Ushamba wa msukuma upo wapi?

hatujasema kuwa ni washamba ila mshiriki kampeni ya kukata mikono ya sweta kwa watu wazima.
mwanaume ukiwa na mkono wa sweta, akili zinaganda unakuwa na sifa za kijinga ukiona mtu anaumia unafurahia. ah magovinda bana! sawa geeete
 
Reactions: Qwy
hatujasema kuwa ni washamba ila mshiriki kampeni ya kukata mikono ya sweta kwa watu wazima.
mwanaume ukiwa na mkono wa sweta, akili zinaganda unakuwa na sifa za kijinga ukiona mtu anaumia unafurahia. ah magovinda bana! sawa geeete
Siyo wasukuma tu na wengine wa kanda ya ziwa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO CD6j using JamiiForums mobile app
 
Mngetafsiri jamani wavimba macho tujue tunadeal na nini hapa
 
Naomba mwenye kujua hawa waliowai kuwa viongozi wakubwa wa Chadema ni kabila gani?
Rashid Makani aliewaikua mwenyekiti taifa R.I.P.
Dr.Vicent Mashinji aliewaikuwa katibu mkuu na John Mnyika katibu mkuu wa sasa.hawa ni kabila gani.
 
Naomba mwenye kujua hawa waliowai kuwa viongozi wakubwa wa Chadema ni kabila gani?
Rashid Makani aliewaikua mwenyekiti taifa R.I.P.
Dr.Vicent Mashinji aliewaikuwa katibu mkuu na John Mnyika katibu mkuu wa sasa.hawa ni kabila gani.
Kwa mnyika haeleweki sijui mchagga au msukuma.
Ngoja waje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…