Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tunawaomba wale Mamluki wa ccm wa humu JF wapitie uzi huuSafari bado mbichi kuelekea Uchaguzi tutashuhudia mengi sana
Huu ndio uzuri wa Jf, Wasilete kutekana tu, vinginevyo hawatuwezi kabisaErythrocyte umelifumuafumua Lucas Mwashambwa the headless chicken!
Mbona una haha na kutaoatapa? Shida ni ipi? 😆😆😆😆Tumerudia mara kadhaa humu tukionyesha namna baadhi ya viongozi matapeli wa ccm huko mikoani wakiwafanya viongozi wao wa Kitaifa Mabwege , kwa kuwakusanyia watu duni na wasela na kutangaza kwamba eti ni wanachama wa Chadema wanaohamia ccm, Lakini tumeonekana ni waongo.
Sasa angalia mwenyewe uone Nchimbi alivyopigwa hela kizembe sana
Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi
View attachment 3119104View attachment 3119106View attachment 3119107
Ni Aibu sana kwa kiongozi wa Juu wa CCM kudanganywa na watu wa wajinga kama hao viongozi wa Itilima.
Naamini baada ya Uzi huu viongozi wote wa CCM wa Itilima watafukuzwa.
Ibilisi hajawahi kushindaTumerudia mara kadhaa humu tukionyesha namna baadhi ya viongozi matapeli wa ccm huko mikoani wakiwafanya viongozi wao wa Kitaifa Mabwege , kwa kuwakusanyia watu duni na wasela na kutangaza kwamba eti ni wanachama wa Chadema wanaohamia ccm, Lakini tumeonekana ni waongo.
Sasa angalia mwenyewe uone Nchimbi alivyopigwa hela kizembe sana
Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi
View attachment 3119104View attachment 3119106View attachment 3119107
Ni Aibu sana kwa kiongozi wa Juu wa CCM kudanganywa na watu wa wajinga kama hao viongozi wa Itilima.
Naamini baada ya Uzi huu viongozi wote wa CCM wa Itilima watafukuzwa.
Kumbuka tuliamua kuhama tupo mpaka humu.Unaleta taarifa za mwaka 2023 .Tupo wengi tumahamia CCM kwasasa maana tumekosa mwelekeo huku CHADEMATumerudia mara kadhaa humu tukionyesha namna baadhi ya viongozi matapeli wa ccm huko mikoani wakiwafanya viongozi wao wa Kitaifa Mabwege , kwa kuwakusanyia watu duni na wasela na kutangaza kwamba eti ni wanachama wa Chadema wanaohamia ccm, Lakini tumeonekana ni waongo.
Sasa angalia mwenyewe uone Nchimbi alivyopigwa hela kizembe sana
Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi
View attachment 3119104View attachment 3119106View attachment 3119107
Ni Aibu sana kwa kiongozi wa Juu wa CCM kudanganywa na watu wajinga kama hao viongozi wa Itilima.
Naamini baada ya Uzi huu viongozi wote wa CCM wa Itilima watafukuzwa.
Wewe ni miongoni mwa matapeli wa ccm, Nchimbi hatokuachaMbona una haha na kutaoatapa? Shida ni ipi? 😆😆😆😆
Kamanda hivi vipi tunapiga kampeini za uchaguzi serikali za mitaa au tusubiri Katiba Mpya?Wewe ni miongoni mwa matapeli wa ccm, Nchimbi hatokuacha
Kwa nini unatapatapa? 😆😆Wewe ni miongoni mwa matapeli wa ccm, Nchimbi hatokuacha
Lini nyumbu akatambua atokako na aendako?Tumerudia mara kadhaa humu tukionyesha namna baadhi ya viongozi matapeli wa ccm huko mikoani wakiwafanya viongozi wao wa Kitaifa Mabwege , kwa kuwakusanyia watu duni na wasela na kutangaza kwamba eti ni wanachama wa Chadema wanaohamia ccm, Lakini tumeonekana ni waongo.
Sasa angalia mwenyewe uone Nchimbi alivyopigwa hela kizembe sana
Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi
View attachment 3119104View attachment 3119106View attachment 3119107
Ni Aibu sana kwa kiongozi wa Juu wa CCM kudanganywa na watu wajinga kama hao viongozi wa Itilima.
Naamini baada ya Uzi huu viongozi wote wa CCM wa Itilima watafukuzwa.
MsidanganyeKumbuka tuliamua kuhama tupo mpaka humu.Unaleta taarifa za mwaka 2023 .Tupo wengi tumahamia CCM kwasasa maana tumekosa mwelekeo huku CHADEMA
Soma habari iliyoambatishwa ya katibu mkuu Ccm kufunga ofisi za Cdm wilayani Itilima, ni habari za leo, usilete habari za mwaka jana.Kumbuka tuliamua kuhama tupo mpaka humu.Unaleta taarifa za mwaka 2023 .Tupo wengi tumahamia CCM kwasasa maana tumekosa mwelekeo huku CHADEMA
Jambo la Aibu unalikenulia meno!Kwa nini unatapatapa? 😆😆
Swali lako ni la kijingaKamanda hivi vipi tunapiga kampeini za uchaguzi serikali za mitaa au tusubiri Katiba Mpya?
Mkuu sasa kama CCM imeongoza miaka yote hiyo ukiwa mzima na ujapata unafuu wa maisha si bora ukae pembeni upambanie maisha nje ya vyama? Au unadhani ukienda CCM kutokea CHADEMA kuna kitu utwkibadilisha kilichomshinda mwenyekiti wao Mama Samia?Kumbuka tuliamua kuhama tupo mpaka humu.Unaleta taarifa za mwaka 2023 .Tupo wengi tumahamia CCM kwasasa maana tumekosa mwelekeo huku CHADEMA
Lucas MwashambwaTumerudia mara kadhaa humu tukionyesha namna baadhi ya viongozi matapeli wa ccm huko mikoani wakiwafanya viongozi wao wa Kitaifa Mabwege , kwa kuwakusanyia watu duni na wasela na kutangaza kwamba eti ni wanachama wa Chadema wanaohamia ccm, Lakini tumeonekana ni waongo.
Sasa angalia mwenyewe uone Nchimbi alivyopigwa hela kizembe sana
Soma Pia: Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi azifunga Ofisi za CHADEMA Itilima Mkoani Simiyu mbele ya Maelfu ya Wananchi
View attachment 3119104View attachment 3119106View attachment 3119107
Ni Aibu sana kwa kiongozi wa Juu wa CCM kudanganywa na watu wajinga kama hao viongozi wa Itilima.
Naamini baada ya Uzi huu viongozi wote wa CCM wa Itilima watafukuzwa.
Mkuu piga pesa ,dogo anajidai mnaaa kukuzibiaLini nyumbu akatambua atokako na aendako?