Mzee as long una pumzi....una afya njemaa sema alhamdulilaaah hiyo ni zawadi kubwa sanaa.unaweza kujiona unachangamoto ukaadisia wenginee kumbee zako watu wanaona afadhali.kodi imeisha jpili so inasiku mbili unadaiwa, mwambie mwenye nyumba akivumilie atakuelewa, pili nyumbani unaambiwa kuna changamoto uwende nahuli huna,mwambie mzazi kwasasa Hali emebana kidogo utajitaidi ukipata pesa unde.usianze kukufuru