Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tumerudia mara kadhaa humu tukionyesha namna baadhi ya viongozi matapeli wa ccm huko mikoani wakiwafanya viongozi wao wa Kitaifa Mabwege , kwa kuwakusanyia watu duni na wasela na kutangaza kwamba eti ni wanachama wa Chadema wanaohamia ccm, Lakini tumeonekana ni waongo.
Sasa angalia mwenyewe uone Nchimbi alivyopigwa hela kizembe sana
Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi
Ni Aibu sana kwa kiongozi wa Juu wa CCM kudanganywa na watu wajinga kama hao viongozi wa Itilima.
Naamini baada ya Uzi huu viongozi wote wa CCM wa Itilima watafukuzwa.
Sasa angalia mwenyewe uone Nchimbi alivyopigwa hela kizembe sana
Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi
Ni Aibu sana kwa kiongozi wa Juu wa CCM kudanganywa na watu wajinga kama hao viongozi wa Itilima.
Naamini baada ya Uzi huu viongozi wote wa CCM wa Itilima watafukuzwa.