Necta kwa mara ya Kwanza inajikuta ikiingia katika kashfa ya kuchakachua matokeo ya Zanzibar.
Wasomi mbali mbali wa Zanzibar wameanza kuandaa Ushahidi unaonyesha Jinsi ya NECTA ilivyofanya uchakachuaji wa hali ya juu.
wanadai haijawahi kutokea popote dunia matokeo ya Mtihani wa taifa kuwa kama yalivyotolewa na NECTA.
wanadai hawezekani wanafunzi 170 kati ya 171 wafutiwe kwa pamoja mmoja tu abaki.
pia wamefika mbali na kusema kama Ndalichako anadai wazanzibar mtihani kwanini hakugundua wanafunzi wa Dar kwamba wameiba? wanadai hawezekani uibiwe zanzibar usipatike Dar , hata Mwanza.
wamesema wanandaa vitabu mbali mbali , makala kupita magazeti. tayari gazeti la Zanzibar leo limeanza kuchapisha makala mbali mbali kuonyseha Uchakachuaji wa NECTA
Wasomi mbali mbali wa Zanzibar wameanza kuandaa Ushahidi unaonyesha Jinsi ya NECTA ilivyofanya uchakachuaji wa hali ya juu.
wanadai haijawahi kutokea popote dunia matokeo ya Mtihani wa taifa kuwa kama yalivyotolewa na NECTA.
wanadai hawezekani wanafunzi 170 kati ya 171 wafutiwe kwa pamoja mmoja tu abaki.
pia wamefika mbali na kusema kama Ndalichako anadai wazanzibar mtihani kwanini hakugundua wanafunzi wa Dar kwamba wameiba? wanadai hawezekani uibiwe zanzibar usipatike Dar , hata Mwanza.
wamesema wanandaa vitabu mbali mbali , makala kupita magazeti. tayari gazeti la Zanzibar leo limeanza kuchapisha makala mbali mbali kuonyseha Uchakachuaji wa NECTA