Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
๐๐๐๐Mkuu piga pesa ,dogo anajidai mnaaa kukuzibia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐Mkuu piga pesa ,dogo anajidai mnaaa kukuzibia
kujaribu kuufaya ukweli kuonekana si kweli ni kazi nzito na ngumu sana,Tumerudia mara kadhaa humu tukionyesha namna baadhi ya viongozi matapeli wa ccm huko mikoani wakiwafanya viongozi wao wa Kitaifa Mabwege , kwa kuwakusanyia watu duni na wasela na kutangaza kwamba eti ni wanachama wa Chadema wanaohamia ccm, Lakini tumeonekana ni waongo.
Sasa angalia mwenyewe uone Nchimbi alivyopigwa hela kizembe sana
Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi
View attachment 3119104View attachment 3119106View attachment 3119107
Ni Aibu sana kwa kiongozi wa Juu wa CCM kudanganywa na watu wajinga kama hao viongozi wa Itilima.
Naamini baada ya Uzi huu viongozi wote wa CCM wa Itilima watafukuzwa.
CCM na viongozi wa CCM hutegemea zaidi hadaa, uwongo na utapeli wa kisiasa, hivyo wasemapo uwongo, ni kuwapuuza, maana hadaa, uwongo na utapeli wa kisiasa ndiyo sera yao kuu wanayoiishi kwa sasa.kujaribu kuufaya ukweli kuonekana si kweli ni kazi nzito na ngumu sana,
mbaya zaidi,
inaumiza moyo sana na kukatisha tamaa mno, kwamba mna wanachama na wafuasi wachache tu kindakindaki eneo hilo, halafu tena katika uchache huo, wanahamia upande mwingine na kukuacha mikono mitupu dah ๐คฃ
hii siasa saa zinngine bana, unaweza kuzeeka wiki moja tu, unajenga huku, huku kunabomolewa na usaliti juu ๐คฃ
Wametiwa la kati kabisa kudadadadeqTumerudia mara kadhaa humu tukionyesha namna baadhi ya viongozi matapeli wa ccm huko mikoani wakiwafanya viongozi wao wa Kitaifa Mabwege , kwa kuwakusanyia watu duni na wasela na kutangaza kwamba eti ni wanachama wa Chadema wanaohamia ccm, Lakini tumeonekana ni waongo.
Sasa angalia mwenyewe uone Nchimbi alivyopigwa hela kizembe sana
Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi
View attachment 3119104View attachment 3119106View attachment 3119107
Ni Aibu sana kwa kiongozi wa Juu wa CCM kudanganywa na watu wajinga kama hao viongozi wa Itilima.
Naamini baada ya Uzi huu viongozi wote wa CCM wa Itilima watafukuzwa.
wanachadema wamehamia CCM kwa hiyari, haki, uhuru na mapenzi yao..CCM ni chama ambacho kinata
CCM na viongozi wa CCM hutegemea zaidi hadaa, uwongo na utapeli wa kisiasa, hivyo wasemapo uwongo, ni kuwapuuza, maana hadaa, uwongo na utapeli wa kisiasa ndiyo sera yao kuu wanayoiishi kwa sasa.
Ndio maana tumewadhibiti haraka sanaCCM ni chama ambacho kinata
CCM na viongozi wa CCM hutegemea zaidi hadaa, uwongo na utapeli wa kisiasa, hivyo wasemapo uwongo, ni kuwapuuza, maana hadaa, uwongo na utapeli wa kisiasa ndiyo sera yao kuu wanayoiishi kwa sasa.
Kama mama Abdul anakubali kutapeliwa mchana kweupe, nchimbi hachomoki.Tumerudia mara kadhaa humu tukionyesha namna baadhi ya viongozi matapeli wa ccm huko mikoani wakiwafanya viongozi wao wa Kitaifa Mabwege , kwa kuwakusanyia watu duni na wasela na kutangaza kwamba eti ni wanachama wa Chadema wanaohamia ccm, Lakini tumeonekana ni waongo.
Sasa angalia mwenyewe uone Nchimbi alivyopigwa hela kizembe sana
Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi
View attachment 3119104View attachment 3119106View attachment 3119107
Ni Aibu sana kwa kiongozi wa Juu wa CCM kudanganywa na watu wajinga kama hao viongozi wa Itilima.
Naamini baada ya Uzi huu viongozi wote wa CCM wa Itilima watafukuzwa.
Wakenya wanasema "ngori"Mkuu piga pesa ,dogo anajidai mnaaa kukuzibia
Kwa huo ushahidi halitarudia ujinga tena!Huu ndio uzuri wa Jf, Wasilete kutekana tu, vinginevyo hawatuwezi kabisa
Noma sana! Sijui wanalogwa!Kama mama Abdul anakubali kutapeliwa mchana kweupe, nchimbi hachomoki.
Tunakushukuru kwa kielelezo muhimu
Kanda ya ziwa yote iko hivyo, % kubwa huwa hawaamini hata MunguHio wilaya nasikia ina wachawi wengi kuliko idadi ya watu wanaoishi.
Kuroga kwao ni sifa, unaweza urogwe ili tuu ukose choo.
Na wewe ni muongo:Huko Kanda ya ziwa wanamuelewa sana SAMIA. Nana unatafuta justification ya kukataa matokeo ya serikali za mitaa:Tumerudia mara kadhaa humu tukionyesha namna baadhi ya viongozi matapeli wa ccm huko mikoani wakiwafanya viongozi wao wa Kitaifa Mabwege , kwa kuwakusanyia watu duni na wasela na kutangaza kwamba eti ni wanachama wa Chadema wanaohamia ccm, Lakini tumeonekana ni waongo.
Sasa angalia mwenyewe uone Nchimbi alivyopigwa hela kizembe sana
Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi
View attachment 3119104View attachment 3119106View attachment 3119107
Ni Aibu sana kwa kiongozi wa Juu wa CCM kudanganywa na watu wajinga kama hao viongozi wa Itilima.
Naamini baada ya Uzi huu viongozi wote wa CCM wa Itilima watafukuzwa.
JamiiCheck imethibitisha kwamba kapigwa! Noma sanaDuh ๐