John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,137
- 2,147
Kwa wale wasiofahamu, Simba SC imewahi kutinga na kunyanyua kwapa mara kadhaa katika hatua ya nusu na fainali hatimaye ubingwa huko ughaibuni.
Hapa ni moja ya viungo wakabaji akiwa amenyanyua kwapa baada ya kutwaa ndoo.
Hapa ni moja ya ndoo zilizochukuliwa na kilabu hiki katika michuano hiyo.
Hongera sana kwa wadau ma mashabiki wote kwa mafanikio haya makubwa kwani bila ninyi tusingeweza kufika hapa tulipo na kupata mafanikio haya.
Simba Guvu Moya.
Hapa ni moja ya viungo wakabaji akiwa amenyanyua kwapa baada ya kutwaa ndoo.
Hapa ni moja ya ndoo zilizochukuliwa na kilabu hiki katika michuano hiyo.
Hongera sana kwa wadau ma mashabiki wote kwa mafanikio haya makubwa kwani bila ninyi tusingeweza kufika hapa tulipo na kupata mafanikio haya.
Simba Guvu Moya.