Ushahidi wa Jinsi Mihimili ya Kenya ilivyo huru kulinganisha na ile ya Tanzania huu hapa

Ushahidi wa Jinsi Mihimili ya Kenya ilivyo huru kulinganisha na ile ya Tanzania huu hapa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Pamoja na kwamba Bunge la Kenya limemuondoa Madarakani Naibu wa Rais aitwaye Gachagua, Na kufikia hata kumpitisha Naibu Mpya aliyeteuliwa na Rais William Ruto, Lakini shughuli yote hiyo imezimwa na Mahakama ya Nchi hiyo.

Hii ni Baada ya Bwana Gachagua kuwasilisha pingamizi Mahakamani, Akipinga kuondolewa kwake kwa alichodai hakukufuata Utaratibu, Mchakato huo utaendelea baada ya Mahakama kusikiliza kesi hii iliyofunguliwa kwa hati ya dharula, na kama Mahakama hiyo itakubaliana na madai ya Gachagua aweza kurejeshwa Madarakani.

Jambo hili haliwezi kufanyika Nchini Tanzania, Haingewezekana kwa namna yoyote ile hata ikibidi kwa gharama ya Majaji na Gachagua mwenyewe kupotea ama kutekwa, Kwa Tanzania kauli ya Viongozi ina nguvu kuliko Amri Kuu za Mungu (Mifano ya Jambo hili tukiiweka hapa basi JF itajaa)

Soma Pia:
Kwa kadri ya Maono yangu Kenya haikupaswa kuwemo kwenye Jumuiya ya Africa Mashariki, kulikojaa viongozi Madikteta wasioheshimu Katiba walizoapa kuzilinda tena kwa kushika vitabu vya dini zao kwenye mkono wa Kulia.

Nitajaribu kuishawishi Kenya ijiondoe kwenye Jumuiya ya Africa Mashariki ili kulinda Heshima yake

Mungu Ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya
 
Pamoja na kwamba Bunge la Kenya limemuondoa Madarakani Naibu wa Rais aitwaye Gachagua, Na kufikia hata kumpitisha Naibu Mpya aliyeteuliwa na Rais William Ruto, Lakini shughuli yote hiyo imezimwa na Mahakama ya Nchi hiyo.

Hii ni Baada ya Bwana Gachagua kuwasilisha pingamizi Mahakamani, Akipinga kuondolewa kwake kwa alichodai hakukufuata Utaratibu, Mchakato huo utaendelea baada ya Mahakama kusikiliza kesi hii iliyofunguliwa kwa hati ya dharula, na kama Mahakama hiyo itakubaliana na madai ya Gachagua aweza kurejeshwa Madarakani.

Jambo hili haliwezi kufanyika Nchini Tanzania, Haingewezekana kwa namna yoyote ile hata ikibidi kwa gharama ya Majaji na Gachagua mwenyewe kupotea ama kutekwa, Kwa Tanzania kauli ya Viongozi ina nguvu kuliko Amri Kuu za Mungu (Mifano ya Jambo hili tukiiweka hapa basi JF itajaa)

Kwa kadri ya Maono yangu Kenya haikupaswa kuwemo kwenye Jumuiya ya Africa Mashariki, kulikojaa viongozi Madikteta wasioheshimu Katiba walizoapa kuzilinda tena kwa kushika vitabu vya dini zao kwenye mkono wa Kulia.

Nitajaribu kuishawishi Kenya ijiondoe kwenye Jumuiya ya Africa Mashariki ili kulinda Heshima yake

Mungu Ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya
Kwani of all countries hulete Tanzania, hapa hamna mihimili ni matawi ya chama tawala.
 
No no hapa hamna kitu cha demokurasia cha kulinganisha ni taka taka. Wanaichi ni mateka wa chama tawala kwa zaidi ya mwako 50, na hawana mbinu ya kujinusuru kabisa.
Amen
 
Pamoja na kwamba Bunge la Kenya limemuondoa Madarakani Naibu wa Rais aitwaye Gachagua, Na kufikia hata kumpitisha Naibu Mpya aliyeteuliwa na Rais William Ruto, Lakini shughuli yote hiyo imezimwa na Mahakama ya Nchi hiyo.

Hii ni Baada ya Bwana Gachagua kuwasilisha pingamizi Mahakamani, Akipinga kuondolewa kwake kwa alichodai hakukufuata Utaratibu, Mchakato huo utaendelea baada ya Mahakama kusikiliza kesi hii iliyofunguliwa kwa hati ya dharula, na kama Mahakama hiyo itakubaliana na madai ya Gachagua aweza kurejeshwa Madarakani.

Jambo hili haliwezi kufanyika Nchini Tanzania, Haingewezekana kwa namna yoyote ile hata ikibidi kwa gharama ya Majaji na Gachagua mwenyewe kupotea ama kutekwa, Kwa Tanzania kauli ya Viongozi ina nguvu kuliko Amri Kuu za Mungu (Mifano ya Jambo hili tukiiweka hapa basi JF itajaa)

Kwa kadri ya Maono yangu Kenya haikupaswa kuwemo kwenye Jumuiya ya Africa Mashariki, kulikojaa viongozi Madikteta wasioheshimu Katiba walizoapa kuzilinda tena kwa kushika vitabu vya dini zao kwenye mkono wa Kulia.

Nitajaribu kuishawishi Kenya ijiondoe kwenye Jumuiya ya Africa Mashariki ili kulinda Heshima yake

Mungu Ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya
vina uhuru wa wapi wakati mahakama ya Kenya kipindi cha Uhuru Kenyata ilinyimwa pesa kabisa na Serikali, wakati huo Chief Justice akiwa Maraga na walihenyeshwa sana kama Judiciary...

Leo hii Ruto ndio kidogo kawatengea fungu maalumu la pesa, hata mahakama na Serikali kuu wanaelewana vizuri mno hivi sasa, na hivi karibuni wanaenda kusagasaga pingamizi la impeachment ya Gachagua ili kumfanya asifurukute kabisa kwenye siasa za Kenya daima na milele, ili iwe fundisho kwa watu wa murima wenye tabia kama za Gachagua 🐒
 
vina uhuru wa wapi wakati mahakama ya Kenya kipindi cha Uhuru Kenyata ilinyimwa pesa kabisa na Serikali, wakati huo Chief Justice akiwa Maraga na walihenyeshwa sana kama Judiciary...

Leo hii Ruto ndio kidogo kawatengea fungu maalumu la pesa, hata mahakama na Serikali kuu wanaelewana vizuri mno hivi sasa, na hivi karibuni wanaenda kusagasaga pingamizi la impeachment ya Gachagua ili kumfanya asifurukute kabisa kwenye siasa za Kenya daima na milele, ili iwe fundisho kwa watu wa murima wenye tabia kama za Gachagua [emoji205]
Kwahiyo unataka kusema Tanzania kuna unafuu kidogo au unatupa tu taarifa ya nyuma huko kenya?
 
Pamoja na kwamba Bunge la Kenya limemuondoa Madarakani Naibu wa Rais aitwaye Gachagua, Na kufikia hata kumpitisha Naibu Mpya aliyeteuliwa na Rais William Ruto, Lakini shughuli yote hiyo imezimwa na Mahakama ya Nchi hiyo.

Hii ni Baada ya Bwana Gachagua kuwasilisha pingamizi Mahakamani, Akipinga kuondolewa kwake kwa alichodai hakukufuata Utaratibu, Mchakato huo utaendelea baada ya Mahakama kusikiliza kesi hii iliyofunguliwa kwa hati ya dharula, na kama Mahakama hiyo itakubaliana na madai ya Gachagua aweza kurejeshwa Madarakani.

Jambo hili haliwezi kufanyika Nchini Tanzania, Haingewezekana kwa namna yoyote ile hata ikibidi kwa gharama ya Majaji na Gachagua mwenyewe kupotea ama kutekwa, Kwa Tanzania kauli ya Viongozi ina nguvu kuliko Amri Kuu za Mungu (Mifano ya Jambo hili tukiiweka hapa basi JF itajaa)

Soma Pia:
Kwa kadri ya Maono yangu Kenya haikupaswa kuwemo kwenye Jumuiya ya Africa Mashariki, kulikojaa viongozi Madikteta wasioheshimu Katiba walizoapa kuzilinda tena kwa kushika vitabu vya dini zao kwenye mkono wa Kulia.

Nitajaribu kuishawishi Kenya ijiondoe kwenye Jumuiya ya Africa Mashariki ili kulinda Heshima yake

Mungu Ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya
Bila mihimili huru pesa za Taifa na rasimali zake zitaendelea kunufaisha vigogo na viongozi wa chama na serikali tu.
 
Kwahiyo unataka kusema Tanzania kuna unafuu kidogo au unatupa tu taarifa ya nyuma huko kenya?
sio nyuma, mpaka sasa,

na Gachagua atasagwasagwa mpaka mumuonee huruma. Si alikua anadharau mahakama na kutisha majaji, sasa kajipeleka mwenyewe 🤣

Kuhusu Tz andika uzi tuone namna ya kueleza 🐒
 
sio nyuma, mpaka sasa,

na Gachagua atasagwasagwa mpaka mumuonee huruma. Si alikua anadharau mahakama na kutisha majaji, sasa kajipeleka mwenyewe [emoji1787]

Kuhusu Tz andika uzi tuone namna ya kueleza [emoji205]
Mahakama ndo imesimamisha mchakato mzima wakuweka mrrthi wake aliidharau je tena?......wewe jadili vya Tanzania hapa ndo unavielewa kuliko vya uko kenya hapa kuna mihimili au tuna muhimbili?
 
Kunamfanyabiashara mmoja simukumbuki jina aliwahi kusema mahakama za Tanzania Huwa zinapigiwa simu na kizimkazi ili ziamue kesi Kwa kuegemea upande wa kizimkazi anavyotaka.mfano hii ya Kenya ingekuwa mahakama ya Tz ingepigiwa simu kutoka magogoni kuielekeza kufuta hiyo kesi maramoja la sivyo huyo hakimu anatekwa na wasiojulikana wanaojulikana
 
Mahakama ndo imesimamisha mchakato mzima wakuweka mrrthi wake aliidharau je tena?......wewe jadili vya Tanzania hapa ndo unavielewa kuliko vya uko kenya hapa kuna mihimili au tuna muhimbili?
nadhani hukufuatilia siasa za Gachagua na nadhani huelewi mashtaka ma5 yaliyomtia hatiani kwenye bunge la seneti...

kuugua kwake ni mikakati na mbinu ya eti mahakama itamnusuru...
Atasagwa vizuri sana hiyo Oct 24🐒
 
Pamoja na kwamba Bunge la Kenya limemuondoa Madarakani Naibu wa Rais aitwaye Gachagua, Na kufikia hata kumpitisha Naibu Mpya aliyeteuliwa na Rais William Ruto, Lakini shughuli yote hiyo imezimwa na Mahakama ya Nchi hiyo.

Hii ni Baada ya Bwana Gachagua kuwasilisha pingamizi Mahakamani, Akipinga kuondolewa kwake kwa alichodai hakukufuata Utaratibu, Mchakato huo utaendelea baada ya Mahakama kusikiliza kesi hii iliyofunguliwa kwa hati ya dharula, na kama Mahakama hiyo itakubaliana na madai ya Gachagua aweza kurejeshwa Madarakani.

Jambo hili haliwezi kufanyika Nchini Tanzania, Haingewezekana kwa namna yoyote ile hata ikibidi kwa gharama ya Majaji na Gachagua mwenyewe kupotea ama kutekwa, Kwa Tanzania kauli ya Viongozi ina nguvu kuliko Amri Kuu za Mungu (Mifano ya Jambo hili tukiiweka hapa basi JF itajaa)

Soma Pia:
Kwa kadri ya Maono yangu Kenya haikupaswa kuwemo kwenye Jumuiya ya Africa Mashariki, kulikojaa viongozi Madikteta wasioheshimu Katiba walizoapa kuzilinda tena kwa kushika vitabu vya dini zao kwenye mkono wa Kulia.

Nitajaribu kuishawishi Kenya ijiondoe kwenye Jumuiya ya Africa Mashariki ili kulinda Heshima yake

Mungu Ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya
Kwani huwa unatumia kilevi gani!
 
Back
Top Bottom