Ushamba wa sikukuu

Wengi siku hizi wanazipuuzia na haziwaumizi vichwa hizi sikukuu, wanaendelea na shughuli zao kama kawaida. Sikukuu za serikali zenyewe tu zilishapoteza umaarufu siku nyingi. Zilibamba sana miaka hiyo, wiki nzima watu walikuwa wakisherekea sabasaba wiki nzima wakila na kunywa huko kwenye viwanja vya umma. Mei mosi yenyewe bado ina kaumaarufu kidogo kwa sababu kuna baadhi ya wafanyakazi mifuko yao itatuna kwa fedha za motisha kama mfanyakazi bora wa mwaka kupewa zawadi na muajiri wake na offer kubwa ya kula na kunywa sehemu za burudani. All the rest sikukuu nyingi zinapoteza umaarufu
 
Binafsi sina shida kabisa na wanaotoka/kwenda maeneo tofauti ya starehe siku za sikukuu, ila mimi huwa sitoki kabisa siku hizo, sikukuu zote huwa najifungia nyumbani. Mabalaa yangu huwa nafanya siku za kawaida tu, na ni mabalaa kweli.
 
Basi sawa tutakuwa tunaenda kutmbelea makaburi ya babu zako uko kwenu
 
Watu bwana kujibu kwa hisia Yaani watanzania can't argue kabisa Cjui hata Km 1% know philosophy. Either way mnakera na kuleta vurugu kwa watu wengine so inanihusu hapo. Kujazana bila sababu na foleni na Hamna chochote cha maana
we ulienda kutafuta nini kwenye hiyo foleni> Mbona mbinafsi hivyo? Acha roho mbaya unataka uishi mwenyewe hapa duniani mpaka uchukie binadamu wenzio?
 
........😊😊pole mkuu hii ndo jf wazee kuattack mtu badala ya mada, na nature ya koments huwa inategemea zaidi walichokomenti watu wa mwanzo na wengine wote tunafata mkondo, so kama mtu wa kwanza akisifia au kubaliana na mada basi komenti zote chini zitakubaliana and its vice versa ........
........kuhusu hoja yako ni kweli hata baadhi ya familia hupendelea kutoka siku ya pili yake ili kuepuka misongamano, na usalama mdogo hasa kwa watoto, lakini kwa wengi wetu ili u-feel kwamba hii ni sikukuu ni pale unapoona watu wengi na pilika za hapa na pale ndo maana watu wanarundikana beach ⛱️ , malls, arenas, cinema house(sio kwamba hwaana tv) ndo vibe la sikukuu unaliona..........
.......so hii ni kama culture coz hata watoto wanafurahi wanapotoka na kushangaa sehemu za miji na kukutana na wenzao....ni ushauri mzuri ingawa sio rahisi kuchukua coz kama huitoi familia siku za sikukuu basi uwe na uwezo kuitoa siku moja moja za kawaida, ambapo kibongobongo watu wako bize na utafutaji sio rahisi kutoka bila pushing factor kama sikukuu.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…