Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Acha wakacheze ngoma vijijini huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuna miliki viwanja vyenye hati ktk ardhi ya wa pwani wacheza bao na mdundiko 😀Washamba
nyie mnajua kucheza vigoma tuNyie washamba tu. Hata ikitokea mkamiliki ardhi yote ya dar es salaam bado ni washamba tu. WASHAMBA WAKUBWA NYIE
Nyie mnajua kuishi kama wanyama kuuana kuishi nyumba mmoja mbuzi nk...nyie mnajua kucheza vigoma tu
Hamna la kutuzidi nyie ushamba ni mzigo we are naturally born smart...Tuna miliki viwanja vyenye hati ktk ardhi ya wa pwani wacheza bao na mdundiko 😀
Usmart wa kugema pombe ya mnazi 😂Hamna la kutuzidi nyie ushamba ni mzigo we are naturally born smart...
Nasikia hata kariakoo mligawa bure kwa khanjibay😂😂😂Hiyo ndio Shukuran yenu kifupi tatizo lenu kubwa chuki juu yetu wazaramo kuwa wenyeji Pwani ila mtaendelea kuwa washamba mie nina Ushahidi baadhi wazee wenu kupewa Ardhi bure na wazee wetu ila leo mnajiona wajanja...
Unapajua lakini kariakoo kwenyewe Khanjibay gani aliyemiliki kariakoo...Nasikia hata kariakoo mligawa bure kwa khanjibay[emoji23][emoji23][emoji23]
Ushamba ndio nini?maana kama ushamba ndio kumiliki njia zote za uchumi wa nchi,Usafiri,majumba,makampuni,biashara,kilimo,logistic,usalama,IT,Elimu,Nyie washamba tu. Hata ikitokea mkamiliki ardhi yote ya dar es salaam bado ni washamba tu. WASHAMBA WAKUBWA NYIE
'khanjibay' aliyewadanganya mkaukimbia mji umeshasahau naona, endelea kugema minazi tu huwezi kumjua khanjibay 😂😂Unapajua lakini kariakoo kwenyewe Khanjibay gani aliyemiliki kariakoo...
Kila sehemu inawenyewe ndio maisha yetu wanadam sasa iko mnachokitaka kigumu eti Dar aina mwenyewe ndio maana yule kichaa mwenzenu aliwaeleza muendee Dodoma uko sijui wewe unasubiri nini...'khanjibay' aliyewadanganya mkaukimbia mji umeshasahau naona, endelea kugema minazi tu huwezi kumjua khanjibay [emoji23][emoji23]
Ushamba ndio nini?maana kama ushamba ndio kumiliki njia zote za uchumi wa nchi,Usafiri,majumba,makampuni,biashara,kilimo,logistic,usalama,IT,Elimu,
Basi wacha tuwe washamba,daladala nyingi za dar,wamiriki ni wabara,wazaramo wa Dar,wamebaki kuwa madereva na makonda tu,sasa hv wazaramo wanakimbilia ikwilili,maana tumewafata,kerege,bagamoyo,Kibamba,Kibaha,watakwenda mpaka wakutane na ndugu zao walugulu,chalinze.
Fika Dodoma uone watu wa bara walichowafsnya wagogo,wahaya,wachaga ndio wamiriki wa biashara zote kubwa Dodoma,sasa wananunua ardhi,wagogo watabaki kama wageni
Tumeenea duniani kote, nyie ndio mnapaswa mjiongeze angalau mfike Dom maana mnazubaa zubaa tu huko kisarawe hahahaaaKila sehemu inawenyewe ndio maisha yetu wanadam sasa iko mnachokitaka kigumu eti Dar aina mwenyewe ndio maana yule kichaa mwenzenu aliwaeleza muendee Dodoma uko sijui wewe unasubiri nini...
Tufate nini ikiwa nyie wote ndoto zenu kufika Mzizima Bandari Salama Dar Es Salaam.Tumeenea duniani kote, nyie ndio mnapaswa mjiongeze angalau mfike Dom maana mnazubaa zubaa tu huko kisarawe hahahaaa
Ndoto zetu zimekamilika mbona!Tufate nini ikiwa nyie wote ndoto zenu kufika Mzizima Bandari Salama Dar Es Salaam.
🤣🤣🤣🤣 nakubal nakubal mchocheziNyie washamba tu. Hata ikitokea mkamiliki ardhi yote ya dar es salaam bado ni washamba tu. WASHAMBA WAKUBWA NYIE