mathsjery JF-Expert Member Joined Sep 26, 2015 Posts 2,249 Reaction score 1,813 Apr 15, 2020 #1 Ubeti wa kwanza: Ni corona inapita, hata ukunje zo ndita, Hakuna alo-iita, labda ni wewe pita, Na uchumi wazorota, wapi pesa nitapata. Nilichobakiwa nacho, barakoa mdomoni. Ubeti wa pili: Baada ya saa 48,..... nitaendelea
Ubeti wa kwanza: Ni corona inapita, hata ukunje zo ndita, Hakuna alo-iita, labda ni wewe pita, Na uchumi wazorota, wapi pesa nitapata. Nilichobakiwa nacho, barakoa mdomoni. Ubeti wa pili: Baada ya saa 48,..... nitaendelea
Chrismoris JF-Expert Member Joined Oct 27, 2017 Posts 14,113 Reaction score 17,645 Apr 15, 2020 #2 mathsjery said: Ubeti wa kwanza: Ni corona inapita, hata ukunje zo ndita, Hakuna alo-iita, labda ni wewe pita, Na uchumi wazorota, wapi pesa nitapata. Nilichobakiwa nacho, barakoa mdomoni. Ubeti wa pili: Baada ya saa 48,..... nitaendelea Click to expand... Sawa. Jitahidi uvae barakoa
mathsjery said: Ubeti wa kwanza: Ni corona inapita, hata ukunje zo ndita, Hakuna alo-iita, labda ni wewe pita, Na uchumi wazorota, wapi pesa nitapata. Nilichobakiwa nacho, barakoa mdomoni. Ubeti wa pili: Baada ya saa 48,..... nitaendelea Click to expand... Sawa. Jitahidi uvae barakoa