nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Dah ama kweli waliosema maskini akipata matako hulia mbwata hawakukosea yaani kuna vitu kumbe simba tulikuwa tunachukulia for granted sana , pongezi mbalimbali, ranks za levels za juu afrika, kwa miaka 4 kuna majuha yameteseka yakageuka kamati za mapokezi na kutengeneza majungu kwa teams za kuja kucheza na simba ingawa hadi kufika october suala la kuwa kamati ya mapokezi litarudi palepale kama kawaida yao
Unapiga kelele kuwa congratulated na la liga waliokula pesa za bure kutuma page 2000 za uongo na kweli kumbe gsm alishapanga kupindua mafala
simba tangu 2019 walishakuwa congratulated na Infantino hivi hawa wehuu siku wakipongezwa na Rais wa Fifa patakalika kweli?
Unapiga kelele kuwa congratulated na la liga waliokula pesa za bure kutuma page 2000 za uongo na kweli kumbe gsm alishapanga kupindua mafala
simba tangu 2019 walishakuwa congratulated na Infantino hivi hawa wehuu siku wakipongezwa na Rais wa Fifa patakalika kweli?