Ushamba wa wabongo, Viewers wa youtube si kigezo cha uzuri wa wimbo

Ushamba wa wabongo, Viewers wa youtube si kigezo cha uzuri wa wimbo

Srinivan Ramanujan

Senior Member
Joined
Nov 1, 2019
Posts
159
Reaction score
202
Yani wabongo sijui tutaelimika lini, yani mtu kisa tu wimbo unatrend namba moja youtube basi anashikiwa akili na kuamini kuwa huo ndiyo wimbo bora.

Kuntrend kunaweza sababishwa na uzuri wa video mfano mzuri huu wimbo wa baba lao ni mbovu kuanzia vocal, lyrics mpaka melodies lakini video yake ni kali tena sana.

Wimbo ni audio, kuna nyimbo hazina hata video lakini zimehit dunia nzima.

Tatizo letu wabongo ni washamba sana tupo kwenye kushangaa video wakati mziki ni audio.

USHAMBA MBAYA SANA, AFADHALI UWE MASKINI KULIKO UWE MSHAMBA.
 
1.vocal-mbovu
2.melody-mbovu
3.lyrics-mbovu
4.video-kali
....km kweli bongo 2nawasanii wa dizaini hii nawashauri waachane na muziki wakajiunge na bongomuvi ndio kipaji chao!....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
1.vocal-mbovu
2.melody-mbovu
3.lyrics-mbovu
4.video-kali
....km kweli bongo 2nawasanii wa dizaini hii nawashauri waachane na muziki wakajiunge na bongomuvi ndio kipaji chao!....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ukitaka uamini kasikilize baba lao hahahahah
 
Back
Top Bottom