Kuifunga Kagera Sugar anashangilia kwa dakika 3. Angeifunga Asec Mimosas angeshangilia kwa nusu saa...Kushangilia ni jambo zuri kwa ufungaji wa goli, lakini sasa huu muda unaotumiwa na mchezaji wa timu ya Yanga Mayele pindi afungapo goli na kuanza kuwaita wenzake waanze kushangilia naona kama ni upotevu wa muda tu.
Shangiliaji wake si mbaya ila kitendo cha kuanza kuwaita wenzie ndo anaharibu.
Sheria kwani inasema kushangilia isizidi dakika ngapi?Kushangilia ni jambo zuri kwa ufungaji wa goli, lakini sasa huu muda unaotumiwa na mchezaji wa timu ya Yanga Mayele pindi afungapo goli na kuanza kuwaita wenzake waanze kushangilia naona kama ni upotevu wa muda tu.
Shangiliaji wake si mbaya ila kitendo cha kuanza kuwaita wenzie ndo anaharibu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mayele anatuharibia watoto huku mtaaani
Kuna aina nyingi Sana zakuteseka na kupata msongo wa mawazo na sonona. Hii ni mojawapo. WIVU TU
Pharmacy zipo karibu hapo nenda chap kanunue sumu ya panya maana kitanzi kitakuchelewesha kujinyonga, badala ya kujadili mambo ya msingi unateseka na ushangiliaji wa Mayele ovyooo kabisa weweKuifunga Kagera Sugar anashangilia kwa dakika 3. Angeifunga Asec Mimosas angeshangilia kwa nusu saa...
Kuharibu aharibu Mayele kuteseka uteseke wewe, hebu pita hivi usituletee nuksi zako hapaKushangilia ni jambo zuri kwa ufungaji wa goli, lakini sasa huu muda unaotumiwa na mchezaji wa timu ya Yanga Mayele pindi afungapo goli na kuanza kuwaita wenzake waanze kushangilia naona kama ni upotevu wa muda tu.
Shangiliaji wake si mbaya ila kitendo cha kuanza kuwaita wenzie ndo anaharibu.
Tutapata tabu sana mwaka huuKuifunga Kagera Sugar anashangilia kwa dakika 3. Angeifunga Asec Mimosas angeshangilia kwa nusu saa...
Kweli. . Angefunga wiki kama tulivyomfunga Ruvu wangeshangilia dk 21 jumla.Ni sahihi kushangilia kunachukua dakika 3 nzima
What is the time fact? Katumia miezi mingapi kushangilia?Kushangilia ni jambo zuri kwa ufungaji wa goli, lakini sasa huu muda unaotumiwa na mchezaji wa timu ya Yanga Mayele pindi afungapo goli na kuanza kuwaita wenzake waanze kushangilia naona kama ni upotevu wa muda tu.
Shangiliaji wake si mbaya ila kitendo cha kuanza kuwaita wenzie ndo anaharibu.
Fungeni na leoKweli. . Angefunga wiki kama tulivyomfunga Ruvu wangeshangilia dk 21 jumla.
Madhara ya kutokuwa na pesa ya kula.Kushangilia ni jambo zuri kwa ufungaji wa goli, lakini sasa huu muda unaotumiwa na mchezaji wa timu ya Yanga Mayele pindi afungapo goli na kuanza kuwaita wenzake waanze kushangilia naona kama ni upotevu wa muda tu.
Shangiliaji wake si mbaya ila kitendo cha kuanza kuwaita wenzie ndo anaharibu.