Pre GE2025 Ushahidi wa Jinsi Katibu Mkuu wa CCM Emmanuel Nchimbi alivyotapeliwa na kudanganywa huko Itilima huu hapa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
kujaribu kuufaya ukweli kuonekana si kweli ni kazi nzito na ngumu sana,

mbaya zaidi,
inaumiza moyo sana na kukatisha tamaa mno, kwamba mna wanachama na wafuasi wachache tu kindakindaki eneo hilo, halafu tena katika uchache huo, wanahamia upande mwingine na kukuacha mikono mitupu dah 🀣

hii siasa saa zinngine bana, unaweza kuzeeka wiki moja tu, unajenga huku, huku kunabomolewa na usaliti juu 🀣
 
CCM ni chama ambacho kinata
CCM na viongozi wa CCM hutegemea zaidi hadaa, uwongo na utapeli wa kisiasa, hivyo wasemapo uwongo, ni kuwapuuza, maana hadaa, uwongo na utapeli wa kisiasa ndiyo sera yao kuu wanayoiishi kwa sasa.
 
Wametiwa la kati kabisa kudadadadeq
 
CCM ni chama ambacho kinata

CCM na viongozi wa CCM hutegemea zaidi hadaa, uwongo na utapeli wa kisiasa, hivyo wasemapo uwongo, ni kuwapuuza, maana hadaa, uwongo na utapeli wa kisiasa ndiyo sera yao kuu wanayoiishi kwa sasa.
wanachadema wamehamia CCM kwa hiyari, haki, uhuru na mapenzi yao..

eti ndrugu yako kamanda mtoa hoja analeta matokeo ya uchaguzi sijui ya mwaka gani huko? sasa hiyo ina uhusiano gani na hayo mamia kwa maelfu ya wanachadema walio hamia CCM?🀣
 
CCM ni chama ambacho kinata

CCM na viongozi wa CCM hutegemea zaidi hadaa, uwongo na utapeli wa kisiasa, hivyo wasemapo uwongo, ni kuwapuuza, maana hadaa, uwongo na utapeli wa kisiasa ndiyo sera yao kuu wanayoiishi kwa sasa.
Ndio maana tumewadhibiti haraka sana
 
Kama mama Abdul anakubali kutapeliwa mchana kweupe, nchimbi hachomoki.
 
Hio wilaya nasikia ina wachawi wengi kuliko idadi ya watu wanaoishi.
Kuroga kwao ni sifa, unaweza urogwe ili tuu ukose choo.
 
Hio wilaya nasikia ina wachawi wengi kuliko idadi ya watu wanaoishi.
Kuroga kwao ni sifa, unaweza urogwe ili tuu ukose choo.
Kanda ya ziwa yote iko hivyo, % kubwa huwa hawaamini hata Mungu
 
Na wewe ni muongo:Huko Kanda ya ziwa wanamuelewa sana SAMIA. Nana unatafuta justification ya kukataa matokeo ya serikali za mitaa:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…