Ushahidi wa Jinsi Mihimili ya Kenya ilivyo huru kulinganisha na ile ya Tanzania huu hapa

nadhani hukufuatilia siasa za Gachagua na nadhani huelewi mashtaka ma5 yaliyomtia hatiani kwenye bunge la seneti...

kuugua kwake ni mikakati na mbinu ya eti mahakama itamnusuru...
Atasagwa vizuri sana hiyo Oct 24[emoji205]
Huna unacho jua kabisa we endelea kusikiliza TBC taifa, mimi niko Nairobi jnacho ongelea nakiona live wewe uko mbagala unataka kunielewesha mimi.
 
Imewasaidia nini wakenya .? Kila siku wanauana sababu ya hiyo so called democracia walijiwekea .

Wanapiga hatua kumi mbele mwaka mmoja wanarudi 20 nyuma ndani ya siku moja .
 
Nikikumbuka mlichomfanya Ndugai sina hamu
haiwezekani kama nchi au serikali yenye uelekeo, malengo na dhamira moja, halafu anajitokeza mwenye kiburi moja kati yenu akiwa na nia au mipango ya kuhujumu, kutatiza au kubeza malengo yale...

kisiasa ni Lazima atolewe kwenye nafasi yake, ili apate fursa akafanye hayo akiwa nje ya mfumo ili malengo yafikiwe na wengine...

kumbuka,
there is two constants in politics,
Interest and Betreyal πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…