Ushairi wangu juu ya corona

Ushairi wangu juu ya corona

mathsjery

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2015
Posts
2,249
Reaction score
1,813
Ubeti wa kwanza:

Ni corona inapita, hata ukunje zo ndita,

Hakuna alo-iita, labda ni wewe pita,

Na uchumi wazorota, wapi pesa nitapata.

Nilichobakiwa nacho, barakoa mdomoni.

Ubeti wa pili:

Baada ya saa 48,..... nitaendelea
 
Ubeti wa kwanza:

Ni corona inapita, hata ukunje zo ndita,

Hakuna alo-iita, labda ni wewe pita,

Na uchumi wazorota, wapi pesa nitapata.

Nilichobakiwa nacho, barakoa mdomoni.

Ubeti wa pili:

Baada ya saa 48,..... nitaendelea
Sawa.

Jitahidi uvae barakoa
 
Back
Top Bottom