Huna unacho jua kabisa we endelea kusikiliza TBC taifa, mimi niko Nairobi jnacho ongelea nakiona live wewe uko mbagala unataka kunielewesha mimi.nadhani hukufuatilia siasa za Gachagua na nadhani huelewi mashtaka ma5 yaliyomtia hatiani kwenye bunge la seneti...
kuugua kwake ni mikakati na mbinu ya eti mahakama itamnusuru...
Atasagwa vizuri sana hiyo Oct 24[emoji205]
Imewasaidia nini wakenya .? Kila siku wanauana sababu ya hiyo so called democracia walijiwekea .Pamoja na kwamba Bunge la Kenya limemuondoa Madarakani Naibu wa Rais aitwaye Gachagua, Na kufikia hata kumpitisha Naibu Mpya aliyeteuliwa na Rais William Ruto, Lakini shughuli yote hiyo imezimwa na Mahakama ya Nchi hiyo.
Hii ni Baada ya Bwana Gachagua kuwasilisha pingamizi Mahakamani, Akipinga kuondolewa kwake kwa alichodai hakukufuata Utaratibu, Mchakato huo utaendelea baada ya Mahakama kusikiliza kesi hii iliyofunguliwa kwa hati ya dharula, na kama Mahakama hiyo itakubaliana na madai ya Gachagua aweza kurejeshwa Madarakani.
Jambo hili haliwezi kufanyika Nchini Tanzania, Haingewezekana kwa namna yoyote ile hata ikibidi kwa gharama ya Majaji na Gachagua mwenyewe kupotea ama kutekwa, Kwa Tanzania kauli ya Viongozi ina nguvu kuliko Amri Kuu za Mungu (Mifano ya Jambo hili tukiiweka hapa basi JF itajaa)
Soma Pia:
Kwa kadri ya Maono yangu Kenya haikupaswa kuwemo kwenye Jumuiya ya Africa Mashariki, kulikojaa viongozi Madikteta wasioheshimu Katiba walizoapa kuzilinda tena kwa kushika vitabu vya dini zao kwenye mkono wa Kulia.
- Mahakama ya Juu yasitisha kwa muda uamuzi wa Seneti kumwondoa Gachagua na Uteuzi wa Naibu Rais mpya
- Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua aondolewa madarakani
Nitajaribu kuishawishi Kenya ijiondoe kwenye Jumuiya ya Africa Mashariki ili kulinda Heshima yake
Mungu Ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya
kweli kwenye miti mingi hakuna wajenzi naona unababaika tu π€£Huna unacho jua kabisa we endelea kusikiliza TBC taifa, mimi niko Nairobi jnacho ongelea nakiona live wewe uko mbagala unataka kunielewesha mimi.
haiwezekani kama nchi au serikali yenye uelekeo, malengo na dhamira moja, halafu anajitokeza mwenye kiburi moja kati yenu akiwa na nia au mipango ya kuhujumu, kutatiza au kubeza malengo yale...Nikikumbuka mlichomfanya Ndugai sina hamu
bilashaka atakua anatumia aina ile ile anayotumia chairman wake πKwani huwa unatumia kilevi gani!
Ushauri wako naufanyia kaziBasi hamia Kenya
Ile gongo la mboto ya kiwandani!bilashaka atakua anatumia aina ile ile anayotumia chairman wake π
ndiyo hiyo π€£Ile gongo la mboto ya kiwandani!
Rostam Azizi alisema majaji wa apa unapiga tu simu na kutoa maelekezokweli kwenye miti mingi hakuna wajenzi naona unababaika tu π€£
Jikite kwenye madaUfipa pia mwenyekiti ndo kila kitu.