kujisifu uongo???maana watu wanajua views ni true kumbe fake Click to expand... Fake? We mzee vipi? Kupromote video youtube ni moja ya strategy ya kibiashara mzee. Nani kakwambia kupromote maana yake faking?
chokodari said: Kwahiyo wewe unaona hiyo ni sahihi kujisifu uongo???maana watu wanajua views ni true kumbe fake Click to expand... Fake? We mzee vipi? Kupromote video youtube ni moja ya strategy ya kibiashara mzee. Nani kakwambia kupromote maana yake faking?
C chokodari JF-Expert Member Joined Jun 2, 2015 Posts 1,380 Reaction score 1,191 Nov 8, 2020 #46 SteveMollel said: Fake? We mzee vipi? Kupromote video youtube ni moja ya strategy ya kibiashara mzee. Nani kakwambia kupromote maana yake faking? Click to expand... Viwes fake zipo nyingi youtube kama hujui
SteveMollel said: Fake? We mzee vipi? Kupromote video youtube ni moja ya strategy ya kibiashara mzee. Nani kakwambia kupromote maana yake faking? Click to expand... Viwes fake zipo nyingi youtube kama hujui