Pre GE2025 Ushahidi wa Jinsi Katibu Mkuu wa CCM Emmanuel Nchimbi alivyotapeliwa na kudanganywa huko Itilima huu hapa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Tumerudia mara kadhaa humu tukionyesha namna baadhi ya viongozi matapeli wa ccm huko mikoani wakiwafanya viongozi wao wa Kitaifa Mabwege , kwa kuwakusanyia watu duni na wasela na kutangaza kwamba eti ni wanachama wa Chadema wanaohamia ccm, Lakini tumeonekana ni waongo.

Sasa angalia mwenyewe uone Nchimbi alivyopigwa hela kizembe sana

Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi



Ni Aibu sana kwa kiongozi wa Juu wa CCM kudanganywa na watu wajinga kama hao viongozi wa Itilima.

Naamini baada ya Uzi huu viongozi wote wa CCM wa Itilima watafukuzwa.
 
Mbona una haha na kutaoatapa? Shida ni ipi? 😆😆😆😆
 
Ibilisi hajawahi kushinda
.
 
Kumbuka tuliamua kuhama tupo mpaka humu.Unaleta taarifa za mwaka 2023 .Tupo wengi tumahamia CCM kwasasa maana tumekosa mwelekeo huku CHADEMA
 
Lini nyumbu akatambua atokako na aendako?
 
Kumbuka tuliamua kuhama tupo mpaka humu.Unaleta taarifa za mwaka 2023 .Tupo wengi tumahamia CCM kwasasa maana tumekosa mwelekeo huku CHADEMA
Mkuu sasa kama CCM imeongoza miaka yote hiyo ukiwa mzima na ujapata unafuu wa maisha si bora ukae pembeni upambanie maisha nje ya vyama? Au unadhani ukienda CCM kutokea CHADEMA kuna kitu utwkibadilisha kilichomshinda mwenyekiti wao Mama Samia?
 
Lucas Mwashambwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…